Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Hongera Sana Kwa Kuwa Siku Zote Una ari Ya Kutoiangusha Liverpool Yetu...
Lakini Nakushauri Japo Siku moja Waza Ubingwa.
Man City huyu kaisha choka
Just a matter of time tu
Kashinda mechi hizi mbili kwa mabao ya dakika ya 90,huwezi ukawa na bahati kila siku!
Hadi Dec 31 Man City ananizidi single digit na ubingwa unakuwa wide open!
Take my words and put it into your account!