Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
Mfumo gani wakati anakuja Alonso na 343, atakuwa wing back na ni mfumo unaomfit haswa.Mjinga sana huyu mtoto
Mkataa pema pabaya humwita
Kamati ya roho mbaya tunasubiri lolote limkute.
Madrid mfumo utamkataa mapema sana
Klopp amekafundisha mpira,kanajiona kastar sana siku hizi wakati ni mchezaji wa kawaida sana.
Madrid wanajua wanataka nini na hawajabahatisha kumsajili