Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mchezo wa 35: Chelsea 3 - 1

Liverpool Ilionekana kama Inafanya jaribio la timu yetu ya kikosi cha 2 kuona ni nani atasalia msimu ujao 🤨🤔

1. Elliott hakuwa mzuri vya kutosha

2. Quansah alikuwa na wasi wasi na hofu

3. Curtis hucheza chenga sana na si mwepesi wa kupiga pasi lakini huboreshwa anapobadilishwa na kutumika katika jukumu la nafasi ya DM.

4. Tsimikas ni mzuri akiwa kama backup

5. Endo alikuwa mzuri na anaweza akaendelea kuwa backup mzuri tu.

6. Nunez na Jota ???

sisi bado ni MABINGWA WA LIGI KUU 😁 Hakuna Kilichobadilika 💪🏻
Mnajua kujifariji sana au ukumbuki mechi ya Kwanza si mliomba game iishe na mlikuwa full mkoko na refa pia akawa mchezaji wenu wa 12 haya yote umesahau nyinyi ubavu wa kushinda ni mdogo hasa tukiwa na hawa watu uwanjani Lavia, Caicedo na Enzo Fernandez
 
Mnajua kujifariji sana au ukumbuki mechi ya Kwanza si mliomba game iishe na mlikuwa full mkoko na refa pia akawa mchezaji wenu wa 12 haya yote umesahau nyinyi ubavu wa kushinda ni mdogo hasa tukiwa na hawa watu uwanjani Lavia, Caicedo na Enzo Fernandez
Umeelewa lengo la kuandika hiyo post lakini?
 
View attachment 3325129
🚨 BREAKING: Trent Alexander-Arnold to Real Madrid, here we go! 💣⚪️

Decision to leave Liverpool now confirmed as Trent says goodbye to the club after winning one more PL title.

Documents being prepared for Trent to join Real Madrid on a 5 year contract, verbal agreement done.
Aende tu
 
Huyu wamuache aende zake.
 

Attachments

  • Screenshot_2025-05-05-13-59-43-414_com.facebook.katana-edit.jpg
    Screenshot_2025-05-05-13-59-43-414_com.facebook.katana-edit.jpg
    513.1 KB · Views: 9
View attachment 3325129
🚨 BREAKING: Trent Alexander-Arnold to Real Madrid, here we go! 💣⚪️

Decision to leave Liverpool now confirmed as Trent says goodbye to the club after winning one more PL title.

Documents being prepared for Trent to join Real Madrid on a 5 year contract, verbal agreement done.
All the best kwake...
He came through the academy ranks he conquered...
He left to win the ballon'd in Madrid....

Kazi kwake.. mvuto wa galatico plus agent Bellingham....

YNWA
 
Tuna testi mitambo ndugu yaani kucheki kikosi B na nani wakubaki klabuni dirisha lijalo...
Uwe na utulivu la 20 lipo limetua tunawacheki squad players wanaofaa kubaki.

YNWA
Ukisema ni kikosi B unakosea Salah, VVD,Gapko, jota, Alison Becker? Sema Kuna baadhi ya area mmewapa wachezaji ambao hawapati muda mwingi wa kucheza
 
Ukisema ni kikosi B unakosea Salah, VVD,Gapko, jota, Alison Becker? Sema Kuna baadhi ya area mmewapa wachezaji ambao hawapati muda mwingi wa kucheza
Definitely sio kikosi B kama B mbali ni angalau mwalimu anaanza kuchora mstari nani abaki June 2025 nani aodoke aisee...
Jones, Quansah, Endo , Nunez nk nk washaonekana ni squad players Hawa.

YNWA
 
Hivi Mashabiki wa Arsenal wamepagawa na nini ?

Liverpool tumechukua kwa ubora wetu,ukiangalia ktk ligi ya Bundesliga,La Liga,Seria A Liverpool imekusanya point nyingi kuliko timu yoyote ile,pia ni Miongoni mwa timu iliyofunga magoli mengi na kufungwa machache,Kwa hyo kwa point alizokusanya Liverpool ukimpeleka Seria A,La Liga na Bundesliga Liverpool anakuwa bingwa mbele ya Barca,Madrid,Bayern na Inter hivyo kama sababu Ya Liverpool kuwa bingwa Epl ni ubovu wa Arsenal basi hata hizo timu zingne nazo mbovu.
 
Ni muhimu ma dogo wafuate ndoto zao zilipo aisee iwe ni mvuto wa Galatico au mkwaja mzito in wages au chochote kile ni wakati wao kwa umri walionao wamechagua vyema kama alivyosema Trent anafuata ndoto zake hukoooo Real Madrid

YNWA
We wish him the best, ila avumilie tuu abuse kutoka kwa mashabiki wa madrid maana hawana uvumilivu
 
Trent’s saga.

Is a Trent a traitor?? I don't know for sure.

Oh.! yeah he is leaving, it hurts not because he is leaving but leaving “as a free agent”.

Ishu ya Trent so far iko hivi;

2021 Trent alipewa mkataba wa miaka sita, lkn aliukataa na akataka miaka minne pekee. WHY??. Alikataa miaka sita na akataka miaka minne pekee tutajua tu kwa nini.

Miaka ikatembea na kusogea mbele, hatimaye inside bars on November Klopp alikaa mezani na kuwaambia FSG anataka kuondoka end of the season. Mazungumzo yakaendelea lakini Klopp alibaki na msimamo wake end of the season nitaondoka.

Hatimaye January 26, 2024 Klopp announced his departure at the end of that season. Msimu ukamalizika kwa upside down na maumivu kwa wana LiverpoolFc kwa kuwaza “tunaenda vipi kuishi maisha bila Klopp”? Tumekuwa nae for almost 8 good years what next?? Trent was among players waliomwaga machozi mengi siku ya kuagwa Klopp pale Anfield May 2024. Trent hakumjua kocha mwingine kwenye professional career yake zaidi ya Klopp (he is like his father). Alimuibua Academy na kumpa nafasi vs Man united akiwa na 18 yrs, na the rest ni history kwake.

Baada ya kutangaza kuondoka na hatimaye kuagwa kwa JK as LFC coach. Harakati za kuishi maisha bila Klopp ziliendelezwa kwa kuajiri wataalamu wa mpira nje ya uwanja na ndani ya uwanja, na moja ya harakati za ndani ya uwanja ilikuwa ni kuwapa mikataba wachezaji kadhaa ili kuendelea kuwabakiza ndani ya klabu.

Kwa kuwa mada inamuhusu Trent, tu deal na yeye. Trent alibakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake aliouongeza 2021. Katika mazungumzo baina ya Klabu na Trent, Trent alisema hivi “tusubiri tumuone kocha ajaye, na progress ya Club itakuwaje, kisha we will sit down for it” Ikumbukwe mazingira ya Klopp ndio yamemkuza Trent, yale mazingira hayapo, almost 99.9% ya technical bench waliondoka, wafanyakazi mbali mbali wa ngazi ya juu na wale wa ngazi ya chini nao waliondoka. Trent kutaka kuona mpango wa timu ilikuwa kuona mwendelezo utakuwaje?? Especially results and performance wise. Hivyo akachomoa mpango huo wa kuongezewa mkataba. Jambo jingine kwa Trent kwenye akili yake alishawaza MF role, sasa ujio wa kocha mpya kidogo ulimuathiri na kuwaza kama atapata hiyo nafasi. Slot talked with him kuhusu atakavyomtumia na project yake ipp vipi.

Msimu ukaanza progress ikawa nzuri, timu ikawa kwenye almost every competition mpaka mid Feb. Nayo Klabu ikaendelea kumshawishi Trent kuongeza mkataba na kubakia ndani ya Klabu for the next 5yrs, lakini hayo yote yaligonga mwamba baada ya Trent ku turn down two proposal za LFC.
What went wrong? Klabu ilimbania? Ni ishu ya pesa walishindwana?

Tuendelee

Kumbuka 2021, Trent alikataa six yrs contract na akataka 4yrs contract, by that Time Trent already alishajitanabaisha kua ni World Class player, unaikumbuka Corner taken Quickly ? Pale Anfield ? Unazikumbuka assists zake wakikimbizana na Robbo? Vipi banger goals zake? Huyo ndiye Trent. Tayari akiwa na 24 yrs, alibeba mataji yote as a RB huku no. Zake zikiwa kinyume na position yake na age yake, ndio maana May 2024 alidondosha Machozi mengi kwenye ile Klopp’s farewell celebration, iliyokuwa maarufu na kutazamwa na wengi kuliko ubingwa wa nne mfululizo wa Man City.

Unajua nini , Trent defensive weakness kwa kocha mwingine lets say Pep wala asingekuwa nae long time ago, unakumbuka turn aliyopewa Cancelo na Salah game ya Anfield inaisha 1-0? Wiki iliyofuata walicheza FA vs Arsenal wakazinguana na Pep ndio ikawa byebye kwake, Klopp kamwe asingefanya hivyo kwa kosa moja hadi 10, ndio mana tuna Trent mpaka 2025.

Timu gani isingetaka huduma ya Trent?? Sasa why Trent hakutaka kuongeza mkataba last summer & this year??
Last two years Trent na camp yake walikuwa kwenye mazungumzo na R. Madrid kuhusu hatma yake, ndani ya LFC na HAPA NDIPO KWENYE KIINI TETE CHA TRENT KUKATAA KUBAKIA ANFIELD.

Madrid walimwambia Trent sikia, rundown your contract and l we will have this amount of £ for you as free agent fees or renew your contract with Liverpool or go elsewhere.

SPECULATIONs

LFC offered Trent around £230k -£260k per week na msimamo wangu kwenye contract ya Trent anything above £300k I will stand with the club as RB kupewa pesa kubwa.

Hizi hairisha hairisha za Trent kuongeza mkataba in the name of “i want to see club progress” ilikuwa ni ulaghai kwa klabu, kwa sababu ni tukio lilipangwa last two years. Embu jiulize kama Trent angekua na 3 yrs on his contract je, Madrid wangekua tayari kutoa £50m to £60m kwa ajili ya Trent?? Jibu unalo,

Swali la pili, Je ile £20m Madrid walisema watatoa kwa Liverpool in January (winter window) were they serious enough?? Kwa nini utoe £20m wakati next five months you will have him for free??

Trent na kaka yake watapokea £100m kutokana na Trent kusain Madrid, uhamisho huru. Madrid wanaenda kunufaika nae kibiashara, how?? Wanaenda kumpa mkataba wa miaka mitano ambapo atakuja kuuzwa huko mbeleni, mchezaji aliyesajiliwa as free agent wakipata £30m next two years wana hasara gani?? Hapo ataongezewa La Liga na Uefa CL pengine club World Cup, thamani yake itakuwa kubwa sana. Double benefit hii kwa Madrid. Na akifanya vizuri Zaidi ni huge bonus kwake.

Je hapa unaweza kuwalaumu FSG na Liverpool kwa issue ya Trent?? Kwangu hapana siwezi.

Kama Trent alikataa 6yrs contract at the first place, ungemshawishi vipi aongeze sasa hivi wakati nyuma yake kuna nguvu kubwa ya pesa na ushawishi? FSG hawana kosa hapa myonge mnyongeni haki yake apewe ya kutetewa penye haki.

Trent sold Liverpool down to the river. Trent wants to play this game innocently and peacefully purposely asipewe chuki kama akina Owen na McMannaman. But kops are just kops tu, umeona Jersey ikichomwa moto ya Trent na mmoja ya mashabiki wa LFC,?! Kops wanakuambia Trent asicheze tena akiwa na LFC Jersey this season. Trent amefanya wanachofanya wachezaji wengi kutoka South America mara nyingi hawa hufikia hata kujinunua zaidi. Ile CL final vs Madrid 2022 nina wasi wasi nayo, sio kwa space ile. (Just kidding tu 😋😅).

Ni ngumu sana Trent kueleweka kwa LFC fans, ngumu sana that's LFC Culture. Atleast Coutinho alikubali long contract na mauzo yale yalitupa mafanikio makubwa. Je Trent?? Amekataa kusaini na kukubali ku rundown his Contract kuinyima faida his boyhood club na kuwapa faida Madrid. Hili ni kosa kubwa kwa Scouser juu ya Trent. In case Trent anaongeza mkataba LFC ule upendo kwake kwa wengi haupo aise, but i feel them alot thats football kuna muda una moves za kikatili.

Michezo ya Perez hii ni hatari kwa afya ya mpira kwa sababu big clubs wakifanya hii michezo timu ndogo ndizo zitaumia sana, simply b’se they have no enough power (financial muscles) ku battle na wakubwa. Hii FFP inapaswa kutazama loophole iliyopo kwa sasa. It is the same way they did to Mbappe kumtoa PSG even Rudiger kutoka Chelsea.

Anyway I'm ok with Trent going, but "as a free agent" ndipo penye walakini yes.! Hakununuliwa but World Class like him we should at least cash on him £50m- £60m. Kwa timu inayotumia sell to buy policy ni hasara kubwa sana hii.

No hard feelings on him, let him go to his dream place too, end of the day success is what they want (cash & trophies).

Who will come for Trent's position?? Bradley is not enough with his injury records, not ready to takeover (but he has those abilities).

It will be an interesting summer indeed, eagerly waiting.

Best of luck to LFC in the next nine coming games, 12 clear points and top of the table, 27 points are there, win next four games and win Premier league.

We will still be stable next season only if FSG are ready for overhaul

Know you can,
Ynwa.
written on 28/3/2025.


It was already don since summer 2021. Best of luck to him.
 
Congratulations kops wherever you are. We are now waiting for top scorer from LFC jersey, best player best assister.

Binafsi nilimaaliza ligi zilipofika 13 points gap ilikua end of March probably if im not mistaken na nikasema nasuburi summer transfer kwa shauku zote.

Why?

Second half of the season imeweka bayana why we will need atleast five new quality fresh legs. Fatigue caught us, poor Slot's decisions, players decisions.

We need CB, LCB, RB, DM, ST, achilia LW & RW, ambapo kuna haja ya kumpata understudy wa Salah, Elliot & Chiesa are not Slot's favorite regardless of their quality, Endo same thing plus age.

Potential sign out players
Tsimi
Nunez
Jota
Kelleher
Endo
Chiesa
Means we need to replace them

Konate mkataba upo ukingoni proposal ya kwanza alipiga chini (watu wa kudunduliza FSG ), Gravern, Diaz & Macca's agents kila mmoja kwa nyakati tofauti wameongelea kuondoka wateja wao klabuni japo respond zilikua tofauti baada ya taarifa kuzagaa (hawafanyi kwa bahati mbaya) lengo ni kutaka nyongeza ya mishahara na mkataba mnono.

Coming season ndipo Slot anaanza kutengeneza his own kingdom, i can say Klopp"s era come to an end this season. Manyanza ulishauri akichambuliwa Slot asitajwe Klopp, hii debate imeshakufa rasmi huo mlinganisho ulitokana na hawajapishana na his predecessor. Coming season itakua "Slot vs Slot". He has alot ro to do coming season won't be easy to recruit his own player with less power he has on market transfer. We should go for a DM,LB & RB as early as possible

Dumfries from inter
Huijsen from b'mouth
Kerkez from b'mouth
Baston from inter again
Zubimendi from Sociedad
Bruno Guimaraes (wanamtaka Quansah awe part of the deal but FC hawataki).
Ederson from Atalanta.

They are top players wenye kwenda na philosophy ya Slot na timu.

Slot started very well in term of tactics decisions (performance base), second half since imekua ni ugonjwa tukaanza kuugua tena, solution ya huu ugonjwa ni big squad with quality Charlse Hillary anakuambia anatoka mtu anaingia mtu bwana.

Interesting summer ahead, and this interesting summer ahead stimulated by FSG still our owners.

Ynwa
 
Katoto Saint Anne how are you??

Babe wako Trent amekuaga anatimkia kwa uwachukiao??

You were missed indeed, ila jiandae msimu ujao kuushikilia moyo kama summer kutajaa siasa badala ya uhalisia.

Ynwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom