Hehehehehe hebu twende taratibu bibie.
2021/22
City imechukua ubingwa mbele ya loserfool iliyofika final kwenye mashindano yote ya knockout (ikashinda final 2)
Hii ni liverpool iliyomaliza na point 92, je hii ilikua timu mbovu?
2018/19
City inachukua ubingwa mbele ya liverpool iliyoweka rekodi ya runner up mwenye point nyingi zaidi kwenye historia ya soka la uingereza pointi 97 can you imagine that? 97 points!!!
Tukiiweka vizuri zaidi, kabla ya point 100 za city, chelsea ilikua inashikilia rekodi ya bingwa aliyemaliza na point nyingi zaidi, point 95.
Sasa liverpool akamaliza na 97.
Pia timu hiihii ikachukua ubingwa wa ulaya msimu huohuo.
Sasa je,hiyo ilikua ni timu mbovu?
Loserfools mnachekesha sana.