Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi Nina swali
Anayejua naomba anijibu..
Hivi kwanini wachezaji huwa wanawaweka kwenye maji ya barafu huko mazoezini?
Akiyanani mpira una mateso mazito.
 
Jamani muda wa kuwa siriazi
Mimi ni shabiki wa Cody damudamu
Babe wangu wa msimu huu.
Mungu amuweke Cody master mashuti
Halafu anampenda Yesu mno ♥️
Na Familia yake full burudani yule mtoto🔥🔥🔥
Hayo yupo miamba wa miamba Salah our King.
Nyuma Captain kisiki Tall cyborg VVD 🔥
Wash

YNWA
Anauzwa huyoooo
 
Mimi Nina swali
Anayejua naomba anijibu..
Hivi kwanini wachezaji huwa wanawaweka kwenye maji ya barafu huko mazoezini?
Akiyanani mpira una mateso mazito.
Wanafanya recovering maana kuna kuchezewa rafu, kukanyagwa, michubuko mpira sio lelemama
 
Jamani muda wa kuwa siriazi
Mimi ni shabiki wa Cody damudamu
Babe wangu wa msimu huu.
Mungu amuweke Cody master mashuti
Halafu anampenda Yesu mno ♥️
Na Familia yake full burudani yule mtoto🔥🔥🔥
Hayo yupo miamba wa miamba Salah our King.
Nyuma Captain kisiki Tall cyborg VVD 🔥
Wash

YNWA
Manyanza 😂😂😂😂😂 x wa Trent hana muda wa upweke ni kata mti panda mti chap aisee......

YNWA
 
Kwa maoni yangu naona tumechukua ubingwa msimu huu sio kwa ubora wetu bali kwa kuyumba kwa timu zingine hasa City.Points 90 tu zimetushinda kuzifikia!

Kuhusu Trent sisikitiki kwa kuwa anaondoka ila nasikitika namna anavyoondoka.Sikutarajia mtoto wetu wenyewe atusaliti over money.Though msimu huu game yake haikuwa on point nisingejali kuondoka kwake kama angeondoka huku akiiheshimu club.

Still tunahitaji sajili za maana kwenye beki wa kati,kulia na kushoto.Tunahitaji namba 6.Tunahitaji LW na striker namba 9...

Nunez
Jones
Diaz
Robertson
Gomes
Chiesa nk
Wanaweza tu kuondoka
 
Kwa maoni yangu naona tumechukua ubingwa msimu huu sio kwa ubora wetu bali kwa kuyumba kwa timu zingine hasa City.Points 90 tu zimetushinda kuzifikia!

Kuhusu Trent sisikitiki kwa kuwa anaondoka ila nasikitika namna anavyoondoka.Sikutarajia mtoto wetu wenyewe atusaliti over money.Though msimu huu game yake haikuwa on point nisingejali kuondoka kwake kama angeondoka huku akiiheshimu club.

Still tunahitaji sajili za maana kwenye beki wa kati,kulia na kushoto.Tunahitaji namba 6.Tunahitaji LW na striker namba 9...

Nunez
Jones
Diaz
Robertson
Gomes
Chiesa nk
Wanaweza tu kuondoka
Timu inachukua ubingwa kwa mpishano zaidi ya points 10 mbele
Halafu unasema imechukua si kwamba ni Bora?

Mkuu,hata timu nyingine zilichukua ubingwa kwa kuyumba kwa timu zetu
Na ndio ubora wenyewe huo.
 
Kwa maoni yangu naona tumechukua ubingwa msimu huu sio kwa ubora wetu bali kwa kuyumba kwa timu zingine hasa City.Points 90 tu zimetushinda kuzifikia!

Kuhusu Trent sisikitiki kwa kuwa anaondoka ila nasikitika namna anavyoondoka.Sikutarajia mtoto wetu wenyewe atusaliti over money.Though msimu huu game yake haikuwa on point nisingejali kuondoka kwake kama angeondoka huku akiiheshimu club.

Still tunahitaji sajili za maana kwenye beki wa kati,kulia na kushoto.Tunahitaji namba 6.Tunahitaji LW na striker namba 9...

Nunez
Jones
Diaz
Robertson
Gomes
Chiesa nk
Wanaweza tu kuondoka
We hujui mpira utachukuaje ubingwa wote mkifanana uwezo lazima mmoja azidi hata man city alichukua ubingwa timu nyingine zikiwa mbovu
 
USAJILI WA JEREMY FIRMPONG UTAKUWA NA FAIDA ZIPI KWA MOHAMED SALAH ?

Usajili wa Jeremie Frimpong unaweza kumsaidia Mohamed Salah kwa njia kadhaa, hasa kwa kuzingatia sifa za Frimpong kama wing back mwenye kasi, ubunifu na uwezo mkubwa wa kushambulia. Hapa chini ni njia kuu ambazo Frimpong anaweza kumsaidia Salah:

1. Kutoa nafasi kwa Salah kushambulia katikati
Frimpong ni mchezaji anayecheza kwa upana (wide right) na hupanda sana upande wa kulia.
Kasi yake na overlaps zake zitamruhusu Salah kuingia katikati ya uwanja, karibu na boksi, ambako ni hatari zaidi.
Hii itamsaidia Salah kuepuka kuwa isolated upande wa kulia.

2. Kuvuta mabeki na kumpunguzia Salah presha
Frimpong akipanda na kushambulia kwa kasi, mabeki wa upande wa kushoto wa wapinzani watalazimika kumkimbilia.
Hii inamwachia Salah nafasi zaidi au one-on-one situations ambazo anapendelea.

3. Kutoa mipira ya kusaidia (assists) kwa Salah

Frimpong anajulikana kwa kutoa krosi na pasi fupi karibu na eneo la hatari.
Anaweza kumpatia Salah mipira mizuri ya kumalizia, hasa akiwa anapiga cutbacks au low crosses.

4. Kufunika nafasi Salah akipoteza mpira
Frimpong akiwa na stamina na kasi ya kurudi haraka, anaweza kusaidia kwenye defensive transitions pale Salah anapopoteza mpira mbele.
Hii inampa Salah uhuru wa kushambulia bila wasiwasi mwingi wa majukumu ya ulinzi.

Kwa kuhitimisha Frimpong ni aina ya mchezaji ambaye anaongeza nguvu na kasi upande wa kulia, jambo linalomruhusu Salah kuwa huru zaidi kushambulia na kuwa tishio. Wanaweza kutengeneza ushirikiano hatari kama wanacheza mfumo unaowaruhusu kushirikiana (kama 3-4-3 au 4-3-3 ya kisasa).
 
As per Spanish source Cadena SER, Rodrygo is the forward most likely to be sold in the summer as Alonso is plotting a lethal front two of Mbappe and Vinicius.

Despite favouring a 3-4-2-1 formation at Bayer Leverkusen, the report claims Alonso will operate with a 5-3-2 or 4-4-2 formation at the Bernabeu – and that will mean there is no place for Rodrygo in the starting line-up.

According to Anfield Index, the 24-year-old’s agent and other members of his camp are ‘expected in Liverpool for talks imminently’.

Liverpool are ‘set for crunch talks’ as they ‘ramp up’ their bid to sign the world-class winger.

Rodrygo is described as a long-term target for Liverpool and they will try to get a deal over the line in the coming weeks.
 
Timu inachukua ubingwa kwa mpishano zaidi ya points 10 mbele
Halafu unasema imechukua si kwamba ni Bora?

Mkuu,hata timu nyingine zilichukua ubingwa kwa kuyumba kwa timu zetu
Na ndio ubora wenyewe huo.
Hehehehehe hebu twende taratibu bibie.

2021/22
City imechukua ubingwa mbele ya loserfool iliyofika final kwenye mashindano yote ya knockout (ikashinda final 2)

Hii ni liverpool iliyomaliza na point 92, je hii ilikua timu mbovu?


2018/19
City inachukua ubingwa mbele ya liverpool iliyoweka rekodi ya runner up mwenye point nyingi zaidi kwenye historia ya soka la uingereza pointi 97 can you imagine that? 97 points!!!

Tukiiweka vizuri zaidi, kabla ya point 100 za city, chelsea ilikua inashikilia rekodi ya bingwa aliyemaliza na point nyingi zaidi, point 95.

Sasa liverpool akamaliza na 97.
Pia timu hiihii ikachukua ubingwa wa ulaya msimu huohuo.


Sasa je,hiyo ilikua ni timu mbovu?

Loserfools mnachekesha sana.
 
We hujui mpira utachukuaje ubingwa wote mkifanana uwezo lazima mmoja azidi hata man city alichukua ubingwa timu nyingine zikiwa mbovu
Liverpool ya klopp iliyohemeshwa na city mara 2 nayo ilikua mbovu?

Mashabiki wa hii timu mbona mnataka kuwa vituko 😂😂😂
 
Liverpool ya klopp iliyohemeshwa na city mara 2 nayo ilikua mbovu?

Mashabiki wa hii timu mbona mnataka kuwa vituko 😂😂😂
Jibu swali msimu huu vipi hamjaweka rekodi unanitajia klopp ambaye hayupo kwenye ligi husika hivi upo timamu kichwani au kama kawaida yenu wakimbizi fc kurukwa na akili
 
Hehehehehe hebu twende taratibu bibie.

2021/22
City imechukua ubingwa mbele ya loserfool iliyofika final kwenye mashindano yote ya knockout (ikashinda final 2)

Hii ni liverpool iliyomaliza na point 92, je hii ilikua timu mbovu?


2018/19
City inachukua ubingwa mbele ya liverpool iliyoweka rekodi ya runner up mwenye point nyingi zaidi kwenye historia ya soka la uingereza pointi 97 can you imagine that? 97 points!!!

Tukiiweka vizuri zaidi, kabla ya point 100 za city, chelsea ilikua inashikilia rekodi ya bingwa aliyemaliza na point nyingi zaidi, point 95.

Sasa liverpool akamaliza na 97.
Pia timu hiihii ikachukua ubingwa wa ulaya msimu huohuo.


Sasa je,hiyo ilikua ni timu mbovu?

Loserfools mnachekesha sana.
Umeelewa nilichoongea?
Haya
Sisi tunachukua ubingwa msimu huu
Namba mbili tumemuacha points ngapi?
Unasemaje kwamba Liverpool kuchukua ubingwa siyo kwamba ni timu Bora ila kwa sababu wapinzani wabovu
Yaani timu ipo mbele points zaidi ya 10 halafu useme siyo timu Bora?

Wewe mama cita mkimbizi ndiye unayeleta comedy Sasa
Na hivi mmeshachanganyikiwa basi mmekuwa mnadandia popotu mpooze machungu😂
Halafu timu Haina HB hata mmoja yaani kama ina laana hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom