Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG-20250511-WA0015.jpg
 
Yaani kwenye marathon anayekuwa wa 4 ndo anaitwa mwenye ubora, hii ni maajabu.
Nimesema bora, sio bingwa.
Wawekezaji na wenye malengo ya muda mrefu wanaangalia consistency.
Man City isingekuwa imara ingepoteana kama jirani zao United.
 
Safi sana Kops😂
Mmetuwakilisha vyema sisi mashabiki kutoka Namtumbo
Yaanimejua kututolea ya moyoni

Matapeli wote kama haka katoto ni wa kuzomewa tu hadi azimie
Kwa unafiki wake sijui hata aliendaje kimasomaso ,angejua angesingizia hata kuumwa.
Alidhani watamchekea kwa ule usnitch kwa kuondoka kinyemela kama magendo ya pembe za ndovu?
Viva kops♥️👏👏👏
YNWA😹😹😹😻
 
Safi sana Kops😂
Mmetuwakilisha vyema sisi mashabiki kutoka Namtumbo
Yaanimejua kututolea ya moyoni

Matapeli wote kama haka katoto ni wa kuzomewa tu hadi azimie
Kwa unafiki wake sijui hata aliendaje kimasomaso ,angejua angesingizia hata kuumwa.
Alidhani watamchekea kwa ule usnitch kwa kuondoka kinyemela kama magendo ya pembe za ndovu?
Viva kops♥️👏👏👏
YNWA😹😹😹😻
Kumbe ni kweli, kwamba

''Mwanamke akipenda anapenda kweli na akikuchukia anakuchukia kweli''

HISIA HISIA HISIA
Pole Dada naona umeumia sana
 
Kumbe ni kweli, kwamba

''Mwanamke akipenda anapenda kweli na akikuchukia anakuchukia kweli''

HISIA HISIA HISIA
Pole Dada naona umeumia sana
Nimeumia au nimefurahi?
Wewe unasoma kinyumenyume eeh?😆
Trent tayari ana mbadala wake,tena dogo anaupiga mrefu,ni vile tu hakupewa Dakika za kutosha.

Linapokuja suala la timu yetu,yeyote anayefanya nayo mizaha lazima tumzomee😂😂😂

Na kakiingia tena mechi nyingine kucheza ni tunakazomea tena hadi katoe kamasi kwa kilio😂😂😂😂😂maana malastborn kwa kulia hawajambo..Namueleww Trent,hata mimi ningelia sana maana siwezi kustahimili fedheha bila kulia.

Mtu wa kuja kushtua akiondoka Ni Mo Salah na VVD
Hao wakiondoka lazima tulie,japo wao tunaamini wataondoka vizuri bila kuleta utapeli kwa timu.
 
Nimeumia au nimefurahi?
Wewe unasoma kinyumenyume eeh?😆
Trent tayari ana mbadala wake,tena dogo anaupiga mrefu,ni vile tu hakupewa Dakika za kutosha.

Linapokuja suala la timu yetu,yeyote anayefanya nayo mizaha lazima tumzomee😂😂😂

Na kakiingia tena mechi nyingine kucheza ni tunakazomea tena hadi katoe kamasi kwa kilio😂😂😂😂😂maana malastborn kwa kulia hawajambo..Namueleww Trent,hata mimi ningelia sana maana siwezi kustahimili fedheha bila kulia.

Mtu wa kuja kushtua akiondoka Ni Mo Salah na VVD
Hao wakiondoka lazima tulie,japo wao tunaamini wataondoka vizuri bila kuleta utapeli kwa timu.
Wakati mwingine kuondoka kwa Trent inaweza ikawa msaada mkubwa kwa Liverpool, kwahiyo napendekeza kupokea kwa positive maamuzi ya dogo bila kumzomea.
 
Wakati mwingine kuondoka kwa Trent inaweza ikawa msaada mkubwa kwa Liverpool, kwahiyo napendekeza kupokea kwa positive maamuzi ya dogo bila kumzomea.
Tunajua timu yetu inapitia mabadiliko
Na tunamshukuru kwa mchango wake kwa miaka yote kwani ni mchezaji ambaye amwkuwa si wa kupata majeraha mara kwa mara ila haiondoi ukweli kwamba ameondoka kitapeli.
Mbadala wake upo.
Kinachowakera watu si Trent kuondoka..bado ni kijana mdogo na ana safari ndefu kisoka,ila shida yake ni namna alivyoondoka.
 
Liverpool ni klabu inayoongozwa kifamilia zaidi ya kibiashara.

Tazama wachezaji wanavyokaa kwa muda mrefu wengine with less output.

Keita, Ox, Matip, Thiago hawa ni injury prope na LFC ilikaa nao kwa muda mrefu bila kuwaza kuwaondoa (family issues). Unakumbuka mara ya mwisho Gomez kucheza ni lini? LFC hawana mpango wa kumuondoa (sell, loan & free agent). Unamkumbuka Adrian Miguel?? Mpaka akaamua kuondoka mwenyewe ndipo hakuongezewa mkataba tena ila LFC walikua na utayari wa kumuongezea 1 yr.

Milner and Hendo level za timu inayogombea Major trophies wasingekaa na wachezaji wa aina hii for almost 6 yrs na wakiwa no regular na must playing playera only at LFC was possible.
Hii ndio LFC ambayo inaishi kifamilia zaidi. Jan 2025 ilikuja ofa nzuri kumuuza Nunez but wht did LFC do they said NO. je Nunez ni mchezaji wa kutegemewa kiasi hicho? No hapa LFC ni kofamilia zaidi. Ni utamaduni wa Klabu enzi na enzi.

Don't Mess with Kops.
Booooo
Lilipotangazwa jina la Trent walisikika mashabikia wakimzoea Trent licha ya kuwa familia ya LFC tena kutoka utotoni. Kwa nini wamzomee wakati ni mtoto wao kabisa huyu??

Kuwa legend sio ulivyokuja na ulivyofanya ila unaondokaje? Hapa ndio ulijendi unapanwa vizuri. Kwa nini Owen hahesabiki kama LFC legend kwa Kops? LFC Legends matches umewahi kumuona?? Licha ya kua na Balon D'or ila walishamuondoa kwenye ulijendi. Sio utakavyoingia au kubebq mataji plus individual records, but unavyoondoka.
Trent ameharibu kuondoka kwake na haya mengine wala hayana tija na Klabu. Nsio mana licha ya defensive weaknesses zake zilizotugharimu na makombe klabu ilichagua kuwa nae vivyo hivyo. Namna aliyoondoka ndio imeharulibu ulijendi wake pale Anfield.

Trent alichokifanya hana tofauti na aliye force kuondok klabuni, kwa sababu umegomea mikataba yote na mizuri tu kuliko huko unapoenda.

Ilikua rahisi kuongea na Madrid sikieni mie nitakuja kwenu ila nataka some amount ipate na klabu yangu njoeni mtoe £30m nitaondoka, very easy. Angeongea na klabu na aweke kipengele cha kuuzwa kwa bei hiyo. Ingawa he is worth than that.

Binafsi hiyo boo aliyoipata ni haki yake kwa 100% Why??

Ameongea uwongo ili kuwahadaa mashabiki, wasimchukie na wasije kumuondoa kwenye familia. I love this team, supporters, staff and fans. My dream is to captain this team, one day heheh hapo ameshaongea na Madrid na makataba hana muda wa kuongeza, halafu usizomewe?? Sio kwa LFC fans.

Anyway Trent akafanye jitihada zaidi kwenye mafanikio yake hasa binafsi ili atufunge mdomo, lakini kuwa legend nsio kwa heri mwl tukutane kipindi kijacho.

Ynwa
 
Tunajua timu yetu inapitia mabadiliko
Na tunamshukuru kwa mchango wake kwa miaka yote kwani ni mchezaji ambaye amwkuwa si wa kupata majeraha mara kwa mara ila haiondoi ukweli kwamba ameondoka kitapeli.
Mbadala wake upo.
Kinachowakera watu si Trent kuondoka..bado ni kijana mdogo na ana safari ndefu kisoka,ila shida yake ni namna alivyoondoka.
me nakuelewa sana katika hili..issue sio kitafuta maslahi ila upuuz aliyo fanya kutaka kuondoka ,alijua tangu zaman anaondoka watu tukaaminishwa umu kuwa liver aitak kumpa anachotaka kumbe anasubil aondoke free madrid ishamtongoza zaman na yeye amekubali kuisaliti timu yake ili andoke bure isipate kitu ili yeye aweke chote mfukoni...dogo pimbi kweli,mtu uliekuwa nembo ya timu uwez fanya ujinga huu
 
Kabisa Mkuu.
Amejitahidi kucheza mchezo ili timu ndio ionekane mbaya.
Na anaondoka anaiachaa timu haijapata hela yotote kwa ubinafsi wake.
me nakuelewa sana katika hili..issue sio kitafuta maslahi ila upuuz aliyo fanya kutaka kuondoka ,alijua tangu zaman anaondoka watu tukaaminishwa umu kuwa liver aitak kumpa anachotaka kumbe anasubil aondoke free madrid ishamtongoza zaman na yeye amekubali kuisaliti timu yake ili andoke bure isipate kitu ili yeye aweke chote mfukoni...dogo pimbi kweli,mtu uliekuwa nembo ya timu uwez fanya ujinga huu
 
Kivumbi 😆😂
Babe Trent aendelea kupikwa na Mashabiki. .ila wazungu nao kwa matusi hawajambo😂😂😂

Ila kizungu kwenye kuchamba hakinogi.
Ingekuwa ni wabongo wangemkaanga halafu wanamalizia warereee wakachaa😆
Naona roho yako kwatuu 🤣

Captain Marvelous naona bebe anataka kufuatwa Santiago Bernabeu
 
Naona roho yako kwatuu 🤣

Captain Marvelous naona bebe anataka kufuatwa Santiago Bernabeu
Yaani kwatuuu
Hizi comment nashushia zangu seven up nalala.

Asubutuuu
Sishabikii timu zilizotiwa Gundu na Matapeli mbappe na tapeli jipya Trent.
Liver damu damu hadi iniue.

Nimegundua Cody ni mzuri sana kuliko Trent.
 
Safi sana Kops😂
Mmetuwakilisha vyema sisi mashabiki kutoka Namtumbo
Yaanimejua kututolea ya moyoni

Matapeli wote kama haka katoto ni wa kuzomewa tu hadi azimie
Kwa unafiki wake sijui hata aliendaje kimasomaso ,angejua angesingizia hata kuumwa.
Alidhani watamchekea kwa ule usnitch kwa kuondoka kinyemela kama magendo ya pembe za ndovu?
Viva kops♥️👏👏👏
YNWA😹😹😹😻
How on earth did you turn this hostile??
 
Jamani muda wa kuwa siriazi
Mimi ni shabiki wa Cody damudamu
Babe wangu wa msimu huu.
Mungu amuweke Cody master mashuti
Halafu anampenda Yesu mno ♥️
Na Familia yake full burudani yule mtoto🔥🔥🔥
Hayo yupo miamba wa miamba Salah our King.
Nyuma Captain kisiki Tall cyborg VVD 🔥
Waah

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom