Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Arsenal tulikataliwa na timu ya Aouar kwa ajili ya pesa yetu kua ndogo.

Tukakataliwa na Vlahovic akataka timu iliyo CL. Nunez akachomoa pia.

Tukakataliwa na Locatelli kwakua Juve ina ambition kuliko Arsenal. Na Mudryk miluzi akaweka mpunga kufuru.

Fast forward mwaka mbele Aouar kaflop. Vlahovic kuscore ni shit yupo sokoni. Nunez huwezi jutia kumkosa. Locatelli is fine ila ambitions hakuna tena.

Sasa hivi wanasema Arteta akimuonyesha mchezaji power point ya plan aliyonayo juu ya mchezaji huyo mchezaji haruki. Arsenal tumetoa 105M kwaajili ya nahodha wa Westham na England international Liva ilikua radhi kuzidi hicho kiasi ili kumpata Caicedo.

Miluzi anatarajiwa kubid 115M kwaajili ya Caicedo.

Now sisemi Rice ni mzuri na anastahili 100M ila kwa factors za nje ya uwanja ni fair hiyo amount kuliko kuitumia kwa Caicedo. Caicedo ni kama Renato Sanches asiye na majeruhi, he is too good going forward na kurecover dimbani but huku forward anaenda kumpa mipira nani?

Sterling? Nkunku?

Angekuja Liva na Klopp asipobadili style ya uchezaji huyu jamaa angeweza cheza kama Henderson isipokua with pace ya kumzidi Henderson angekua better option. Ila unalipa 100M for this kind of player? Niliwaambia Arsenal wenzangu pesa ya Rice inabidi itugee orchestrator hapo dimbani na siyo anachofanya Rice.

Kama mnaweza kuwavua Newcastle Bruno kamchukueni yule jamaa
 
Kweli ila Nketiah Yuko clinical kulingana na nafasi anazopata.

Halafu Kuna lingine kuhusu Klopp.

Jamani mnamzeesha na kumsababishia presha huyo kocha. Jamaa ni bonge la kocha ila kukosa funds kunafanya amalize career yake vibaya. Mnaonaje mkitupa Klopp aje awe assistant wa Arteta wajichotee Kwa pamoja makombe yote. Sisi si umeona tulivyo vizuri kifedha? Yaani mkwanja mfuko wa shati.
🔥🔥🔥
 
Arsenal tulikataliwa na timu ya Aouar kwa ajili ya pesa yetu kua ndogo.

Tukakataliwa na Vlahovic akataka timu iliyo CL. Nunez akachomoa pia.

Tukakataliwa na Locatelli kwakua Juve ina ambition kuliko Arsenal. Na Mudryk miluzi akaweka mpunga kufuru.

Fast forward mwaka mbele Aouar kaflop. Vlahovic kuscore ni shit yupo sokoni. Nunez huwezi jutia kumkosa. Locatelli is fine ila ambitions hakuna tena.

Sasa hivi wanasema Arteta akimuonyesha mchezaji power point ya plan aliyonayo juu ya mchezaji huyo mchezaji haruki. Arsenal tumetoa 105M kwaajili ya nahodha wa Westham na England international Liva ilikua radhi kuzidi hicho kiasi ili kumpata Caicedo.

Miluzi anatarajiwa kubid 115M kwaajili ya Caicedo.

Now sisemi Rice ni mzuri na anastahili 100M ila kwa factors za nje ya uwanja ni fair hiyo amount kuliko kuitumia kwa Caicedo. Caicedo ni kama Renato Sanches asiye na majeruhi, he is too good going forward na kurecover dimbani but huku forward anaenda kumpa mipira nani?

Sterling? Nkunku?

Angekuja Liva na Klopp asipobadili style ya uchezaji huyu jamaa angeweza cheza kama Henderson isipokua with pace ya kumzidi Henderson angekua better option. Ila unalipa 100M for this kind of player? Niliwaambia Arsenal wenzangu pesa ya Rice inabidi itugee orchestrator hapo dimbani na siyo anachofanya Rice.

Kama mnaweza kuwavua Newcastle Bruno kamchukueni yule jamaa
Hivi umeiona chelseafc inavyocheza chini ya Pochettino? Hivi unazani chelseafc inawachezaji wa kawaida au ilikosa wachezaji kujituma?
 
Arsenal tulikataliwa na timu ya Aouar kwa ajili ya pesa yetu kua ndogo.

Tukakataliwa na Vlahovic akataka timu iliyo CL. Nunez akachomoa pia.

Tukakataliwa na Locatelli kwakua Juve ina ambition kuliko Arsenal. Na Mudryk miluzi akaweka mpunga kufuru.

Fast forward mwaka mbele Aouar kaflop. Vlahovic kuscore ni shit yupo sokoni. Nunez huwezi jutia kumkosa. Locatelli is fine ila ambitions hakuna tena.

Sasa hivi wanasema Arteta akimuonyesha mchezaji power point ya plan aliyonayo juu ya mchezaji huyo mchezaji haruki. Arsenal tumetoa 105M kwaajili ya nahodha wa Westham na England international Liva ilikua radhi kuzidi hicho kiasi ili kumpata Caicedo.

Miluzi anatarajiwa kubid 115M kwaajili ya Caicedo.

Now sisemi Rice ni mzuri na anastahili 100M ila kwa factors za nje ya uwanja ni fair hiyo amount kuliko kuitumia kwa Caicedo. Caicedo ni kama Renato Sanches asiye na majeruhi, he is too good going forward na kurecover dimbani but huku forward anaenda kumpa mipira nani?

Sterling? Nkunku?

Angekuja Liva na Klopp asipobadili style ya uchezaji huyu jamaa angeweza cheza kama Henderson isipokua with pace ya kumzidi Henderson angekua better option. Ila unalipa 100M for this kind of player? Niliwaambia Arsenal wenzangu pesa ya Rice inabidi itugee orchestrator hapo dimbani na siyo anachofanya Rice.

Kama mnaweza kuwavua Newcastle Bruno kamchukueni yule jamaa
Shame on you na analysis yako too biased hata kukujibu nimeshindwa ulivyo na shallow info about Caicedo
 
Hivi umeiona chelseafc inavyocheza chini ya Pochettino? Hivi unazani chelseafc inawachezaji wa kawaida au ilikosa wachezaji kujituma?
Haikuwa na haja ya kumjibu huyo, tayari ana mawazo yake juu ya Caicedo na falsafa nzima ya Caicedo kuja Chelsea ambayo ni very wrong. Wacha tuandikie wino ligi inaanza
 
Diaz sio wa kumtegemea timu ikiwa inasaka ushindi. Ana mambo mengi sana uwanjani hasa akiwa kwenye box.
Mnyama ni Jota hana mambo mengi kabisa. Kwaiyo foward yetu ya kutegemea ni Jota, Salah na Gakpo.
Mkuu sikufundishi mpira, ila nikuulize swali yupi anacheza kwa usahihi upande wa LW?.
Kusema mda wa kusaka ushindi Diaz Hana umuhimu ni kuuchonganisha mpira wa miguu, hayo mambo mengi ndio yanayosaidia wengine kutikisa wavu huyo jota unayemwongelea akipewa game time uwanjani anakimbia kama anavutwa na kamba, akipewa pasi sekunde 3 wahuni walishampokonya!!. Bila kupepesa macho upande wa LW anayeipatia kwa Sasa pale Uwanjani ni Diaz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom