Wewe kocha mwenye vyeti vya UEFA na FIFA, kocha umeshinda makombe yote
Bado unataka kumongezea mkataba Milner ,??? Bobby??? Utawaambia nini wakuelewe kiu imeshakata umri umesonga??
Kocha kama Klopp ni wa kumchezesha Jones No. 6? Ana mjadibu Jones as 6 kwamba hana mpngo na DMF? Jones hana ability wala attribute ya kucheza either 6/8. Aliyemloga Klopp amuhurumie tu kams yupo hai. Sasa naona karudi kwa Mac Allister kumchezaji 6, wapi na wapi kulazimisha mambo.
Kutoka january timu ilionesha inahitaji CB’s, RB, DMF, LCM, RCM ila mpka sasa tumesajili LCM & RCM. Kocha professional mpka sasa hajasajili mahitaji yke ma4 mpka ma5.
Kocha huyu huyu aliahidi mpka july nani akienda preseason anataka signings zake ziwe zimekamilika. Na yeye ndiye mamlaka ya usajili, bado mtu atamtetea Klopp katika hili???
Mpaka sasa hamna utofauti wowote wa kikosi cha last season na hiki zaidi naona kimepungua.
Imagine anaumia Mac Allister na Konate.
Heheh Klopp bana. Nafikiri Liverpool ndio Klabu ipo under pressure mpaka sasa.