Shida yake Klopp ni kwamba hicho kitendo Cha kukosa Fund naye anakifurahia ili ajitwalie umaarufu wa kutenda miujiza ya kufanya njia pasipo njia.
Unadhani mtu kama Pep angekuwa Liver,angekubali na kuchekelea upumbavu wa wajinga FSG kwamba hela hakuna?
Uandhani angetoa zile kauli alizokuwa anazitoa Klopp mwanzo wa msimu uliopita kwamba hakuna haja ya kusajili MF,tunao wa kutosha,yupo Keita,yupo Hendo ,yupo sijui nani,wengine wa nini?
Klopp naye ni mjinga bwana,msimtetee.
Sent using
Jamii Forums mobile app