Kula chumaKula chuma hicho![]()
Ataflop tu
Tupo pale
Hela yetu tunakwenda kushusha vyuma viwili matata
YNWA![]()



Kwani wewe mbona Unaumia sana caicedo kuhusishwa Liverpool wakati hata Chelsea hawakujui ni sokwe mmoja upo tanzania maana Kila sehemu unamuongelea caicedo au mmeo kwani sisi tumekuambia tunalitaka Hilo sokwe

Kwani wewe mbona Unaumia sana caicedo kuhusishwa Liverpool wakati hata Chelsea hawakujui ni sokwe mmoja upo tanzania maana Kila sehemu unamuongelea caicedo au mmeo kwani sisi tumekuambia tunalitaka Hilo sokwe

Kwani wewe mbona Unaumia sana caicedo kuhusishwa Liverpool wakati hata Chelsea hawakujui ni sokwe mmoja upo tanzania maana Kila sehemu unamuongelea caicedo au mmeo kwani sisi tumekuambia tunalitaka Hilo sokwe

Acha ujinga hii ni simu yangu Mimi sina utani na mtuMkuu umetumia Lugha isiyo na ugwana huu ni ushabiki tu. Vip wewe ungeitwa Nyani ungejisikiaje?
Naamini tutaniane na kukejeliana bila kuaribu utu wa binadamu. We are all equal. Hasira aina maana kwenye ushabiki mkuu![]()
Caicedo kavutiwa na ukubwa wa team sio PochettinoYaani kihistoria kuna wachezaji washakataa timu ili tu akacheze na kocha fulani.
Yaani kuna klopp ana historia na makombe lakini mchezaji anamtaka Pochettino
Hapana bwana naamini Miluzi kampa personal terms tamu kinoma nomaCaicedo kavutiwa na ukubwa wa team sio Pochettino
Caicedo ni mshabiki wa Chelsea tangu akiwa mtotoHapana bwana naamini Miluzi kampa personal terms tamu kinoma noma
Wale hawna pesa watishiwa pumziLavia na Caicedo wote mnaporwa
![]()
Timu nyingi tangu 2017. Zinaamini mchezaji akitakiwa na liverpool basi anakuwa na potential.Double deals
Moja tayari
BREAKING: I've been told Chelsea have got an agreement with Southampton for Romeo Lavia for £50 million.
Ila kiukweli Chelsea tulikuwa hatumuhitaji Lavia, sijui tajiri wetu miluzi ana shida gani na Liverpool