Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Basi chukua Nketiah nipe Darwin. Nketiah anahitaji game time Ili apate chance England. Kane anazeeka na England ina strikers kibao wanaitaka nafasi yake. Nketiah atawapambania sana Liverpool

u
Ataweza kutikisa wavu kwa kichwa kutoka kwa makrosi dongo ya Trent?
Wampe msosi kwanza msimu huu then we'll Talk
 
Ataweza kutikisa wavu kwa kichwa kutoka kwa makrosi dongo ya Trent?
Wampe msosi kwanza msimu huu then we'll Talk
😆😆😆 Ila kweli aisee. Makrosi ya Trent yanahitaji akili na timing. Ukijaribu kumalizia vibaya injury inakuhusu. Ndiyo maana sometime nahisi mastriker wenu wanajikosesha makusudi Ili wasiumie bure.
 
Double deals
Moja tayari
BREAKING: I've been told Chelsea have got an agreement with Southampton for Romeo Lavia for £50 million.

Ila kiukweli Chelsea tulikuwa hatumuhitaji Lavia, sijui tajiri wetu miluzi ana shida gani na Liverpool
Plan ilikuwa ni kusajil 2 Mid tangu mwanzo

Ugarte deal lake lilishindaka coz psg walioffer salary kubwa
 
kuna dalili Caicedo akatua Anfield sababu kwa namna navyomjua Klopp na Liverpool hawawezi kukomaa na mchezaji asiyetaka kuja Liverpool.

Kuna kila dalili kuwa Caicedo yupo open kujiunga na Liverpool ila agent wa mchezaji kwakuwa ana percent kwenye deal hili anatumia Journalists kusambaza false info ili tu kuwakatisha tamaa Liverpool.

Naamini kabisa Kama kweli Caicedo anangekuwa haitaki Liverpool mapema sana hata kubid wasingebid.

Endapo ikitokea Caicedo akatua Liverpool lazima atafnya interview pengine tutajua mengi.
 
kuna dalili Caicedo akatua Anfield sababu kwa namna navyomjua Klopp na Liverpool hawawezi kukomaa na mchezaji asiyetaka kuja Liverpool.

Kuna kila dalili kuwa Caicedo yupo open kujiunga na Liverpool ila agent wa mchezaji kwakuwa ana percent kwenye deal hili anatumia Journalists kusambaza false info ili tu kuwakatisha tamaa Liverpool.

Naamini kabisa Kama kweli Caicedo anangekuwa haitaki Liverpool mapema sana hata kubid wasingebid.

Endapo ikitokea Caicedo akatua Liverpool lazima atafnya interview pengine tutajua mengi.
Tokea mwanzo kabisa Caicedo amesema anaitaka chelseafc na Ndio Maana bayern akajitoa kumuwania nyinyi mkageukia Caicedo ni baada ya Chelsea kutoa offer zaidi ya nyinyi kwenye deal la Laiva ambaye Ndio mchezaji mliohusishwa naye muda mrefu ni kama kutaka kulipa kisasi
 
kuna dalili Caicedo akatua Anfield sababu kwa namna navyomjua Klopp na Liverpool hawawezi kukomaa na mchezaji asiyetaka kuja Liverpool.

Kuna kila dalili kuwa Caicedo yupo open kujiunga na Liverpool ila agent wa mchezaji kwakuwa ana percent kwenye deal hili anatumia Journalists kusambaza false info ili tu kuwakatisha tamaa Liverpool.

Naamini kabisa Kama kweli Caicedo anangekuwa haitaki Liverpool mapema sana hata kubid wasingebid.

Endapo ikitokea Caicedo akatua Liverpool lazima atafnya interview pengine tutajua mengi.
story yako inachekesha
20230811_140923.jpg
 
Arsenal tulikataliwa na timu ya Aouar kwa ajili ya pesa yetu kua ndogo.

Tukakataliwa na Vlahovic akataka timu iliyo CL. Nunez akachomoa pia.

Tukakataliwa na Locatelli kwakua Juve ina ambition kuliko Arsenal. Na Mudryk miluzi akaweka mpunga kufuru.

Fast forward mwaka mbele Aouar kaflop. Vlahovic kuscore ni shit yupo sokoni. Nunez huwezi jutia kumkosa. Locatelli is fine ila ambitions hakuna tena.

Sasa hivi wanasema Arteta akimuonyesha mchezaji power point ya plan aliyonayo juu ya mchezaji huyo mchezaji haruki. Arsenal tumetoa 105M kwaajili ya nahodha wa Westham na England international Liva ilikua radhi kuzidi hicho kiasi ili kumpata Caicedo.

Miluzi anatarajiwa kubid 115M kwaajili ya Caicedo.

Now sisemi Rice ni mzuri na anastahili 100M ila kwa factors za nje ya uwanja ni fair hiyo amount kuliko kuitumia kwa Caicedo. Caicedo ni kama Renato Sanches asiye na majeruhi, he is too good going forward na kurecover dimbani but huku forward anaenda kumpa mipira nani?

Sterling? Nkunku?

Angekuja Liva na Klopp asipobadili style ya uchezaji huyu jamaa angeweza cheza kama Henderson isipokua with pace ya kumzidi Henderson angekua better option. Ila unalipa 100M for this kind of player? Niliwaambia Arsenal wenzangu pesa ya Rice inabidi itugee orchestrator hapo dimbani na siyo anachofanya Rice.

Kama mnaweza kuwavua Newcastle Bruno kamchukueni yule jamaa
Sisi sio Klopp wala FSG kwenda kumchukua Bruno
 
Arsenal tulikataliwa na timu ya Aouar kwa ajili ya pesa yetu kua ndogo.

Tukakataliwa na Vlahovic akataka timu iliyo CL. Nunez akachomoa pia.

Tukakataliwa na Locatelli kwakua Juve ina ambition kuliko Arsenal. Na Mudryk miluzi akaweka mpunga kufuru.

Fast forward mwaka mbele Aouar kaflop. Vlahovic kuscore ni shit yupo sokoni. Nunez huwezi jutia kumkosa. Locatelli is fine ila ambitions hakuna tena.

Sasa hivi wanasema Arteta akimuonyesha mchezaji power point ya plan aliyonayo juu ya mchezaji huyo mchezaji haruki. Arsenal tumetoa 105M kwaajili ya nahodha wa Westham na England international Liva ilikua radhi kuzidi hicho kiasi ili kumpata Caicedo.

Miluzi anatarajiwa kubid 115M kwaajili ya Caicedo.

Now sisemi Rice ni mzuri na anastahili 100M ila kwa factors za nje ya uwanja ni fair hiyo amount kuliko kuitumia kwa Caicedo. Caicedo ni kama Renato Sanches asiye na majeruhi, he is too good going forward na kurecover dimbani but huku forward anaenda kumpa mipira nani?

Sterling? Nkunku?

Angekuja Liva na Klopp asipobadili style ya uchezaji huyu jamaa angeweza cheza kama Henderson isipokua with pace ya kumzidi Henderson angekua better option. Ila unalipa 100M for this kind of player? Niliwaambia Arsenal wenzangu pesa ya Rice inabidi itugee orchestrator hapo dimbani na siyo anachofanya Rice.

Kama mnaweza kuwavua Newcastle Bruno kamchukueni yule jamaa

Hii ya kupeleka mpira mbele kurudisha nyuma kukaver wapi acha nayo. Mbona jana ulifurahi sana liverpool walivyohijack deal ya caicedo.

Mpira ni burudani acheni maneno ya kebei baada ya kukosa kitu. Liver wajipange upya kupeleka bid au watoe 45 wamchukue partey
 
Hii ya kupeleka mpira mbele kurudisha nyuma kukaver wapi acha nayo. Mbona jana ulifurahi sana liverpool walivyohijack deal ya caicedo.

Mpira ni burudani acheni maneno ya kebei baada ya kukosa kitu. Liver wajipange upya kupeleka bid au watoe 45 wamchukue partey
Eh
 
Kwa hali ilivyo kama hatutasajili Dm na kuongeza beki anayepiga mguu wa kushoto sidhani. Km kuna kombe tutanyakua maana mapungufu ni mengi kwny ukabaji tukienda na kikosi hiki na hatuna natural dm kwny kikosi ni hali ya hatari mnoo
Hizi concept za sijui Beki anayetumia Mguu wa Kushoto mara wa kulia bado zipo tu Vichwani mwa Watu?

Zanetti alikuwa anatumia Mguu wa kulia na alikipiga kama Beki ya kushoto pale Intermilan na akisaidia Timu kushinda Champion League.

Puyo na Pique wote walikuwa wanatumia miguu ya kulia na shughuli yao inajulikana.

Vidic na Rio walitumia miguu ya kulia wote.

Haya maajabu ya kutaka Beki ataumia mguu fulani sio hoja za kimpira kabisa wala hazina uhusiano na ubora wa Beki au Defence line.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom