Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hapana ,hapa namtetea Caicedo , Liverpool hawakukubalina nae Caicedo, Liverpool walijiamini watashinda,

Hata kudus kawakatalia Brighton

Magwaya Hadi Sasa hajaenda Westham ingawa manjesta na Westham walishamalizana bei
Wewe Kila kitu Cha Chelsea lazima utetee nawasiwasi unaweza kuwa shabiki wa arsenal ila shoga mana sijawahi ona shabiki wa arsenal kama wewe
 
Mchezeji mwenyew kigeugeu sana, mbona wachezaji wengine hua wanatoa angalizo mwanzo kua, siitaji team nyingine iingilie dili hili naitaji team fulani tu basi..
Kama ilivyotokea kwa Timber,Troussard, enzo na wengine wengi.. Kuliko team kukubaliana alf unakuja kuwatoa nishai watu kua huwataki inauma sana
Mi nadhani sisi wenyewe tumekosea, haya ndo mambo ya kwenda kuposa kwa mzee kabla kukubaliana na binti wakati tayari kuna mwamba amejiweka kwake.
 
Kabla hamjamkasirikia Caicedo ,jiulizeni Lin alimalizana Personal term na nyie

Magwaya kule bado yupo manjesta,hajamalizana personal term na westham ,ingawa mnaheachaga na Westham walishamalizana Bei

Hivi vitu vya kawaida
We jamaa mbona matacall yanakuwasha kuhusu hii mada wakati ni arsenal au umepeleka ushoga arsenal kumbe ni Chelsea nyie ndio mnaguata timu zinazokia onfire
 
Alaaa. Mimi mnimeshawapongeza Livakuku Kwa kumnasa Caicedo na kutulipizia kisasi Kwa Chelkenge Kwa uhuni waliotufanyia Kwa Mudy. Daah
imekula kwenu, Chelsea anaenda kupiga comeback ya hatari, kweli tajiri miluzi ni next level.
Akishamalizana na Caicedo wanaenda kumalizia kwa Lavia halafu dirisha dogo January wanauzwa Saudia.
 
Biashara inayofanywa kati ya Chelsea, Liverpool, Britons na Moises inatakiwa itungiwe sheria, hii inaleta picha ya timu zingaongea pembeni ili kujua bajeti ya timu nyingine.
Ebu fikiria Liver wakishindwa kwenye hii saga, wakirudi kwa Levia wataambiwa kumbe wanapesa ya kuweka 111m lakini wanashindwa kukipa 50m? Je kuna sehemu wataenda walipe pungufu ya RC ya mchezaji husika?
Je, Chelsea wanaimani tena kuwa Liverpool walikuwa na nia ya kulipa hiyo 111m wakati wao walishamalizana na mchezaji.
Kwa style hii...itafikia hatua maboss wa timu rafiki wataongea biashara ya kujaribu kupandisha dau...hii ni rushwa kabisa.
 
imekula kwenu, Chelsea anaenda kupiga comeback tajiri miluzi ni next level.
Akishamalizana na Caicedo wanaenda kumalizia kwa Lavia halafu dirisha dogo January wanauzwa Saudia.
Nimejikuta nacheka, kwamba Tajiri Mluzi ni Agent wa Saudia. Naisi kuna sehemu huyu jamaa anatoa pesa chafu..itabidi achinguzwe, anatapanya pesa kwa watoto bila sababu.
 
Chelsea hata ikiwa haifanyi kizuri still inamvuto mkubwa tofauti na nyinyi
Wewe hujui kinachoendelea,liverpool waliongea na caicedo wakawa na verbal agreement. Kinachotokea sasa ni agent wa caicedo anatumiwa na chelsea akijua atapiga hela zaidi.
 
Mmepigwa kata funua

𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Moises Caicedo has informed Liverpool that he ONLY WANTS TO JOIN Chelsea.

(Source: @FabrizioRomano)
Hua inauma sana hii, halafu ukute watu washalipia mpaka ukumbi wa harusi pamoja na gharama zote halafu bi harusi anasema huyo bwana harusi sio chaguo lake hataki kuolewa na yeye, yeye anataka kuolewa na Mkohoti tu.
 
Mchezeji mwenyew kigeugeu sana, mbona wachezaji wengine hua wanatoa angalizo mwanzo kua, siitaji team nyingine iingilie dili hili naitaji team fulani tu basi..
Kama ilivyotokea kwa Timber,Troussard, enzo na wengine wengi.. Kuliko team kukubaliana alf unakuja kuwatoa nishai watu kua huwataki inauma sana
Ni mpumbavu tu kama wapumbavu wengine
Na anakwenda kuflop,tupo pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom