Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

dah
Screenshot_20230811-181934.jpg
 
Yaani kihistoria kuna wachezaji washakataa timu ili tu akacheze na kocha fulani.

Yaani kuna klopp ana historia na makombe lakini mchezaji anamtaka Pochettino
 
Hapo ni vita ya mshahara sasa, huenda liverpool saivi inapandia dau mshahara wa chelsea, na chelsea nao huenda wanaongeza dau la mshahara kuliko la mwanzo

Lakini pia huenda liverpool ilifanya hivo kuikomoa chelsea ili wapigwe pesa ndefu zaidi maana walihisi ni wao wenyewe tuu kwenye mbio za caicedo au huenda liverpool walikua serious kweli
 
Mkuu sio panic...
Liverpool walihitaji defensive midfielder.. Na wamempata..

Bado beki wa kati na upande wa T-Anorld basiii
DM alikua huyo tu sokoni?
mkuu unadhani yanks watatoa hela nyingine hapo?

anyway, 110 kwa caicedo ni hela nyingi sana, hio hela unapata wachezaji wawili quality.......

hata hivyo sisi mashabiki hayatuhusu sana, tunachotaka ni ushindi otherwise tutawaua kwenye mikeka!
 
Hapo ni vita ya mshahara sasa, huenda liverpool saivi inapandia dau mshahara wa chelsea, na chelsea nao huenda wanaongeza dau la mshahara kuliko la mwanzo

Lakini pia huenda liverpool ilifanya hivo kuikomoa chelsea ili wapigwe pesa ndefu zaidi maana walihisi ni wao wenyewe tuu kwenye mbio za caicedo au huenda liverpool walikua serious kweli
Kwa alichokifanya Caicedo kuwakataa Liverpool wakipandia juu ya bidi ya Chelsea tena wataonekana wajinga wa mwisho. Wewe mchumba amekukataa mbele ya ndugu, majirani jamaa na marafiki na umma woote halafu unajipendkeza tena kulipa mahari. You must be stupid tena Total Stupp
 
Unadandia Lori kabla hujaongea na dereva, mwi9sho unapigwa na chuma kizito
Siku nyingine mkidandia dili za watu anza na mhusika mwenye
Wee mchumba wa mtu mwingine amemtongoza kwa zaidi ya miezi mitatu na walikuwa wanaenda vizuri tu halafu mwanaume mwingine akidhani pesa ni kila kitu anakuja hata bila kumtongoza msichana anaend akutaka kulipa mahari moja kwa moja. Wasichana wa siku hizi bana sio kama wale wa zamani wanaopelekeshwa tu. Wanahitaji mnmikakati na mojawapo ni kuwasilisha mikakati yako kwake ili aelewe akubali au akatae

Caicedo kafanya vizuri sana kuikataa Liverpool kwa sababu tumeenda naye vizuri tangu May bila chokochoko yeyote
 
Kwa alichokifanya Caicedo kuwakataa Liverpool wakipandia juu ya bidi ya Chelsea tena wataonekana wajinga wa mwisho. Wewe mchumba amekukataa mbele ya ndugu, majirani jamaa na marafiki na umma woote halafu unajipendkeza tena kulipa mahari. You must be stupid tena Total Stupp
Hatumtaki tena aende Chelsea huko
 
Kwa alichokifanya Caicedo kuwakataa Liverpool wakipandia juu ya bidi ya Chelsea tena wataonekana wajinga wa mwisho. Wewe mchumba amekukataa mbele ya ndugu, majirani jamaa na marafiki na umma woote halafu unajipendkeza tena kulipa mahari. You must be stupid tena Total Stupp
Kwani wewe mbona Unaumia sana caicedo kuhusishwa Liverpool wakati hata Chelsea hawakujui ni sokwe mmoja upo tanzania maana Kila sehemu unamuongelea caicedo au mmeo kwani sisi tumekuambia tunalitaka Hilo sokwe
 
Caicedo kachomoa battery

hamis77 Caicedo anaprove hapa kwamba ana msimamo.

Hii itugee picha gani? Notice analazimisha kwenda timu haipo Europa, ila Liva hawana utamaduni wa mishahara mikubwa nafikiri hicho ndiyo anafuata Chelsea
Kasema anasimamia ahadi yake kwa chelsea
 
Kwani wewe mbona Unaumia sana caicedo kuhusishwa Liverpool wakati hata Chelsea hawakujui ni sokwe mmoja upo tanzania maana Kila sehemu unamuongelea caicedo au mmeo kwani sisi tumekuambia tunalitaka Hilo sokwe
Angekuwa ni mzungu ametumia hayo maneno ya kumuita sokwe binadamu sababu ya rangi yake,watu wote tungesema wazungu ni wabaguzi, jitahidi kutumia lugha ambayo haitadhalilisha utu wa binadamu mwenzio siyo kumuita mwenzio sokwe haipendezi.
 
Hapo ni vita ya mshahara sasa, huenda liverpool saivi inapandia dau mshahara wa chelsea, na chelsea nao huenda wanaongeza dau la mshahara kuliko la mwanzo

Lakini pia huenda liverpool ilifanya hivo kuikomoa chelsea ili wapigwe pesa ndefu zaidi maana walihisi ni wao wenyewe tuu kwenye mbio za caicedo au huenda liverpool walikua serious kweli

Zote ni probability. Hakuna mwenye uhakika so cool dawn wacha ngoma ichwezwe
 
Kwani wewe mbona Unaumia sana caicedo kuhusishwa Liverpool wakati hata Chelsea hawakujui ni sokwe mmoja upo tanzania maana Kila sehemu unamuongelea caicedo au mmeo kwani sisi tumekuambia tunalitaka Hilo sokwe
Hapo nakuanoa unaumia sana, matusi ni njia ya kuondoa frustration ile mbaya. Huu ni mpira tu na sisi ni mashabiki tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom