Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,936
- 3,941
Kombe la msimu;
"Tuliwafunga manyuu saba bila"
"Tuliwafunga manyuu saba bila"










Hahaha ni msimu huu huu una matokeo fulani fulani sometimes yes sometimes no...Yaani tena leo nilitupia uzi wetu kabisa
Furaha ilizidi nikavunja kibubu kwenda kununua,
Nimetamba nayo mtaani
Najutaa😂😂😂
Ndio mpira ulivyo hata sisi leicester city wamegawa points Sana ila Jana walitukamia ile mbaya but quality ya wachezaji wetu wakaamua mchezoHahaha ni msimu huu huu una matokeo fulani fulani sometimes yes sometimes no...
Huyu Bournemouth alivyokuja Anfield alichapika goli 9 nadhani bila lakini jana alikomaa sana kwa kua nae ana jambo lake kubakia EPL mazima.
Jumatano tupo pale Bernabeu na ugenini msimu huu tuna rekodi mbaya sana.
YNWA
Huu msimu naona Mei mbali sana bora uishe tu tuanze upya aisee.Ndio mpira ulivyo hata sisi leicester city wamegawa points Sana ila Jana walitukamia ile mbaya but quality ya wachezaji wetu wakaamua mchezo
Nyinyi shida yenu kuu wachezaji wamechoka wametumika Sana nilitegemea mtafanya usajili wa nguvu kama tulivyofanya sisi lakini hamjafanyaHuu msimu naona Mei mbali sana bora uishe tu tuanze upya aisee.
Haya mambo ya kukamia mechi sio powa kabisa yaaani kutoka kushinda 7 bila na kwenda ugenini kwa timu iliyokua inashika mkia na kutoka na kipigo inaonyesha kuna shinda mahala.
YNWA
Kumbe tulimnyuka 9Hahaha ni msimu huu huu una matokeo fulani fulani sometimes yes sometimes no...
Huyu Bournemouth alivyokuja Anfield alichapika goli 9 nadhani bila lakini jana alikomaa sana kwa kua nae ana jambo lake kubakia EPL mazima.
Jumatano tupo pale Bernabeu na ugenini msimu huu tuna rekodi mbaya sana.
YNWA
Hujui siri ya mpira ndezi wewe!You are as idiots as Man United, having dismantled man United, you lose to the team in the drop zone!
Acha maneno ya ajabu ajabu. Season iishe Sasa hivi wakati Gunners Bado tunataka kuenjoy?Huu msimu naona Mei mbali sana bora uishe tu tuanze upya aisee.
Haya mambo ya kukamia mechi sio powa kabisa yaaani kutoka kushinda 7 bila na kwenda ugenini kwa timu iliyokua inashika mkia na kutoka na kipigo inaonyesha kuna shinda mahala.
YNWA
A.villa hakutoka na Cleansheet je' Liverpool alitoka na Cleansheet au hakutoka na Cleansheet?Si vibaya kukumbushana binadamu tumeumbwa kusahauSaint Anne Captain Marvelous View attachment 2547837
Huoni kama hapo ni saba kwa mbili?Si vibaya kukumbushana binadamu tumeumbwa kusahauSaint Anne Captain Marvelous View attachment 2547837



mlilala kifo cha mende ndo tatizo lilipoanziaKweli timu ina shida
Yaani hivi vitoto ndio vilitubangaisha hivi?🥲
Ni kwamba tulichoka au ilikuwaje wandugu?
Nacheck hii mechi, moyo unaniuma![]()