verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,121
- 6,184
Msiba upo kwenu leo 








Ile mechi huna cha kupambana maana kumpiga madirid bao nne na wao wasipate bao ni uwongo. Apo mujiandae na msimu ujao😀😀😀Sawa nakutakia ushindi kusonga mbele ndugu...
Upande wetu hatuelewi ni namna gani tutasonga maana duh tunakwenda ugenini Bernabeu sio mahala rahisi kivile lakini tutapambana tuone tutambulia kipi baada ya mechi.
YNWA
Liverpool msimu huu wabovuLiverpool kuifunga
MAN goli 7-0 haimaanishi kuwa Liverpool ni nzuri sana au Man U nj mbaya sana.
Naona kama siku ile ilikuwa ni siku mbaya kawa man na siku nzuri kwa Liverpool.
Ukitaka kujua ninachomaanisha wewe kuendelea kuzifuatilia hizi timu mbili kwenye mechi walizozibakisha msimu huu. Matokeo yatakupa ukweli
Naona munapakuliwa![]()
Liva Ni ndezi kwelikweli,Penati ya mchongo.
Huyu refa hovyo kabisa
Kabisa sio kazi rahisi aisee kwenda pale na kutoka kifua mbele.Ile mechi huna cha kupambana maana kumpiga madirid bao nne na wao wasipate bao ni uwongo. Apo mujiandae na msimu ujao😀😀😀