Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

😂😂😂😂Ishakua historia aisee pointi muhimu 3 zimepotea hivi hivi huku Newcastle na Tottenham wakishinda na kufanya hizi mbio kuzidi kunoga zaidi...

YNWA
Yaani hadi nikajiuliza
Au man u walimloga Salah wetu jamani chaa🥺
Ile penati hata ningekupa wewe Bobby usingepiga vile aisee!
Hata mimi nisingepaishia kule mbali.
 
Mimi niliona efforts za VVD
Alijitahidi sana kukimbia kumkaba adui
Hadi akazidiwa na kupiga.

Kasheshe ipo huku Konate kajitupa chini
Trent anafanya utalii yupo mbali kabisa,,jamaa wanajimwaya mwaya wote mbele ya Allison
Dah!🥺
Kaangalie tena utaona VVD alikimbia akachoka akasimama klosi ikipigwa na kutoa kwa Billing hakufanya kosa.

Ilikua ni collective mistake.

YNWA
 
Wapo Kama hawapo aisee.
Ile goli tumefungwa mwa uzembe wao🥺
Hata ingekuwa mm pale ningefunga..
Wamekaa mbali kule kabisa aisee hii timu🥺
Kwa bahati mbaya naamini halitakua goli la mwisho kufungwa kwa staili ile yaani msimu huu tuna hali tete sana pale nyuma.

YNWA
 
Tobaaa😂
Siangalii tena mechi
Kesho Uefa tupo ugenini pale Bernabeu usikose kutazama pengine ndio Champions League yetu kushiriki ya mwisho mpaka msimu wa 2024 2025 maana kwa hali inavyokwenda upo uwezekano kabisa tukakosa Big 4.. Klopp ni kama amechoka na hii hali anatamani tu June 2023 aanze upya kusuka kikosi chake.

YNWA
 
Kesho Uefa tupo ugenini pale Bernabeu usikose kutazama pengine ndio Champions League yetu kushiriki ya mwisho mpaka msimu wa 2024 2025 maana kwa hali inavyokwenda upo uwezekano kabisa tukakosa Big 4.. Klopp ni kama amechoka na hii hali anatamani tu June 2023 aanze upya kusuka kikosi chake.

YNWA

If i were Klopp ningetafuta saikolojisti mmoja matata anakaa na wachezaji masaa manne wanakula darasa tu.

Nikitoka hapo namwalika Stevie G mazoezini, wakitoka hapo ni tizi tu.
 
Kwa bahati mbaya naamini halitakua goli la mwisho kufungwa kwa staili ile yaani msimu huu tuna hali tete sana pale nyuma.

YNWA

Uti wa mgongo wa timu umekufa.

CB DM ST (center of the team)

Kumbuka tulikua na prime VVD (cb) Gini/Fabinho (DM) Bobby (ST fols 9) hii chaini ilikomesha wengi. Embu tazama form yao na bado wapo kwenye hiyo cheni.

Utaona jinsi tumepwaya kwenye UTI wa mgongo wa team.
Ukija kwenye flanks tunapwaya kutokana na uti umeshajifia pia,.

Priority ya Klopp ni Jude and Nunes ila sijui kwa nini hajigusi kwenye CB DM and RB.
 
Kesho Uefa tupo ugenini pale Bernabeu usikose kutazama pengine ndio Champions League yetu kushiriki ya mwisho mpaka msimu wa 2024 2025 maana kwa hali inavyokwenda upo uwezekano kabisa tukakosa Big 4.. Klopp ni kama amechoka na hii hali anatamani tu June 2023 aanze upya kusuka kikosi chake.

YNWA
Dooh
 
Uti wa mgongo wa timu umekufa.

CB DM ST (center of the team)

Kumbuka tulikua na prime VVD (cb) Gini/Fabinho (DM) Bobby (ST fols 9) hii chaini ilikomesha wengi. Embu tazama form yao na bado wapo kwenye hiyo cheni.

Utaona jinsi tumepwaya kwenye UTI wa mgongo wa team.
Ukija kwenye flanks tunapwaya kutokana na uti umeshajifia pia,.

Priority ya Klopp ni Jude and Nunes ila sijui kwa nini hajigusi kwenye CB DM and RB.
Labda data zinamwonyesha pale kati pakiimarishwa basi na kwingine kutakua imara lakini ukumbuke kingine Klopp hajasema wapi ana imarisha hio June 2023. Hii MF inatajwa kwa kua Milner, Keita na Ox mikataba yao inaisha.. Tetesi Milner anaweza kubakishwa kikosini kwa mwaka mmoja tena.

Nunes na Bellingham itakua upgrade powa kiasi fulani lakini pale CBR/L hatuna uhakika sana kwa kua Konate hawezi kucheza msimu mzima bila kuumia hivyo kwa kuwategemea Gomez na Matip itakua suicidal ndugu.

Hapa ni FSG wakumbali mauzo ya hisa kadhaa ili hio pesa iwekezwe kikosini June 2023.

YNWA
 
If i were Klopp ningetafuta saikolojisti mmoja matata anakaa na wachezaji masaa manne wanakula darasa tu.

Nikitoka hapo namwalika Stevie G mazoezini, wakitoka hapo ni tizi tu.
Hahaha nadhani afaute staili ya ETG pale Manchester United baada ya kipigo nadhani Brentford wakati msimu huu mzunguko wa kwanza kocha alikua kama mbogo kwamba hawakimbii bila mpira wala wakiwa na mpira hawakimbii hivyo mazoezini huko ilikua ni kukimbia tu hakuna kingine mpaka pale alivyoona sasa wanaelewa anachokitaka na kweli kuanzia hapo wakawa bora baada ya muda mfupi.

Hawa wachezaji wetu wameridhika sana kwa sababu as they say they have won any available cup at club level hivyo hakuna motivation yotote ile kwao na ukiangalia inaleta sense kabisa kwa sababu ile kujituma ni mpaka wataka wao sio ile collective responsibility kama misimu ya nyuma. Yote haya ni FSG kutokua makini kwenye uwezekezaji kila dirisha la usajili na kuamua Klopp anatosha bila kujua Klopp nae ana limits kwa sababu ni binadamu.

YNWA
 
Usichoke sana Miss Liverpool tumeipenda wenyewe.

YNWA

Anyways, tuendelee kunywa sevenUp
Ndicho tulichokipata
JamiiForums-279113820.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom