Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bata FC bado mnakumbuka 7-0
Screenshot_20230311_213037_FotMob.jpg
 
Nishasema arsenal mngecheza na Nyie uo mpira wa ujanja ujanja hata msimu mmoja mngekuwa na UCL na ueropa hata moja.

Nyie mpira wenu mzuri umewapa nini miaka yote Iyo

No EPL Cup 18 years
No ueropa for life
No ucl for life

Uo mpira mzuri mnachezea nani hata uefa mna miaka mingapi mjaenda.
Ok tuseme tuachane na yote hayo Kwanini mjacheza uefa miaka yote hiyo.
Kwamba no UEFA and EUROPA for LIFE kwa Arsenal
 
Ndiyo soka ina mambo yasiyo tarajiwa!
Tunajipanga mechi ijayo na waacheni Liverpool feki wazidi itukana team!

Liverpool HALISI tuendelee kuwa nyuma ya team,vijana hawana msimu mzuri lkn wanapambana sana
 
Ndiyo soka ina mambo yasiyo tarajiwa!
Tunajipanga mechi ijayo na waacheni Liverpool feki wazidi itukana team!

Liverpool HALISI tuendelee kuwa nyuma ya team,vijana hawana msimu mzuri lkn wanapambana sana
Sisi Livakuku halisi tutabeba EPL na UEFA. Wale fake wakalalee mberee..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom