FSG hua hawana historia hio ya kununua June na January bila kua wameuza wachezaji ni nadra sana wakakope kwa ajili ya uwekezaji, wao ni timu ijiedeshe yenyewe bila mkopo wa wamiliki na ndio wanafeli sana...
Wapo tayari kuuza hisa kadhaa hata kwa £500m ili Klopp apewe mshiko wa maana kuingia sokoni kwani kikosi kimeshatumika, kimechoka, kinahitaji damu changa kuchanganya na waliopo.
Msimu huu tunafeli sana kwenye defence transition mpira ukishapita kati kati under presa ya kweli kweli kuja kwetu basi hakuna mchezaji mwenye uhakika nini afanye kuzuia goli sio VVD, Fabinho, Trent wala Konate inakua ni aibu Klopp anajishika kichwa tu... Hapo ndio tatizo lilipo na Klopp amejaribu sana kutoa maelekezo lakini wachezaji wanafanya kinyume chake. Hata Klopp amechoka sana aisee. Msimu huu nadhani ugenini EPL tumeshinda mechi 3 tu hii hakumbaliki kabisa.
Nwa better days next season may be. Ni kuweka hope alone.
YNWA