Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20230311_175203.jpg


😂😂😂😂😂Kumbe kweli .

YNWA
 
Liverpool kuifunga
MAN goli 7-0 haimaanishi kuwa Liverpool ni nzuri sana au Man U nj mbaya sana.
Naona kama siku ile ilikuwa ni siku mbaya kawa man na siku nzuri kwa Liverpool.

Ukitaka kujua ninachomaanisha wewe kuendelea kuzifuatilia hizi timu mbili kwenye mechi walizozibakisha msimu huu. Matokeo yatakupa ukweli
Kufungwa mabao saba kwa nunge inamaanisha timu ni mbovu na inapita kwa janja njnja sana
Timu iliyo serious haiwezi kupigwa bao saba kwa sifuri
Ni dhambi hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom