kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,175
- 15,877
Yale Yale anayopataga Mara nyingiSina bando naombeni matokeo ya Liverpool
Samahani lkn🫣🫣


Kwa hio ni 7th season syndrome ya Klopp imetua kwa kasi ya 5G.
Ni upepo tu huu utapita ndugu...Shabiki wa Liverpool unapataje nguvu ya kwenda kuangalia mpira banda umiza?![]()
sio kwamba watalipa kwa miaka 8.5 hapana, malipo ni namna walivokubaliana na klabu inayouza, ila wao kwenye vitabu vya uhasibu wanazisambaza hizo data kwenye sheet in a way that itasomeka matumizi ya kumnunua mchezaji husika ji 10m for that financial year....Klopp anazuga anajua vyema sana kwa sababu akisema anajua itakua swali kwa nini Liverpool tusitumie mbinu kama hizo..
Iko hivi mchezaj anauzwa £88m anapewa mkataba wa miaka 8.5 namna ya kua salama FFP inakua hivi ni bei ya mchezaji husika kwa mfano Mykhailo Mudryk bei £88m8.5 years = 10.4m kwa mwaka ambayo malipo yatalipwa kwa kila miaka £10.4m kwa miaka na nane na nusu. Sasa hapo kipi Klopp haelewi.
YNWA
Pain is beautiful
Sawa sawa.Yani leo ndio leo usipo ipenda liver ya leo saa 12 : 00 jioni basi utakuwa na chuki zako binafsi.
WOL 0 - LIV 4
Hakika leo kicheko kitarudi tuna , letss go YNWA
Itabidi tu kubali tu huu msimu na msimu ujaoDah aise kuisuka hii timu inahitaji angalau tena misimu kadhaa then muibuke mutambee alafu mpotee tena hahaha aise poleni sana lakini nacheka![]()
Sure Mkuu.sio kwamba watalipa kwa miaka 8.5 hapana, malipo ni namna walivokubaliana na klabu inayouza, ila wao kwenye vitabu vya uhasibu wanazisambaza hizo data kwenye sheet in a way that itasomeka matumizi ya kumnunua mchezaji husika ji 10m for that financial year....
kwaio ukija kuangalia expenses itaonekana zimetumika 10m, so wana evade ffp kwa style hio, thats why uefa wanataka kulimit urefu wa mkataba uwe 5yrs.....
in simple terms, timu inaweza kuspend 1b in a single season, lkn mikataba ya wachezaji wote atawapa ya miaka 10 (sasa say players wapo 10, na kila mmoja kanunuliwa kwa 100m totaling to 1b),
kihasibu itasomeka umetumia 100m a year only kwenye hizo transfer, kiasi ambacho kinakua within limits za ffp
Liverpool Fans wanamuona Klopp kama ni MUNGU wao na ni kwa sababu tu li timu halina Ambition wala Direction lipo lipo tu.
Liverpool bila Milner si chochote si lolote 😂😂😂Wolves vs Liverpool was likeView attachment 2506317
Nanyi mngepata mmiliki kama Tajiri miluzi mngefika mbali