Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

OllaChuga Oc hata Livescore hayupo sasa maana haelewi uwekezaji huu na hizi sare mbona naona hata Europa atakosa.

YNWA
Mzeebaba projects etu siyo ya msimu huu tena, kwanza wachezaji ndio bado hajazoeana mtu kasajiliwa tu juzi apo unataka leo leo afanye vizuri?! Ni suala la muda tu mkuu. Je nyie Livakuku mnajambo gani msimu huu?!
 
Mzeebaba projects etu siyo ya msimu huu tena, kwanza wachezaji ndio bado hajazoeana mtu kasajiliwa tu juzi apo unataka leo leo afanye vizuri?! Ni suala la muda tu mkuu. Je nyie Livakuku mnajambo gani msimu huu?!
Sisi msimu huu hatuna jipya tunagawa pointi kiulaini tu.. Tumerudi kulee kukamia mechi kubwa aafu mechi za wengine haooo hatuna mishe ni vipigo tu.

YNWA
 
Sisi msimu huu hatuna jipya tunagawa pointi kiulaini tu.. Tumerudi kulee kukamia mechi kubwa aafu mechi za wengine haooo hatuna mishe ni vipigo tu.

YNWA
Dah aise kuisuka hii timu inahitaji angalau tena misimu kadhaa then muibuke mutambee alafu mpotee tena hahaha aise poleni sana lakini nacheka😂😂😂
 
Matip na Gomez ni bomb linalipuka muda wowote weka hapo na Trent alivyo msimu huu ndio kabisa hatumoo...
Hivi huko mazoezini Klopp kweli hua wanafanya session za game plan A na game plan B kwamba leo MF wa Wolverhampton wanabana pembeni na tunakosa mbinu kupita matokeo yako Wolverhampton wanapata second ball zote...
Hata ile fear factor tuliokua tunatembea nayo hakuna tena aisee.

Tukimaliza nafasi ya 6 mpaka 10 kwa kweli itakua bahati na si juhudi.

YNWA
 
Dah aise kuisuka hii timu inahitaji angalau tena misimu kadhaa then muibuke mutambee alafu mpotee tena hahaha aise poleni sana lakini nacheka😂😂😂
Kuisuka hii timu yetu kunahitaji ela ndefu sio pungufu ya £200m.

Haya Chugga, Klopp kajatakia mwenyewe kwanza kuwatimua wachezaji majembe lakini kingine kuwapa wachezaji wazee mikataba mirefu sana bila kusoma alama za nyakati kwamba EPL sio mahala pa kulea wazee ni wazee kiasi vijana wengi hapo unakua salama lakini kwetu wazee wengiiiiii vijana wachache sana.
Kingine Midfield waliosajiliwa toka 2018 ni wagonjwa hakuna kazi kazi tazama Kieta, Thiago na Arthur Melo hao wote ni spana mkononi muda wowote utasikia wodini.
Nitashangaa sana kama huyo Bellingham atatua Liverpool hii ya sasa.

YNWA
 
orabooo shika rabakata resebene kalkiti ronono prakata tumba sfrah kwamba ni mazuri saaana ila maombi yaitajika
JamiiForums-1152836919.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom