Yeah man kwa maneno hakika hatujambo na mpira bila maneno aisee haunogii kabisaaasasa maneno aafu unachapika ndugu ndio balaa linapoanzia.
Lesson tumeipata. Umeona eti ma Captain wa Real kabla ya mechi masaa kadhaa walikua wame relax wanacheza kadi yaaani kweli hawakukosea walivyosema presha tunayo sisi na si wao.
Ile gemu naona kuanzia mashabiki mpaka wachezaji waliikamia sana especially baada ya Kipara kushinda EPL waliona sasa tupate kubwa lao na msimu utakua murwa sana la 7 likiwa limepoa Anfield archives.
Next time Klopp na whole Liverpool fraternity tatakua smart zaidi, talk less lets the final score do the talking
YNWA






. Sawa kabisa mkuu. All the best next season. Ila naamini na sisi tutarudi msimu ujao vizuri zaidi. Tukikutana tena moto utawaka.Hizii ni dharauu aisee... Ox,Milner,keita Wana chukua fungu kubwa kuliko MANE!!Manjesta hawawaheshimu watu wao jamaa hajifeel yuko nyumani kabisa wanamzarau na kejeli kibao kisa wao wanajiona ndio klabu kubwa na wanahela.
Sisi mtu yoyote akiwa wakwetu lazima tuoneshe tunampenda hata kama anakosea atajisikia yuko nyumbani tu na slogan yetu ile YNWA.
Hao manjesta wao wanataka ushindi tu ukikosea tu kidogo lawama kama zote na wanakuzarau mazima kila kitu wajuaji wao.
Manjesta haiwezi tena kuwa timu Bora ,ni swala la muda tu ndio maana hata Klopp aliwakataa hawana heshima kabisa kwa wafanyakazi wao.
Msimu ujao ndugu yangu naona utakua fire balaaa sanaaaa.. Sawa kabisa mkuu. All the best next season. Ila naamini na sisi tutarudi msimu ujao vizuri zaidi. Tukikutana tena moto utawaka.
If this was boxing Liverpool angekua kashindwa kwa KO... Karusha ngumi nyingi zisizo na maana, kapigwa moja chalii.




Yeah man kwa maneno hakika hatujambo na mpira bila maneno aisee haunogii kabisaaasasa maneno aafu unachapika ndugu ndio balaa linapoanzia.
Lesson tumeipata. Umeona eti ma Captain wa Real kabla ya mechi masaa kadhaa walikua wame relax wanacheza kadi yaaani kweli hawakukosea walivyosema presha tunayo sisi na si wao.
Ile gemu naona kuanzia mashabiki mpaka wachezaji waliikamia sana especially baada ya Kipara kushinda EPL waliona sasa tupate kubwa lao na msimu utakua murwa sana la 7 likiwa limepoa Anfield archives.
Next time Klopp na whole Liverpool fraternity tatakua smart zaidi, talk less lets the final score do the talking
YNWA

sasa maneno aafu unachapika ndugu ndio balaa linapoanzia😂😂😂 Haha whats doesn't kill you makes you stronger.sasa maneno aafu unachapika ndugu ndio balaa linapoanzia
Yaani hapo nimecheka balaa
Kaka mkubwa acha tu kuna saluni moja hivi niliipenda sana sasa saluni yenyewe ipo ghorofani mimi nikapaki baiskeli kwa chini nikasahau kufunga loku nami mwenyewe nikajisahau kush2ka haipo afu nchi za wenyewe hawa utamuuliza nani akuelewe hehehehehe 🤣🤣🤣 ila nimefanikiwa kuipata kaka mkubwaMpira bado mkuu, kwani baskeri yako anita ulii paki wapi?
Ahsante sana kaka ni gari ndogo tu ila balaa kubwa sanaUsafiri gani boss pole sana
Alikuwa anamwambia Valverde achukue yote.Hili jukwaa uhuru umezidi.
Yaani Virgil anaonyesha wowowo kwa waangalia pilau
Hizii ni dharauu aisee... Ox,Milner,keita Wana chukua fungu kubwa kuliko MANE!!
Acha aendee aisee.
View attachment 2247367
Hiyo Dembele sio ya kuichukua ni pancha mno, chakushangaza unaweza shangaaDarwin Nunez akachukuliwa na Man u au Chelsea tukabaki lalama tu.Tetesi ni tunahusishwa na kuwataka Rafael Leao wa AC Milan, Darwin Nunez wa FC Porto, Ousmane Dembele wa Barca