King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Next season furaha itatawala hapa
Mimi nawaangalia tu wanavyo jishebedua. Midomo iliwazidi sanaKila nikifikilia haya majamaa mishipaa imesimama yanapayuka ooooh "quadraple" nabaki nacheka ..!!fala Sana kuku wakubwa nyie
Huenda hata suala la kipato limechangia pia. .Sio kwamba Mane anaona ameshashinda kila Kombe na Liverpool so anaona akatafute changamoto mpya?
Inaniumiza ninapoimagine kuangalia mechi za Liverpool bila Sadio the main Man ...Very sad
Porno itakuua
Na mpaka sasa UCL inawapiga chenga balaaa.Eti oil cash cows
Hao wao ni kumwaga tu mapesa, kuhusu mapato hiyo haiwahusu. 'Balancing books' haipo katika dictionary yao.
Chelsea tulionyesha nia tangu feb sijui iliishia wapi. Labda sanction na kwa vile sanction imeisha sasa tunakuja na nguvu mpya, ari mpya na kasi mpyaGAVI (17) atwaa tuzo ya kinda bora La liga mbele ya Vinicius Jr, Pedri na Rodrygo.
Mpaka sasa hajasaini mkataba mpya na Barcelona huku dau lake ni €50m tuu. Liverpool, Bayern Munich na Manchester United wote wapo tayari kumsajili kinda huyo mwenye kipaji mguuni.
Tunasubiri nini kumnyakua huyu dogo?
Wame improve aisee... Kipindi Cha kina Yaya Toure walikuwa Wana ishia 16 bora,Angalau Sasa hivi Wana uhakika wa kuingia nusu fainali au fainali. Naona soon hawalibeba,Hela ikizidi kumwagwa.Uzuri Wana kocha mzurii.Na mpaka sasa UCL inawapiga chenga balaaa.
YNWA
Sana chini ya Kipara kuna improvement kubwa sana imefanyika pale ni suala la muda tu UCL watachukua maana Boss wake amesema wanaingia sokoni mazima kuboresha kikosi na kwa vile lengo lao kuu sasa ni UCL wataipata.Wame improve aisee... Kipindi Cha kina Yaya Toure walikuwa Wana ishia 16 bora,Angalau Sasa hivi Wana uhakika wa kuingia nusu fainali au fainali. Naona soon hawalibeba,Hela ikizidi kumwagwa.Uzuri Wana kocha mzurii.
😍😍😍😍😍😍😍😍Babu aje tu kama tunamkosa Darwin huyu anatufaa sana.
Yani umememnukuu vizuri Aselot hafu unasema tuna mapungufu.Mkuu hawa FSG ubahiri wao unaleta haya machungu yote yaaani kwa uwepo wa Klopp Liverpool ilitakiwa mpaka sasa tuwa pazuri zaidi ya hapa lakini hawatoi ela ya usajili inapotokea fursa ya kuboresha kikosi wao wanakomaa na sell to buy manenos...
Hii timu inahitaji sasa kusukwa upya maana ukiszikiliza maneno ya Babu Don Carlos anasema Liverpool ni wepesi sana kucheza nao kwani wana mfumo mmoja tu na ni rahisi kuwazuia..
Sasa unajiuliza lini Klopp atapewa sapoti sokoni ya kupewa mchezaji design ya Debruyne au Gerrard atakaeleta magoli nje ya kumi 18 pale tumebanwa kama jana.
Thiago ni kipaji lakini akiwa na siku mbaya kazini kama jana ni mzigo na hii inatokana na benchi kupwaya hivyo kumlazimu acheze huku anaumwo matokeo yake ndio alivyocheza jana....
Jana tumepoteza mipira mingi sana kwa Salah na Thiago yaaani sijui revenge iliwakaa sana kichwani kulikoni kusaka matokeo uwanjani...
My wish list usajili ni angalau wawili inatosha sana
Benfica Nunez Forward
Porto Octavio AM
Brighton Bissouma CM
Chelsea Gallagher dynamic
Westham Bowen forward
Aberdeen Ramsey RB
Barcelona Gavi CM
Bayern Gnabry dynamic
Leverkusen Schick dynamic
Roma Zaniolo
Roma Pellegrini
Inter Martinez
Betis Fekir
Wakuodoka bure ana ela
Mane duuh will miss the boy.
Firmino
Ox
Milner
Keita
Phillips
Neco
Henderson
YNWA