Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Bayern siyo walipa mpunga mrefu.

Alaba aliondoka kwa kutaka aongezewe mshahara na Lewandowski anagombana nao sababu hiyo hiyo.

Nikifikiria sehemu ambayo inaweza mpa mpunga mrefu Mane nje ya Uingereza ni PSG. Na hawa PSG wamemuweka sokoni Neymar kwahiyo kama wanaendana vile.

Hivi.ni kweli Mane analipwa 100K halafu Milner analipwa 180K?
Lewandoski ishu sio mshahara kama sikosei anakula 375k kwa wiki na ma endorsement ya kutosha. Huyu mwamba naona ni Ballon ndio inampeleka kule Spain...

Mane ni kusaka changamoto mpya na mshahara maana kule unaweza kuta ma bonus yapo yakutosha besides umri umesogea anafahamu financial package ndio kuweka sawa pension yake ya uzeeni.

Liverpool mishahara ni kiduchu sana sababu hawa wachezaji wengi walinunuliwa wakiwa wa kawaida sana wamepata majina na ukali hapa hapa Liverpool. Lakini Thiago/Ox sababu alikuja akiwa ameiva mshahara wake ulianzia juu

YNWA
 
Nottingham Forest will be competitive team kweli maana things have changed a lot these days but where is Sunderland [never won UCL] ? hahahaa They have been promoted to championship on they are way to EPL.
Wana upcoming coach safi sana anajua kuwa handle vijana na wanacheza soka safi sanaaaa.

Duuh Sunderland nishawashau kabisaaa kuna kipindi Roy Keane alitajwa kurudi pale kama kocha sijui liliishia wapi.

Huko mchangani ni balaa sana timu ikishuka ikakosea hesabu za usajili inapoteana mazima. Hawa Nottingham wamekaa miaka 23 bila kupanda EPL utaona namna mambo yalivyo. Ajabu Norwich utamuona tena next season anapanda na kushuka tenaa😂😂

YNWA
 
Huyu beki Liverpool mlipata mtu hana maneno mengi ila kazi anaifanya
Upamecano yupo Bayern sasa ndio ilikua chaguo la kwanza la Klopp dogo akawachagua Bayern hivyo Klopp akatua kwa plan B na ni huyu dogo Ibou Konate hakika hajamwangusha mwalimu mechi ya Fainali sikua na imani nae kwa vile mechi ya Benfica na Wolverhampton alifanya makosa tukafungwo lakini Jumamosi alikomaa balaa kumsaidia Trent kumzima Vinicius.

YNWA
 
Lewandoski ishu sio mshahara kama sikosei anakula 375k kwa wiki na ma endorsement ya kutosha. Huyu mwamba naona ni Ballon ndio inampeleka kule Spain...

Mane ni kusaka changamoto mpya na mshahara maana kule unaweza kuta ma bonus yapo yakutosha besides umri umesogea anafahamu financial package ndio kuweka sawa pension yake ya uzeeni.

Liverpool mishahara ni kiduchu sana sababu hawa wachezaji wengi walinunuliwa wakiwa wa kawaida sana wamepata majina na ukali hapa hapa Liverpool. Lakini Thiago/Ox sababu alikuja akiwa ameiva mshahara wake ulianzia juu

YNWA
Lewandowski akihojiwa anasema klabu ndiyo haitaki abaki.

Sidhani kama hapo swala ni Ballon D'or
 
Bayern siyo walipa mpunga mrefu.

Alaba aliondoka kwa kutaka aongezewe mshahara na Lewandowski anagombana nao sababu hiyo hiyo.

Nikifikiria sehemu ambayo inaweza mpa mpunga mrefu Mane nje ya Uingereza ni PSG. Na hawa PSG wamemuweka sokoni Neymar kwahiyo kama wanaendana vile.

Hivi.ni kweli Mane analipwa 100K halafu Milner analipwa 180K?
Ni aibu
 


20220530_122125.jpg
 
Kila nikifikilia haya majamaa mishipaa imesimama yanapayuka ooooh "quadraple" nabaki nacheka ..!!fala Sana kuku wakubwa nyie
 
Hakuna mwanzo usiokua na mwisho ndugu. Huyu dogo sisemi odoke sababu hana jipya hapana ishu hapa ni model ya FSG kwenye usjili wa uza ndio nunua huku wakitupia jicho kwenye payroll sasa kama Klopp atahitaji kuingia sokoni hakuna namna lazima hapa aamue kuuza ili aedane na matakwa ya FSG... Kwa hawa wamiliki ni kikwazo kwa Klopp kua n kikosi cha ushindani kwenye nafasi muhimu. Usione akina Mane wanasepa zao ni kwamba ni michosho kukuza hii brand huku wakilipwa kiduchu, tazama Sancho anakula £350k kwa wiki huku Mane akilipwa £100k kwa wiki na umri ndio huo umekwenda vile duuh.. Maisha noma sanaa..
Wewe tazama kwa Manchester City bila kuuza wamesajili ma fowadi wawili Erling na Alvarez hii inatuma ujumbe kwa wengine tujipange.

Na Chelsea mnaelekea kua chini ya 'FSG' wapya maana na huyo bosi mpya ni Yankees hivyo mjiadae kuuza ndio mnunue

YNWA
kina boehly hatuna Shaka nao sio km kina FSG unless otherwise... kinachotupa afueni kidogo n kuwa hawa kina boehly wanamiliki klabu ya baseball kule marekani inaitwa la Dodgers n among the teams zinazospend Sana kwenye ligi hopeful watahamisha Hadi n Kwa Chelsea

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom