Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Lewandoski ishu sio mshahara kama sikosei anakula 375k kwa wiki na ma endorsement ya kutosha. Huyu mwamba naona ni Ballon ndio inampeleka kule Spain...Bayern siyo walipa mpunga mrefu.
Alaba aliondoka kwa kutaka aongezewe mshahara na Lewandowski anagombana nao sababu hiyo hiyo.
Nikifikiria sehemu ambayo inaweza mpa mpunga mrefu Mane nje ya Uingereza ni PSG. Na hawa PSG wamemuweka sokoni Neymar kwahiyo kama wanaendana vile.
Hivi.ni kweli Mane analipwa 100K halafu Milner analipwa 180K?
Mane ni kusaka changamoto mpya na mshahara maana kule unaweza kuta ma bonus yapo yakutosha besides umri umesogea anafahamu financial package ndio kuweka sawa pension yake ya uzeeni.
Liverpool mishahara ni kiduchu sana sababu hawa wachezaji wengi walinunuliwa wakiwa wa kawaida sana wamepata majina na ukali hapa hapa Liverpool. Lakini Thiago/Ox sababu alikuja akiwa ameiva mshahara wake ulianzia juu
YNWA


