Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yani umememnukuu vizuri Aselot hafu unasema tuna mapungufu.

Tumepoteza fainal sababu za kiufundi tu kiuchezaji tuliwazidi sanaaa.

Ikiwa mfumo ni mmoja basi utajaza kila aina ya wachezaji ila matokeo ya tabaki vilevile
Mkuu hali sio kabisa yaani fainali 3 tukiwa full kikosi na hatujafunga goli hata moja basi ujue pale mbele ipo tatizo aisee.

Tumecheza dakika 340 za fainali 3 bila kufunga hii kaka haikumbaliki lazima tulete poacher mmoja na kura yangu ipo kwa Darwin Nunez yule dogo kwa nafasi tunazotengeneza magoli mbona yatakuja.

Ngoja tuone Klopp kasema tu book kabisa ticket hoteli ya kulala fainali tunarejea tena 2023 yaaani Klopp has some balls man...

YNWA
 
Screenshot_20220531_211740.jpg

Once a Red always a Red... Kijana wetu
Lucas Leiva alikuwepo Ufaransa kuwapa sapoti vijana wetu.

YNWA
 
The King himself
View attachment 2246270

Huyu mwamba kumpata mbadala wake itakua jambo ngumu sana maana ni Mr Fit muda mwingi.

YNWA
Imagine Mane adi anaingia mwaka wa mwisho kwenye mkataba wake ila jamaa hata kuboresha mkataba hawakulifikilia kabisa uko nyuma😢😢..Tukachukua ligi lakin wapi hawakutaka kufanya lolote kwa uyu mweusi kisa mkimya 😢😢 daah.

Acha aondoke zake ila club haijamtendea haki Mane ata Klopp kamsaliti mane😠😠
Kisa ngozi nyeusi au kisa nini? eti wage structure!! serious guyz?
Na pundts kibao leo wanasema waondoke tu mbadala wapo kibao daah

Baada ya kutupa makombe yote kutupa furaha baada ya miaka 30 na bado hawajachoka na top 5 ya wachezaji bora duniani wapo leo wamekua hawana maana.
Ndio maana Diof alimuonya mane kuwa makini sana apo liver wewe kama ngozi nyeusi.
 
Binafsi nimefurahi kwa Mane kuondoka maana atatoa nafasi kwa Klopp kusajili Stricker ambaye atatumia nafasi kwa kiwango kikubwa zaid.
Salah na Mane wamefunga magoli mengi na yametusaidia sana ila they're not clinical mbele ya goli.
Wanaitaj nafasi 3 mpaka 5 kufunga goli moja.

Swadakta
 
Imagine Mane adi anaingia mwaka wa mwisho kwenye mkataba wake ila jamaa hata kuboresha mkataba hawakulifikilia kabisa uko nyuma..Tukachukua ligi lakin wapi hawakutaka kufanya lolote kwa uyu mweusi kisa mkimya daah.

Acha aondoke zake ila club haijamtendea haki Mane ata Klopp kamsaliti mane
Kisa ngozi nyeusi au kisa nini? eti wage structure!! serious guyz?
Na pundts kibao leo wanasema waondoke tu mbadala wapo kibao daah

Baada ya kutupa makombe yote kutupa furaha baada ya miaka 30 na bado hawajachoka na top 5 ya wachezaji bora duniani wapo leo wamekua hawana maana.
Ndio maana Diof alimuonya mane kuwa makini sana apo liver wewe kama ngozi nyeusi.
Timu ya kinyonyaji imeyojificha kwenye sifa eti legend ....watu wanavunjika miguu na kufia uwanjani majina makubwa wanaishia kuwa masikini ...!
 
Imagine Mane adi anaingia mwaka wa mwisho kwenye mkataba wake ila jamaa hata kuboresha mkataba hawakulifikilia kabisa uko nyuma😢😢..Tukachukua ligi lakin wapi hawakutaka kufanya lolote kwa uyu mweusi kisa mkimya 😢😢 daah.

Acha aondoke zake ila club haijamtendea haki Mane ata Klopp kamsaliti mane😠😠
Kisa ngozi nyeusi au kisa nini? eti wage structure!! serious guyz?
Na pundts kibao leo wanasema waondoke tu mbadala wapo kibao daah

Baada ya kutupa makombe yote kutupa furaha baada ya miaka 30 na bado hawajachoka na top 5 ya wachezaji bora duniani wapo leo wamekua hawana maana.
Ndio maana Diof alimuonya mane kuwa makini sana apo liver wewe kama ngozi nyeusi.
Mkuu hawa wachezaji sio ma Scouser kwamba wanaipenda ile badge nadhani pale kwa sasa Scouser ni Elliott, Jones na TAA hao japo ni professional lakini pia wana mapenzi sahihi na Liverpool. Ukiwachana laivu wana damu ya Liverpool. Hawa wengine Mkuu ni wafanya kazi kwao mapenzi ni mpunga mbele mapenzi baadae regardless ya sisi mashabiki tunasema aje ndio maana kila goli kila ushindi kila pointi wana ma bonus ya kutosha kwa sababu wapo kikazi zaidi sasa ikitokea kazi hio hio anafanya Liverpool anaweza kufanya kwingine na akalipwa powa zaidi itakua ujinga wake kutokwenda hivyo suala la Mane, Salah nk lipo wazi wanataka walipwe kama wenzao kwenye timu zingine bora wanavyolipwa. Hawa wachezaji wanawashauri safi sana wanajua kazi ya wachezaji uwanjani imekuza Liverpool ndani ya miaka 6 kwa zaidi ya asilimia 100 hivyo wao kudai kulipwa powa is backed by data. Its simple success uwanjani imeleta success ya kukua kwa brand maradufu sasa wao watumike kuvutia wawekezaji aafu walipwe peanut mh hio sio sawa.

Mane rohoo safi kama Bayern watamlipa powa na marupurupu ya kutosha na asepe tu huko dogo analisha kijiji na umri ndio ule ebu angalau kwa hii miaka yake mitatu nae afaidi utamu wa 300k+ kwa wiki ambao Liverpool hawawezi kumpa maaana kwa wage structure ya FSG ni ngumu mchezaji atoke 100k apae mpaka 300k yaaani sio kwa hawa ma Yankees hivyo Mane tumuache asepe roho safi.
Katuletea makombe 6 safiii kabisa EPL, UCL, Super Cup, World Club Cup, Carabao, FA.

Ukweli ni kwamba huu ubahili wa FSG unakwenda kutupasua maana tunahitaji upgrade ya Mane mchezaji atakaecheza kati maana tangu Diaz atue amekua akitumiwa Winga wa kushoto hivyo sasa tunahitaji CF mmoja flexible kutokana na mfumo lakini ambae anaweza ku track kwa press kama ambavyo hali inahitaji.

Tunahitaji pia replacement ya Origi na pengine Takumi kama akiamua kwenda kutafuta changamoto mpya maana dogo sio mchezaji wa benchi kama anavyotumika Liverpool too bad wanaomtangulia wanafanya vyema sana.

Tunahitaji replacement ya Ox maana kwa Klopp kutomtumia hii miezi ya mwisho wa ligi nadhani alihofu asije umia akashindwa kumuuza. Kwa Ox labda replacement yake ni Fabio ambae Klopp kashasema hatamtoa kwa mkopo atabakia kikosini.

Henderson, Thiago, Fabinho hapa ipo shinda ya consistency na ndio maana Klopp kaamua asajili DM flexible kumsaidia kazi Fabinho hii ni sawa kabisa maana kwa sasa ni Morton tu ndio anaweza kumsaidia Fabinho ukiachana na Henderson ambae pale analizimishwa sio namba yake.

Milner asepe zake Leeds payroll ipumie.

Neco na Phillips wauzwe mpunga uje angalau wote tupate £30m itasaidia sana kuboresha kikosi. Ox angalau tunaweza kupata £10m.

Nwa ngoja tuone ndio kwanza dirisha mambo yanasetiwa.

YNWA
 
Mkuu hali sio kabisa yaani fainali 3 tukiwa full kikosi na hatujafunga goli hata moja basi ujue pale mbele ipo tatizo aisee.

Tumecheza dakika 340 za fainali 3 bila kufunga hii kaka haikumbaliki lazima tulete poacher mmoja na kura yangu ipo kwa Darwin Nunez yule dogo kwa nafasi tunazotengeneza magoli mbona yatakuja.

Ngoja tuone Klopp kasema tu book kabisa ticket hoteli ya kulala fainali tunarejea tena 2023 yaaani Klopp has some balls man...

YNWA
Nakubaliana nawe kwa 100%,
Suala la kiufundi ni katika final zote team inatengeneza nafasi tena nyingi tu tatizo ni hatuna clinical finisher ambaye atatupa angalau goli 1 kwenye nafasi 2 au even a goal in half chance
 
Nilisema na leo narudia nimefurahi sana kuondoka kwa Mane na sasa tupate mtu mkatili mmoja mbele ya goli.
Salah na Mane wametupa sana heshima ila wanaitaji nafasi mpaka 4 ili wakupe goli moja so kuondoka kwa Mane sasa aje goalgetter kweli kweli then tunatoboa
 
Nakubaliana nawe kwa 100%,
Suala la kiufundi ni katika final zote team inatengeneza nafasi tena nyingi tu tatizo ni hatuna clinical finisher ambaye atatupa angalau goli 1 kwenye nafasi 2 au even a goal in half chance
Kabisa ndugu nafasi 6 goli 1. Tazama hii hapa ndio utaelewa.
Screenshot_20220601_094744.jpg


Ina maana nafasi nzuri tulitengeza sisi lakini hatukua clinical kufunga magoli hii imetu cost ubingwa.

YNWA
 
If this was boxing Liverpool angekua kashindwa kwa KO... Karusha ngumi nyingi zisizo na maana, kapigwa moja chalii.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Hayaaaaaaaaaa. Hatuna neno sie tumepigwa aisee.

YNWA
 
Hayaaaaaaaaaa. Hatuna neno sie tumepigwa aisee.

YNWA
. Poleni mkuu, ndio mpira huo, ila naona jamaa wanajitahidi ku sugarcoat tu. Sasa hapo unashindaje kwa point wakati kuna ngumu moja nzito imekalisha mtu?

All in all mmejitahidi, funzo tu ni kwamba msipende kuongea sana na ku underestimate opponents.. Nadhani kwa Uingereza huu ni ugonjwa ambao hautoisha.. Too much talking!

Kupoteza pia sio mwisho.. There is always next time.
 
. Poleni mkuu, ndio mpira huo, ila naona jamaa wanajitahidi ku sugarcoat tu. Sasa hapo unashindaje kwa point wakati kuna ngumu moja nzito imekalisha mtu?

All in all mmejitahidi, funzo tu ni kwamba msipende kuongea sana na ku underestimate opponents.. Nadhani kwa Uingereza huu ni ugonjwa ambao hautoisha.. Too much talking!

Kupoteza pia sio mwisho.. There is always next time.
Yeah man kwa maneno hakika hatujambo na mpira bila maneno aisee haunogii kabisaaa 😂😂😂sasa maneno aafu unachapika ndugu ndio balaa linapoanzia.

Lesson tumeipata. Umeona eti ma Captain wa Real kabla ya mechi masaa kadhaa walikua wame relax wanacheza kadi yaaani kweli hawakukosea walivyosema presha tunayo sisi na si wao.

Ile gemu naona kuanzia mashabiki mpaka wachezaji waliikamia sana especially baada ya Kipara kushinda EPL waliona sasa tupate kubwa lao na msimu utakua murwa sana la 7 likiwa limepoa Anfield archives.

Next time Klopp na whole Liverpool fraternity tatakua smart zaidi, talk less lets the final score do the talking

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom