Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Wapigie simu +41 (0) 848 04 2727 au tembelea Uefa.com kawaambie au tembelea ofisi zao Uswisi.Huyo mpemba anafanya nini kwenye hicho kikosi, toa hiyo takataka weka Vin.
YNWA
Wapigie simu +41 (0) 848 04 2727 au tembelea Uefa.com kawaambie au tembelea ofisi zao Uswisi.Huyo mpemba anafanya nini kwenye hicho kikosi, toa hiyo takataka weka Vin.
Relax man fainali lazima atokee mshindi mmoja tu na jana kale ka upepo ka kukosa magoli kalitutembelea tena...Dah! Alimzuia vilivyo Vinicius jr, basi tu bahati mbaya tu tukafungwa jana sikulala nilikuwa naweweseka usiku mzima kufungwa sio poa![]()
Hichi kibwege yani kinapata taaabu na liverpool angalia skysports,liverpool utawaona!..






















You will never win again ....Manjesta hawawaheshimu watu wao jamaa hajifeel yuko nyumani kabisa wanamzarau na kejeli kibao kisa wao wanajiona ndio klabu kubwa na wanahela.
Sisi mtu yoyote akiwa wakwetu lazima tuoneshe tunampenda hata kama anakosea atajisikia yuko nyumbani tu na slogan yetu ile YNWA.
Hao manjesta wao wanataka ushindi tu ukikosea tu kidogo lawama kama zote na wanakuzarau mazima kila kitu wajuaji wao.
Manjesta haiwezi tena kuwa timu Bora ,ni swala la muda tu ndio maana hata Klopp aliwakataa hawana heshima kabisa kwa wafanyakazi wao.


Oyaaaa jafeee njoo uoneHichi kibwege yani kinapata taaabu na liverpool angalia skysports,liverpool utawaona!..
Kinawashwa washwa, itabidi klopp awakune tena.



...










Unasemaje makalio fcKila comment yako lazima uweke emoji za kucheka cheka,tatzo nn we jamaa?
