Hakuwa na haja ya kuisema Liverpool kwanza angeanza na Jiji lake la Manchester ingawa Man United imefulia uwanjani lakini still Man City imeshindwa kupendwa na Washabiki waliopo ndani ya Jiji lake mwenyewe bali wanaisapoti Man United iliyofulia.
Pia asiishie kutoa mfano wa EPL tu! Pia aseme ndani ya hiyo miaka 30 tumeshinda

- UCL 2
- EuropaL eague 1
- UEFA Super Cup 3
- UEFA Club World Cup 1
Kwenye hicho kipindi cha miaka 30 hakuna Timu yoyote ya kiingereza iliyofanya hayo.
Kushindwa kwake kufanya kitu CL asitake kuona kuwa ni makosa ya Liverpool.
Hapo ndiyo ajue kuwa Wazungu sio wapumbavu hakuna atakayependa Timu ya oil money ambayo uendeshaji wake unategemea na ubora wa soko la mafuta.
Atazidi kuumia manake UEFA sasa wanataka kuizawadia Manure nafasi ya kushiriki CL ingawa haijafuzu kama ni heshima ya ukubwa wake.