Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20220509_213758.jpg


Pep kashaanza kuweka silaha za msimu ujao.
Next anamsaka MF.

YNWA
 
View attachment 2218305

Naona mambo usajili yameanza kwa kasi sana.

Bayern haooo wanamtaka Mane.

YNWA

Bayern hawajawahi kusajili Super star hata siku moja.
Mara nyingi anachukua vipaji kutoka Timu za Bundesliga au waliopo kwenye Ligi ambazo wanamalizia Mikataba.
Hivyo wanaweza kuvizia Kumalizika mkataba wa Mane ili wamsajili kweli.
But nasisi lazima tuwapokonye Gnabry.
 
Nimeona wengine wanasema hio tuzo ya writers angepata VVD au KDB.

Ngoja tuone namna gani ili ligi inaisha.

Kura yangu PFA naona ikitua kwa KDB, Salah, Mane.

Kocha bora naona Klopp au Eddie Howe wa Newcastle.

YNWA

Hata baada ya Salah form yake kupotea bado ana good stats interms of assists and chances created.
Hivyo akiwa kama Winger bado zinambeba kuwa anatimiza majukumu yake kwani mwisho wa siku hahukumiwi kama Striker bali ni Winger hivyo kuassist na kutengeneza nafasi anaonekana anatimiza majukumu yake.
 
Bayern hawajawahi kusajili Super star hata siku moja.
Mara nyingi anachukua vipaji kutoka Timu za Bundesliga au waliopo kwenye Ligi ambazo wanamalizia Mikataba.
Hivyo wanaweza kuvizia Kumalizika mkataba wa Mane ili wamsajili kweli.
But nasisi lazima tuwapokonye Gnabry.
Kweli wana mpangilio safi kuchukua pale pale kwao mara nyingi sana lakini pia huchukua nje ya pale sana sana wenye umri mdogo kwa mfano kuna ma dogo wawili kutoka Ajax wanatua pale Juni hii.

Hili la Mane inawezekana pia anawatumia Bayern kuwapa presha Liverpool watoe mpunga design kama alivyofanya Henderson kusema anatakiwa na PSG Juni mwaka jana mwishowe akapewa mkataba mpya chap.

Lakini kama ni kweli Bayern wanamtaka Mane na FSG hawana mpango kumlipa 300k na kuliko aje kuodoka June 2023 bure basi tumchukue Gnabry. Hii ishu inafanana na ya Thiago tulivyompata akiwa amebaikisha msimu mmoja pale Bavarian.

YNWA
 
Hata baada ya Salah form yake kupotea bado ana good stats interms of assists and chances created.
Hivyo akiwa kama Winger bado zinambeba kuwa anatimiza majukumu yake kwani mwisho wa siku hahukumiwi kama Striker bali ni Winger hivyo kuassist na kutengeneza nafasi anaonekana anatimiza majukumu yake.
Salah anakosa magoli lakini mengine naona bado anayo kama expected shot bado yupo juu na threat pia kwa mabeki awepo uwanjani.

Ila haya mambo bhana kua winga na kufunga magoli kama afanyavyo dogo ni pure class.

Hopefully leo atatupia nisingependa akikose kile kiatu cha ufungaji bora kabisa.

YNWA
 
View attachment 2218691


OllaChuga Oc namna gani tena Arsenal anakusaka ushuke ulipo.

YNWA
Arse8 huyu Hana madhara yeyote huyu Walla atusumbui kichwa ..tunamlia time tu. Huyu ata aakienda UEFA ataishia hatua ya makundi tu na kisha atarudi zake Europa maana ndipo maskani take yalipo.

Sisi kwa Sasa tuna focus kwanza na fainali ya 14.
#CFC💙💙💙
 
View attachment 2218694

Ni tarehe 28/5/22.

Mambo yatakua Paris.

YNWA
Hii kazi itakuwa siyo ya kitoto maana wote Wana munkari wa kubeba.
Real Madrid anataka kuendeleza ubabe wake wa UCL.
Liverpool anataka kulipiza kisasi Cha 2018.
Hahaha itakuwa siyo powa.

Ukicheki vikosi vyote mezani, Basi Liver amekamilika Kila idara ..Yani kwa ushindi wa mezani Basi ana % karibu 60 za ushindi.
Madirid ni Kama underdog tu yani wao wana 40% ya ushindi tu.

Timu zote mbili Zina kwaliti ya wale wachezaji wenye uwezo wa kubadili matokeo muda wowote. Mfano real Wana watu Kama Cruz, Modric, unaeza tangulia ata kwa goli mbili lakini gafla bin vuu zinarudi zote. So itakuwa game nzuri Sana.

Mimi siyo mtazamaji Sana wa mupira Mara nyingi Mimi na deal na livescoo tu haha Ila hii game aise lazima nitazame.

Yeyote atakayeshinda atastaili Ongera zangu.
#CFC💙💙💙
 
Hii kazi itakuwa siyo ya kitoto maana wote Wana munkari wa kubeba.
Real Madrid anataka kuendeleza ubabe wake wa UCL.
Liverpool anataka kulipiza kisasi Cha 2018.
Hahaha itakuwa siyo powa.

Ukicheki vikosi vyote mezani, Basi Liver amekamilika Kila idara ..Yani kwa ushindi wa mezani Basi ana % karibu 60 za ushindi.
Madirid ni Kama underdog tu yani wao wana 40% ya ushindi tu.

Timu zote mbili Zina kwaliti ya wale wachezaji wenye uwezo wa kubadili matokeo muda wowote. Mfano real Wana watu Kama Cruz, Modric, unaeza tangulia ata kwa goli mbili lakini gafla bin vuu zinarudi zote. So itakuwa game nzuri Sana.

Mimi siyo mtazamaji Sana wa mupira Mara nyingi Mimi na deal na livescoo tu haha Ila hii game aise lazima nitazame.

Yeyote atakayeshinda atastaili Ongera zangu.
#CFC
Kumbe huwa tunabishana na mtu anayeangalia mpira LiveScore kudadekiiii
 
Niliwahi kusema kuna siku ubinafsi wa wachezaji fulani kama Sarah kutompa pasi Diaz utaigharimu timu, sasa ndicho kimetokea kwenye mechi yetu na Totteham
Ukiangalia kiundani na kumfatilia mchezaji kila mmoja kwa wakati wake, utagundua wachezaji wote ni wabinafsi.

Mkuu,kuna muda huwa anapiga shuti za hivyo na anafunga tunashangilia hapa.
 
Kumbe huwa tunabishana na mtu anayeangalia mpira LiveScore kudadekiiii
Huyo hawezi kujikaza kuangalia mechi
Miguu yote inanesa kwa presha,,
Namzidi hadi mimi mtoto wa kike...huwa napanga chupa zangu za maji kushusha presha ,ikifika HT naenda kuoga kuondoa uchovu wa mtanange.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom