Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Leo mnataka dua. Siku chache zilizopita mlisema hamumtegemei city ateleze ndipo muwe mabingwa. Sasa mmerudi kwenye ramli. Mpeni hizo salamu za ramli King Ngwaba au Rajabu

Nipo nipo! Mbona unamihusisha na post ambazo hazinihusu 😅😅
Mimi sio wa kupiga Ramli nina aina yangu ya style ya ushabiki.
 
Shida ya Watu kukaa kwenye TV wakiwa na matokeo yao Mfukoni madhara yake ndiyo haya kuanza kulialia na Salah.
 
Leo naona kuanzia mwanzo tulikuwa slow sana kipindi cha kwanza,halafu robertson amechoka Aisee hasiwe anaanza maana one against one anakaba sana kwa macho.

Timu iko vizuri,kinachotakiwa kuongeza uharaka hasa kwenye timu inayokaa nyuma.

Diaz hakuwa na speed sana na tulikuwa tunapooza sana mipira kwenye kipindi cha kwanza,ilitakiwa tuwetunawakimbizA sana ilikupata nafasi hasa wanapoenda kishambulia.lakini tukawa tunapaka mpira rangi sana mpaka wanakuja kuziba nafasi.

Timu iko vizuri.
 
Leo naona kuanzia mwanzo tulikuwa slow sana kipindi cha kwanza,halafu robertson amechoka Aisee hasiwe anaanza maana one against one anakaba sana kwa macho.

Timu iko vizuri,kinachotakiwa kuongeza uharaka hasa kwenye timu inayokaa nyuma.

Diaz hakuwa na speed sana na tulikuwa tunapooza sana mipira kwenye kipindi cha kwanza,ilitakiwa tuwetunawakimbizA sana ilikupata nafasi hasa wanapoenda kishambulia.lakini tukawa tunapaka mpira rangi sana mpaka wanakuja kuziba nafasi.

Timu iko vizuri.

Tusijiangalie sisi tu pia tukubali uzuri wa Spurs.

Conte ameingia uwanjani na plan nzuri ya kudefend wala haikuwa kosa letu.
 
Mimi naona tuwe tunapiga na mashuti golini sio mpaka tuwetunabaki na kipa ndio tufunge leo iwe sehemu ya kujifunza.
Aston Villa jumanne nao pia wanajambo lao.
Wanasema mwendo utakua ni uleule kama Spurs.
 
Adjustments.jpg
 
Aston Villa jumanne nao pia wanajambo lao.
Wanasema mwendo utakua ni uleule kama Spurs.
Kuna member Tena shabiki wa liverpool mwenye akili timamu ,ana mke na watoto kabisa ,Tena mtaani anaheshimika ,anaitwa baba akiwa nyumbani alisema "Steven Gerrard atatuachia point 3 ili tuchukue ubingwa mbele ya City harafu Aston villa atahakikisha anamfunga city game ya mwisho " huyo jamaa huwa nikimwangalia huwa Kuna namna nahisi dish limeyumba au atakuwa anachet cha milembe kutoka dodoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom