Hahaha aisee subiri Jumamosi fainali tutaelewana.Hii mechi ya leo muhadhirika ni Liver hata ikishinda. Watatoka hapa na majeruhi ya kutosha kwa sababu nguvu kubwa inatumika. As a result Fabinho OUT for injury na mbado
Anaingia mzee mzima
Dah! Keita kashindwa kupiga shoot kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Keita jamani.
Haya
YNWA
Keita kanikumbusha makosa ya fowad kwenye mechi za umitashumta enzi za shuleDah! Keita kashindwa kupiga shoot kabisa
Siku shekhe mansour mwenyewe akitoka kwenye vyombo vya habari kulaumu spending za pep ,ndio nitakuja kukupa mwongozo ..!View attachment 2219626
Duuuh Manchester City wametumia pesa zote hizi na hawana Champions League hata moja duuh no wonder Kipara Pep alikua mdogoooo kama pilitoni pale Los Blonco.
YNWA
Joe Mario ndo mchezaji wa timu ganiLive score
Villa 1:1 Liverpool
Douglas Luiz 3'
Joe Mario 5'
Sio kwamba mmezidiwa Sasa mnaanza kusingizia wachezaji wametumwa na cityDouglas Luiz ni home boy wa Manchester City naona leo ana jambo lake.
YNWA





Ngoja tuone kipindi cha pili aisee.Dah! Keita kashindwa kupiga shoot kabisa
Sio kwamba mmezidiwa Sasa mnaanza kusingizia wachezaji wametumwa na city
Kiufupi nyie ni timu ya kawaida tu na mnafungika mkuu ,ifike mhali muache kuvimba vichwa kama matikiti


wanazani huko ni kama bongo eeh