Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na akaweka historia kuwa mchezaji pekee kufikisha goli 20 bila penalti katika klabu hiyo ya Tottenham Hotspurs tangu kianzishwe
Huyu dogo Son sio wa pale Spurs basi tu ku negotiate na Daniel Levy ni mtihani sana hakuna klabu ina hamu na huyo Kipara Levy

YNWA
 
Screenshot_20220510_220423.jpg


YNWA
 
Na Spurs wanaweza kumtengenezea mazingira ya penalti au pasi ili afikishe goli nyingi kuvaa hicho kiatu. Pale mbele Spurs wanapendan sana na hawan ubinafsi. Kane lazima atahakikisha Son anafikisha zaidi ya goli 23
Unacho sema ni sahihi wanapendana balaa wale jamaa.
 
Hii kazi itakuwa siyo ya kitoto maana wote Wana munkari wa kubeba.
Real Madrid anataka kuendeleza ubabe wake wa UCL.
Liverpool anataka kulipiza kisasi Cha 2018.
Hahaha itakuwa siyo powa.

Ukicheki vikosi vyote mezani, Basi Liver amekamilika Kila idara ..Yani kwa ushindi wa mezani Basi ana % karibu 60 za ushindi.
Madirid ni Kama underdog tu yani wao wana 40% ya ushindi tu.

Timu zote mbili Zina kwaliti ya wale wachezaji wenye uwezo wa kubadili matokeo muda wowote. Mfano real Wana watu Kama Cruz, Modric, unaeza tangulia ata kwa goli mbili lakini gafla bin vuu zinarudi zote. So itakuwa game nzuri Sana.

Mimi siyo mtazamaji Sana wa mupira Mara nyingi Mimi na deal na livescoo tu haha Ila hii game aise lazima nitazame.

Yeyote atakayeshinda atastaili Ongera zangu.
#CFC💙💙💙
Hahhaha livscore Chugga bhana....

Utayari wa kikosi ndio utaamua hio gemu na tayari Don Carlos ameshaanza kuwapumzisha wachezaji wake muhimu wawe tayari hio fainali...

Ni tarehe 28 hivyo tuna siku za kutosha kutuweka sawa hio gemu.

Real Madrid sio under dog😁😁kawatoa ma heavy weight wote PSG, Chelsea, Manchester City yaaani huyo sio under dog aisee ni super heavy weight actually ni favourite...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom