Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Masikini ya Mungu astonvilla yanaenda kufungwa kwa lazima ,na kupanuliwa ilimradi tu liverpool achukue epl 






























Usije kimbia humu ukiyaonaSina ubaya ila Mimi nachojua hiyo may 28 nataka munioneshe makombe manne![]()
Vinginevyo nitacomfirm kuwa mashabiki wote wa Liverpool walienda shule kusomea ujinga kwani wametangaza kwenye media " quadrable" huku hawajui maana yake
Sina ubaya ila Mimi nachojua hiyo may 28 nataka munioneshe makombe manne![]()
Vinginevyo nitacomfirm kuwa mashabiki wote wa Liverpool walienda shule kusomea ujinga kwani wametangaza kwenye media " quadrable" huku hawajui maana yake
Wewe bwana umeshindwa kuchukua,tulia angalia wanaume wanavyoenda kubeba vikombe vyote huku mimi na wewe tukipiga kelele kushangilia timu kubwa liver .Sina ubaya ila Mimi nachojua hiyo may 28 nataka munioneshe makombe manne![]()
Vinginevyo nitacomfirm kuwa mashabiki wote wa Liverpool walienda shule kusomea ujinga kwani wametangaza kwenye media " quadrable" huku hawajui maana yake
Huna huo uwezo, ...!Wewe bwana umeshindwa kuchukua,tulia angalia wanaume wanavyoenda kubeba vikombe vyote huku mimi na wewe tukipiga kelele kushangilia timu kubwa liver .
















Tulia hapoHuna huo uwezo, ...!
Tena angalia usijeambulia carabao cup
From quadraple to carabaoraple![]()


Sasa we nyumbu wa mjini ndo umeandika udwanzi gani??Sina ubaya ila Mimi nachojua hiyo may 28 nataka munioneshe makombe manne![]()
Vinginevyo nitacomfirm kuwa mashabiki wote wa Liverpool walienda shule kusomea ujinga kwani wametangaza kwenye media " quadraple" huku hawajui maana yake
Kaa pembeni na hio Tecno yako ya kuazima mzeeSasa we nyumbu wa mjini ndo umeandika udwanzi gani??
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app



Utaongea yote mwaka huu na EPL huchukuiKaa pembeni na hio Tecno yako ya kuazima mzee![]()









Kwani alichosema ni uongoPep anajijuya yeye so far ni failure pale City. Alicholetwa kufanya bado hajafanikiwa. EPL na other mickey mouse cups hata Mancini na Pellegrini waliibeba
Liveskoo Kuna Raha yake bwana alaah..🤣🤣🤣Kumbe huwa tunabishana na mtu anayeangalia mpira LiveScorekudadekiiii
Huyu Son isingekua yule kipara Daniel Levy alitakiwa atue Liverpool tu ndio mahala pake hua naonaga baada ya gemu Klopp hua anateta nae mawili matatu na dogo huonekana mwenye furaha.Iwapo Salah hatafunga goli lolote kwenye mechi zilizobakia basi Son ana asilimia kubwa ya kubeba kiatu.
Na njia pekee ambayo Salah anaweza kufunga kwasasa ni apate penalty.
Huu msimu Son yupo kwenye Pea ya career yake kama Salah wa 2017/2018, sitegemei Son kujakuwa bora zaidi ya hapa alipo isipokuwa atadumisha Class yake.
Kwa bahati mbaya Son asipokuwa makini anaweza kustaafu bila ya Kombe lolote.
Liveskoo Kuna Raha yake bwana alaah..![]()
uwe una angalia bwana live hata kwenye simuKutoka kumfukuzia Man shitye kwa point moja Hadi Sasa zimekuwa Tatu..!? Huoni Salah kazingua hapo? Uyu Salah ni mbinafsi Sana Yani kiufupi auzwe tuMpira haungaliwi hivyo ndugu.
Bila ya huyo Salah na magoli yake 22 tungekuwa wapi?
Haya imagine Salah juzi kampa pasi huyo Diaz tukawafunga Spurs, Sasa toa na magoli yote aliyofunga Salah tukapata pointi 3 je point za Spurs zingetufikisha wapi?
Munamuangalia Salah kwenye Bad side tu why kwenye positive side hamusemi kama sio magoli 22 ya Salah tusingekuwa tunamfukuza Man City kwa points 3 bali tungekuwa tunagombania Top 4 na Spurs?
Ni Plastic Fan pekee ndiye anayeamini kuwa Salah anaigharimu Timu.
Hii ina watu wana Mindset za ajabu sana! Yani wanaendana na Matukio tu na si kwamba wanauwelewa wowote kwenye mpira! Siku Salah akiwa kwenye Form basi utawasikia apewe 500K kwenye mkataba mpya.
Siku Mane akiwa kwenye Form basi utasikia Salah anaigharimu Timu.
Yani ubora wa Man City kushinda kila mechi basi lawama anatupiwa Salah.
Mkuu kweli Manchester City watuuzie Jesus hivi hivi itakua ngumu maana Pep anajua threat ya utawala wake UK ni Liverpool hivyo hawezi kutuimarisha zaidi kwa kutuuzia Jesus. Japo kama ingewezekana pale tumepata sharp shooter maridadi.Najua kama Gabriel Jesus ni inconsistent kama Diogo Jota lakini kama mimi ni Klopp na mkataba wa Mane na Salah haueleweki basi ningehijack deal la Jesus kutakiwa na Arsenal pia ningemshawishi Gnabry atuwe Liverpool hapo atakuwa amefanikiwa pakubwa sana.
Kuwa na Jota na Jesus wakirotate pale mbele basi ni hazina kubwa sana huku Wingers una Diaz na Gbabry wanapiga zile dribbles zao za kukera.
Na akaweka historia kuwa mchezaji pekee kufikisha goli 20 bila penalti katika klabu hiyo ya Tottenham Hotspurs tangu kianzishweHuyu Son isingekua yule kipara Daniel Levy alitakiwa atue Liverpool tu ndio mahala pake hua naonaga baada ya gemu Klopp hua anateta nae mawili matatu na dogo huonekana mwenye furaha.
Msimu huu Son amejitahidi sana kufung magoli yote yale bila penati...
Salah leo ugenini awe na utulivu na magoli atapata... Katika gemu 12 za hivi karibuni amefungu ile mechi ya Manchester United tu.
YNWA
Hahaha tatizo mbishe nayopiga ndio inanikwamisha Yani ni mbio mbio Hadi jumapili sinaga weekend kabisa Ani mkuu😂😂😂uwe una angalia bwana live hata kwenye simu
Na Spurs wanaweza kumtengenezea mazingira ya penalti au pasi ili afikishe goli nyingi kuvaa hicho kiatu. Pale mbele Spurs wanapendan sana na hawan ubinafsi. Kane lazima atahakikisha Son anafikisha zaidi ya goli 23Iwapo Salah hatafunga goli lolote kwenye mechi zilizobakia basi Son ana asilimia kubwa ya kubeba kiatu.
Na njia pekee ambayo Salah anaweza kufunga kwasasa ni apate penalty.
Huu msimu Son yupo kwenye Pea ya career yake kama Salah wa 2017/2018, sitegemei Son kujakuwa bora zaidi ya hapa alipo isipokuwa atadumisha Class yake.
Kwa bahati mbaya Son asipokuwa makini anaweza kustaafu bila ya Kombe lolote.