Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawa wajinga lazima tuwafunge
Najua Salah Atacheza kufa na kupona

Mwaka gani ule yalitutoaga,nna hasira nao yaani ile mechi niliangalia nililia, natamani hata niingie kucheza na Mimi.
Fainali ya Uefa Champions League 2018 na mwaka jana walitutoa pia Uefa hivyo hii sasa tuna jambo letu.

Hii ya mwaka jana hatungeweza kwenda nao sawa maana tulikua hoi defence.

YNWA
 
Fainali ya Uefa Champions League 2018 na mwaka jana walitutoa pia Uefa hivyo hii sasa tuna jambo letu.

Hii ya mwaka jana hatungeweza kwenda nao sawa maana tulikua hoi defence.

YNWA
Mimi niliangalia hiyo ya 2018
Hawa wajinga walinipa maumivu.


Mwaka huu tutacheza kufa na kupona..
Yaani hili kombe letu iwe isiwe.
 
Wolves ampige Man city
Presha yetu ishuke
Pale tuna Captain wa Wolverhampton ni home boy wetu hivyo atapambana mno..

Kwa sasa Kipara kupigika labda wavurugane wenyewe kama mechi ya Crystal Palace na jambo ngumu japo inawezekana kabisa maana kwenye mpira lolote linawezekana.

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Hawa wajinga lazima tuwafunge
Najua Salah Atacheza kufa na kupona

Mwaka gani ule yalitutoaga,nna hasira nao yaani ile mechi niliangalia nililia, natamani hata niingie kucheza na Mimi.

Ilikuwa 2021 Quarter final.

Liverpool 0 Real Madrid 0

Real Madrid 3 Liverpool 1

Mara ya mwisho kukutana na kuitoa Liverpool
 
Kweli wana mpangilio safi kuchukua pale pale kwao mara nyingi sana lakini pia huchukua nje ya pale sana sana wenye umri mdogo kwa mfano kuna ma dogo wawili kutoka Ajax wanatua pale Juni hii.

Hili la Mane inawezekana pia anawatumia Bayern kuwapa presha Liverpool watoe mpunga design kama alivyofanya Henderson kusema anatakiwa na PSG Juni mwaka jana mwishowe akapewa mkataba mpya chap.

Lakini kama ni kweli Bayern wanamtaka Mane na FSG hawana mpango kumlipa 300k na kuliko aje kuodoka June 2023 bure basi tumchukue Gnabry. Hii ishu inafanana na ya Thiago tulivyompata akiwa amebaikisha msimu mmoja pale Bavarian.

YNWA

Najua kama Gabriel Jesus ni inconsistent kama Diogo Jota lakini kama mimi ni Klopp na mkataba wa Mane na Salah haueleweki basi ningehijack deal la Jesus kutakiwa na Arsenal pia ningemshawishi Gnabry atuwe Liverpool hapo atakuwa amefanikiwa pakubwa sana.

Kuwa na Jota na Jesus wakirotate pale mbele basi ni hazina kubwa sana huku Wingers una Diaz na Gbabry wanapiga zile dribbles zao za kukera.
 
Niliwahi kusema kuna siku ubinafsi wa wachezaji fulani kama Sarah kutompa pasi Diaz utaigharimu timu, sasa ndicho kimetokea kwenye mechi yetu na Totteham


Mpira haungaliwi hivyo ndugu.
Bila ya huyo Salah na magoli yake 22 tungekuwa wapi?
Haya imagine Salah juzi kampa pasi huyo Diaz tukawafunga Spurs, Sasa toa na magoli yote aliyofunga Salah tukapata pointi 3 je point za Spurs zingetufikisha wapi?

Munamuangalia Salah kwenye Bad side tu why kwenye positive side hamusemi kama sio magoli 22 ya Salah tusingekuwa tunamfukuza Man City kwa points 3 bali tungekuwa tunagombania Top 4 na Spurs?

Ni Plastic Fan pekee ndiye anayeamini kuwa Salah anaigharimu Timu.

Hii ina watu wana Mindset za ajabu sana! Yani wanaendana na Matukio tu na si kwamba wanauwelewa wowote kwenye mpira! Siku Salah akiwa kwenye Form basi utawasikia apewe 500K kwenye mkataba mpya.

Siku Mane akiwa kwenye Form basi utasikia Salah anaigharimu Timu.

Yani ubora wa Man City kushinda kila mechi basi lawama anatupiwa Salah.
 
Ukiangalia kiundani na kumfatilia mchezaji kila mmoja kwa wakati wake, utagundua wachezaji wote ni wabinafsi.

Mkuu,kuna muda huwa anapiga shuti za hivyo na anafunga tunashangilia hapa.

Yani jamaa ameokota Clip ya Racist against African players anataka kutuaminisha ubaya wa Salah wakati ndiye Mchezaji mwenye assists nyingi Liverpool.
Mbona hao ambao sio wachoyo hawana hizo assists kama za Salah.
Hajui kuwa ubinafsi wa kutaka kufunga ndiyo tabia ya kila Mchezaji.
 
Salah anakosa magoli lakini mengine naona bado anayo kama expected shot bado yupo juu na threat pia kwa mabeki awepo uwanjani.

Ila haya mambo bhana kua winga na kufunga magoli kama afanyavyo dogo ni pure class.

Hopefully leo atatupia nisingependa akikose kile kiatu cha ufungaji bora kabisa.

YNWA

Iwapo Salah hatafunga goli lolote kwenye mechi zilizobakia basi Son ana asilimia kubwa ya kubeba kiatu.
Na njia pekee ambayo Salah anaweza kufunga kwasasa ni apate penalty.

Huu msimu Son yupo kwenye Peak ya career yake kama Salah wa 2017/2018, sitegemei Son kujakuwa bora zaidi ya hapa alipo isipokuwa atadumisha Class yake.

Kwa bahati mbaya Son asipokuwa makini anaweza kustaafu bila ya Kombe lolote.
 
‘everyone in this country supports Liverpool, the media and everyone’ and then brought up the fact they have only won one Premier League title in the last three decades.
-PEP
 
Yani jamaa ameokota Clip ya Racist against African players anataka kutuaminisha ubaya wa Salah wakati ndiye Mchezaji mwenye assists nyingi Liverpool.
Mbona hao ambao sio wachoyo hawana hizo assists kama za Salah.
Hajui kuwa ubinafsi wa kutaka kufunga ndiyo tabia ya kila Mchezaji.
Watamlaumu Salah bure.
Mimi nilianza kumuangalia mchezaji mmoja mmoja mechi nzima

Nimegundua kila mchezaji ni mbinafsi.
..hata Mane ni Mbinafsi,Jota yaani..hata hao wazungu wao nao ni wabinafsi.
Ni katika harakati za kujaribu kufunga.


Hayo mashuti aliyopiga hivyo yangekuwa magoli basi wote tungeungana hapa na kuanza kusema Salah mwamba.

Angempasia huyo Diaz na Diaz asifunge bado tungesema kuwa Salah si angefungia tu palepale alikuwa na nafasi nzuri.
 
‘everyone in this country supports Liverpool, the media and everyone’ and then brought up the fact they have only won one Premier League title in the last three decades.
-PEP
Pep anajijuya yeye so far ni failure pale City. Alicholetwa kufanya bado hajafanikiwa. EPL na other mickey mouse cups hata Mancini na Pellegrini waliibeba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom