Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ila wakati mwingine mashabiki tuwe na subra kwa kile makocha huwa wanafanya imagine tayari tulishaquestion uwepo wa keita
Na ametoa assist,Keita& thiago ni wazuri timu ikiwa ina shambulia-Timu ikiwa inashambuliwa utawaonea huruma maana kukaba sio jadi yao kabisa tofauti na Fabinho ambapo yeye ni mzuri kwa kuzuia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…