Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa mashabiki wa Chelsea na Manchester United wameshaingia baridi maana Arsenal anataka sana kuingia big 4 msimu huu.

Tazama msimamo Arsenal ana viporo viwili hivyo on paper yupo nafasi bora kuingia Top 4 msimu huu.

View attachment 2151975

YNWA
Huna uwezo wa kumtoa chelseafc kwenye nafasi yake, wewe endelea kupambania nafasi ya4 na ndugu yako nyumbu.
 
Nyinyi Liverpools humu ndani Msifikiri hatujui mnachofikiria na msidhani itakuwa rahisi kihivyo kikubwa kila mtu ashinde mechi zake tu...ukiacha huo mtanange wa tarehe.10 april.

Screenshot_20220315-214911.jpg
 
View attachment 2149779

Tetesi ni kwamba mazungumzo yalikufa tangu Deseba 2021 hakuna kinaedelea.

Nasimama na Salah kama akiona ofa mpya sio sawa kwake basi akakipige kwingine ambako watamlipa anachokitaka..Salah ni almost 30 umri haurudi nyuma pengine huu ndio mkataba mkubwa kwake hivyo atulize akili afanye maamuzi sahihi.

FSG wao wanasema hawabadili wage structure ku accommodate Salah.

YNWA
Kila upande upo sahihi sioni tatizo hapo
 
Nahisi vijana wa Arteta watatoboa sioni Man u wakimtoa hiyo nafasi.
Manchester United jana El Cholo kafanya yake na kuzima ndoto za kupata kombe lolote msimu huu.

Tamu kuliko zote ni kwamba watakua wanaangalia kwenye kideo vijana wetu wakichaja mbuga kusaka makombe.

Jana ilikua powa sanaaaa.

Saint Anne jana una taarifa wale jamaa zako wa Trafford ramsi nje Uefa.

Yaani hawana popote sasa pa kupata kombe.

Itakua powa sanaaa Arsenal waingie mazima Top 4 na hao Manchester United hukoo Europa ndogo ndio size yao kwa sasa.

Maisha yanakwenda kasi sana. Yaaani Man U wamekua wasidikizaji duuh.

YNWA
 
Hii style ya kutafuta visingizio baada ya kukosa ushindi Klopp anaiwezea sana.
Alishawahi kusingizia upepo, theluji n.k.
😂😂😂😂😂😂Ule msimu nakumbuka Le Captain alicheza RB 🙄🙆🏿🙆🏿🙆🏿...

Sasa hivi ametulia hana cha kusingizia.

Klopp kwa sasa anasema ana utajiri wa kikosi kamili kiasi inamuuma kuwaacha wengine wakiwa wanastahili dakika kadhaa kwa vile huko mazoezini wanaonyesha njaa kali sana, hapo alimaanisha Origi na Taikumi.

YNWA
 
Manchester United jana El Cholo kafanya yake na kuzima ndoto za kupata kombe lolote msimu huu.

Tamu kuliko zote ni kwamba watakua wanaangalia kwenye kideo vijana wetu wakichaja mbuga kusaka makombe.

Jana ilikua powa sanaaaa.

Saint Anne jana una taarifa wale jamaa zako wa Trafford ramsi nje Uefa.

Yaani hawana popote sasa pa kupata kombe.

Itakua powa sanaaa Arsenal waingie mazima Top 4 na hao Manchester United hukoo Europa ndogo ndio size yao kwa sasa.

Maisha yanakwenda kasi sana. Yaaani Man U wamekua wasidikizaji duuh.

YNWA

Tangu jana usiku nipo kwenye uzi wao,nacheka kwa raha zangu
Yaani nacheeeka hadi nadondoka.
Wanachekesha.

Yaani man u wana kipaji cha uchekeshaji aisee,mpira siyo fani yao kabisa miaka hii.
Wajikite kwenye comedy.

Kuna jamaa leo anasema alitamani ampige maguire risasi ya tako na mguu alale bed msimu mzima.


Maisha yapo mbio mwanangu,
Eti Man u sasahivi wanatusindikiza
 

Tangu jana usiku nipo kwenye uzi wao,nacheka kwa raha zangu
Yaani nacheeeka hadi nadondoka.
Wanachekesha.

Yaani man u wana kipaji cha uchekeshaji aisee,mpira siyo fani yao kabisa miaka hii.
Wajikite kwenye comedy.

Kuna jamaa leo anasema alitamani ampige maguire risasi ya tako na mguu alale bed msimu mzima.


Maisha yapo mbio mwanangu,
Eti Man u sasahivi wanasindikiza
Hahahaha wewe weka kambi huko mpaka waombe po hahaha unao mazima..

Just go slow on Numbisa pole to her msimu huu umekua balaa kwao.

YNWA
 
Hahahaha wewe weka kambi huko mpaka waombe po hahaha unao mazima..

Just go slow on Numbisa pole to her msimu huu umekua balaa kwao.

YNWA
Numbisa hii timu yake inachekesha sana kwa kweli.


Mimi nipo huko nasoma comments zao..
Nina kazi moja tu ya kucheka
Nashindwa hata cha kusema
Itoshe kusema kwamba wakae kwenye kideo watuangalie timu za kiumeni vijana akina Matip wanavyotananga mpira.
 
😂😂😂😂😂😂😂Sawa tu ipo siku tutarudisha vicheko vyenu,tutakua tunashinda ndani ya uzi huu daily
Numbisa hii timu yake inachekesha sana kwa kweli.


Mimi nipo huko nasoma comments zao..
Nina kazi moja tu ya kucheka
Nashindwa hata cha kusema
Itoshe kusema kwamba wakae kwenye kideo watuangalie timu za kiumeni vijana akina Matip wanavyotananga mpira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom