Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
😂😂😂😂😂😂sasa wataangalia sana wakipiga ramli tupigwe kote na bado tuna mechi nao imesogezwa mbele.Numbisa hii timu yake inachekesha sana kwa kweli.
Mimi nipo huko nasoma comments zao..
Nina kazi moja tu ya kucheka
Nashindwa hata cha kusema
Itoshe kusema kwamba wakae kwenye kideo watuangalie timu za kiumeni vijana akina Matip wanavyotananga mpira.
Hao komaa nao walitunyanyasa sana enzi ya Fergie hakuna namna sasa ni wakati wao kuchekwa Hahaha.
YNWA


'

