Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sibishi ndugu sio kesho gemu nyingi zetu vs Gunners hazijawai kua rahisi. Kwa bahati mbaya tangu Klopp katua Liverpool mmekua na kikosi dhaifu kushindana vyema ubingwa, kwa sasa mpo kwenye raiti traki chini ya Mikel anapambana kuwarudisha kileleni.


Kwa sisi ma fans hua hatujui lugha nyingine zaidi ya ushindi ndugu kila mmoja akivutia timu yake ishinde na pia wahasimu wakipiga sala kama zote tuwazime kwa Mfano Chelsea, Manchester United, Tottenham watakua wanapiga ramli tuwafunge huku Kipara na vijana wake wakipiga ramli mtufunge ili wapumue pale juu pamekua pa moto sana.

Nwa ni kesho ndugu mbabe atajulikana baada ya dakika 90+

YNWA
Nakubali mkuu, I hope home crowd will help us.
 
Sijawai kuona gemu ya Liverpool vs Arsenal ambayo ilikua na strategy tofauti zaidi ya kushambuliana no wonder hii fixture inakua na magoli 3+ ni sababu hakuna kingine zaidi ya attack.

Arsenal sio finished article wapo kwenye right track lakini hawajafika level za kutuzima EPL.

All in all hii ni EPL lolote linawezekana.

Good thing ni kwamba Arsenal vs Liverpool haijawai kua boring. Utashangaa dakika 80 kama ndio kwanza dakika 10 gemu inaanza.

My must watch na pia kurudia fixture hua namba 1 ni Liverpool vs Arsenal kutokana na wachezaji kucheza soka maridadi kabisa.

May the most prepared team win and i hope the visitors are🤣🤣.

Bring em..

YNWA
Acha asee. Sad thing ni kuwa sitaweza kuiona hii game nilitama iwe leo maana kesho nipo night na hakuna access hata ya simu mpaka asubuhi. 😑
 
Acha asee. Sad thing ni kuwa sitaweza kuiona hii game nilitama iwe leo maana kesho nipo night na hakuna access hata ya simu mpaka asubuhi. 😑
Mkuu pole sana.

Kazi kwanza mengine baadae.

Utatazama marudio.

Hopefully tutatoka kifua mbele kesho.

Kipara kalegea tayari dalili zilikuwepo tangu atoe suluhu na Southampton na kipigo cha Tottenham ilikua ni suala la muda wao kuachia ushukani wa ligi kwa mwendo huu naona mpaka wanacheza mechi yao EPL tutakua tushakaa pale kileleni. Ndio dua yangu hio. May the winning angels be with us.

YNWA
 
Nakubali mkuu, I hope home crowd will help us.
Definitely home crowd hua ni the 12th player if well utilised man.

Mkicheza vyema dakika 30 za mwanzo mkapata goli mtakua mmetuvuruga kwa sasa sijui ni upepo gani hua hatuanzi mechi vizuri mbali we grow in the game as minutes ticks ni jambo la hatari sana ukikutana na mpinzani clinical.

We are ready ku enjoy.

YNWA
 
Ni haya tu.
Man City
Arsenal
Spurs
Bado sanaaaa 😂😂😂😂

20220315234429.jpg
 
Mkuu pole sana.

Kazi kwanza mengine baadae.

Utatazama marudio.

Hopefully tutatoka kifua mbele kesho.

Kipara kalegea tayari dalili zilikuwepo tangu atoe suluhu na Southampton na kipigo cha Tottenham ilikua ni suala la muda wao kuachia ushukani wa ligi kwa mwendo huu naona mpaka wanacheza mechi yao EPL tutakua tushakaa pale kileleni. Ndio dua yangu hio. May the winning angels be with us.

YNWA
Amen
 
Sadly ndio iko hivyo. Ukweli kwa sasa hakuna anaeona umuhimu wa Firmino ila ile role yake ya false 9 ndio imetufikisha hapa tulipo na ndio imemfanya Salah akawa Salah na Mane akawa Mane
Klopp ameshasemasana hili jambo na hata sisi wenyewe tumejionea Bobby alie kwenye peak me nadhani watu kama hao huwa wanaenda kuangalia magoli tu kwenye mpira nothing else.
 
Klopp ameshasemasana hili jambo na hata sisi wenyewe tumejionea Bobby alie kwenye peak me nadhani watu kama hao huwa wanaenda kuangalia magoli tu kwenye mpira nothing else.
Kweli kabisa mkuu. Kuna kipindi Bobby alikuwa ndio tegemeo letu. Klopp alikuwa anasema "he is our first line of defense" maana pressing zake ndio zilisaidia team
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom