Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wamtukane mara ngapi??
Walishamtukana...
Yaani walitandikwa wakasema chanzo ni Ole..aliacha timu imevurugika.

Haya sasa,Mtaalamu wa gengeni amepanga timu bado inachakazwa vibaya.

Bora Ole alijivua na hii mikosi
Hahahaha hao watasaka mchawi watarudi nyuma sana utasikia matusi mpaka kwe Fergie, Van Gal, Moyes na Mourinho 😂😂😂😂😂...

YNWA
 
Screenshot_20220316_131814_com.android.chrome_edit_72181501298880.jpg


Na hapo tu tangu msimu uanze hajawai kuwa bora kama tulivyozoea.

Binafsi naona kuna uoga fulani lile jeraha lilimwachia huyu dogo lakini ana deliva vizuri tu uwajani.

Hongera VVD.

YNWA
 
Screenshot_20220316_132423.jpg


😂😂😂😂😂 Surely this season is about to get nasty Hahaha.

Kipindi tunakaribia kuingia administration tulichekwa sana sana sana.

Kweli muosha huoshwa.

Usimcheke mwenzio anavyopitia changamoto ni vyema kujua whats goes around comes around.

Wakati tupo hukoo nafasi za 7/8 tulikua irrelevant tulichekwa lakini sasa meza imepinduka tangu 2015 ni burudani safi albeit few trophies won and its all acceptable.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom