Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu hizo ni tetesi if mmiliki asipopatikana n its impossible, kwa sababu wiki hii ndio mwisho wa kupokea bids zote, then mchakato mzima mpaka ukamilike na tupate mmiliki ni 6 week,probably mwez wa 4 katikati or mwez wa 5 mwanzon tutakuwa tuko chini ya mmiliki mpya.

Tetes zinasema anayeongoza ni Toddy Boehly-Wyss consortium tho kunawengine wamejitomeza Saudi Media inayoongozwa Mohamed Melkherjil, wengind niNicky Candy,etc

Watakaondoka ni wale ambao hawatakuwa kwenye mipango ya Tuchel,
Werner Dortmund wanamtaka,

Ngoja tuone hali itakavyokuwa
Hao wanapata story z vijiweni tu
 
Screenshot_20220314_100657_com.android.chrome_edit_21143899233231.jpg


Tetesi ni kwamba mazungumzo yalikufa tangu Deseba 2021 hakuna kinaedelea.

Nasimama na Salah kama akiona ofa mpya sio sawa kwake basi akakipige kwingine ambako watamlipa anachokitaka..Salah ni almost 30 umri haurudi nyuma pengine huu ndio mkataba mkubwa kwake hivyo atulize akili afanye maamuzi sahihi.

FSG wao wanasema hawabadili wage structure ku accommodate Salah.

YNWA
 
Waache ubahili
Wamuongeze hela bwana,hatutaki aondoke.
Hahaha huyu ataodoka bure.

Wasiwasi wangu ni je aodoke Salah, Mane, Firmino na baada ya msimu mmoja anaodoka Klopp 2024,hii sasa sio sawa kabisa.

Nwei ngoja tuone mipango ya klabu kwa hizi dirisha zilizobaki mpaka 2023 ambazo ni Juni 2022 na January 2023 wamejipanga aje.

YNWA
 
Manchester United wanamfizia kwa nguvu Thomas Tuchel endapo ataamua kusepa lakini pazuri kocha wenu kasema haodoki yupo sana ambayo ni hata kwa wamiliki watarajiwa watakua na imani wanaridhi kikosi madhubuti.

All the best man.

YNWA
Yeah, Tuchel ni mtu muhim sana, katika hadhina aliyotuachia Roman ni huyu mjeruman

Natumai tukaenae mda mrefu n tumpe mahitaj anayohitaj na sikumletea wachezaj asiowahitaj
 
Huyo dogo nilishangaa safari hii hajatusumbua kabisa kumbe alikuwa a Diaz huo upande,wakati naangalia nikauliza watu mbona simuoni lamptey wakaniambia yupo,nikashaanga kumbe upande wake alikuwa Diaz hakawa apandi mbele
😂😂😂😂😂Lamptey hakuamini kwamba amepigwa pin hata kushambulia sio kivile alivyozoea.

Ki ufupi huyu dogo alivyoamsha naona kama sasa klabu ipo tayari kuwaachia Mane, Firmino na Salah, FSG wapo katika nafasi bora sasa ku negotiate na hawa wachezaji kuliko dogo Diaz hajatua. Tetesi ni kwamba ma scout wa Liverpool Ureno wako bizy sana kupata vipaji kama Diaz.

Huyu dogo anatisha kamshangaza mpaka Klopp maana anasema sio wale wachezaji wanaohitaji maelekezo na season nyingi kuelewa majukumu yake uwanjani.

Kwa sasa atupe burudani.

Kinachokosekana kwake ni magoli.

Mkuu umeona aje hii false 9 ya Mane bwana wee naona kama dogo amecheza vyema sana. Hajamfikia Bobby lakini ukizingatia sio namba aliyozoea aisee amejitahidi sana. Sidhani kama Klopp anabahitisha na haya mambo naamini pale mbele Juni 2022 kuna mchezaji anaodoka, kwa hali ilivyo sasa Bobby naona influence yake kikosini inazidi kushuka kwa sasa ukizingatia namba hio hio ndio anacheza Jota.

YNWA
 
Yeah, Tuchel ni mtu muhim sana, katika hadhina aliyotuachia Roman ni huyu mjeruman

Natumai tukaenae mda mrefu n tumpe mahitaj anayohitaj na sikumletea wachezaj asiowahitaj
Pale Liverpool hua wanakua na target wachezaji wengi ila kila mchezaji anaefuatiliwa kunakua pia kuna wachezaji wengine nafasi hio hio wanafuatiliwa yaaani 1st, 2nd, 3rd priority nk. Kwamba kama target ni mchezaji 1st akakosekana basi wanakwenda kwa 2nd ama 3rd priority na hii imesaidia sana Klopp tangu ametua. Tetesi ni kwamba hata Salah hakua 1st priority mbali alikua 2nd lakini tazama tangu atue alivyokiwasha.

Ni vimbaya sana kumletea wachezaji kocha na kumwambia fanya nao kazi kwani kila kocha ana mfumo wake.

Profiling ya mchezaji ni ngumu sana lakini kukiwa na hio department klabuni inasaidia na hapo Chelsea mnayo tangu 2008 in fact mlikua wa kwanza ama wa pili ku allocate resources za kutosha hayo mambo kwa kina EPL. Sijui nini kimewakuta sasa.

Kwa sasa kumbakisha Thomas itakua kama usajili mpya kwenu. Namwelewa mzee baba wa kapero.

YNWA
 
Lamptey hakuamini kwamba amepigwa pin hata kushambulia sio kivile alivyozoea.

Ki ufupi huyu dogo alivyoamsha naona kama sasa klabu ipo tayari kuwaachia Mane, Firmino na Salah, FSG wapo katika nafasi bora sasa ku negotiate na hawa wachezaji kuliko dogo Diaz hajatua. Tetesi ni kwamba ma scout wa Liverpool Ureno wako bizy sana kupata vipaji kama Diaz.

Huyu dogo anatisha kamshangaza mpaka Klopp maana anasema sio wale wachezaji wanaohitaji maelekezo na season nyingi kuelewa majukumu yake uwanjani.

Kwa sasa atupe burudani.

Kinachokosekana kwake ni magoli.

Mkuu umeona aje hii false 9 ya Mane bwana wee naona kama dogo amecheza vyema sana. Hajamfikia Bobby lakini ukizingatia sio namba aliyozoea aisee amejitahidi sana. Sidhani kama Klopp anabahitisha na haya mambo naamini pale mbele Juni 2022 kuna mchezaji anaodoka, kwa hali ilivyo sasa Bobby naona influence yake kikosini inazidi kushuka kwa sasa ukizingatia namba hio hio ndio anacheza Jota.

YNWA

Amejitahidi sana ,ndio kwanza kacheza Mechi 5 tu lakini anaoneka kufata maelekezo vizuri sana.

Ni Bobby kabisa maana sio kwa mikimbio ile sijaangalia distance covered ila atakuwa anayo nyingi sana.
 
Brighton boss Graham Potter:⁣

“How good is Diaz? It’s not rocket science is it, you can see that from the money they paid and where they bought him from. They still had two quality forwards on the bench. He did really well and it moves Mane central where he becomes a problem. ⁣

“I said to the boys you’re playing against one of the best teams in the world. There is the Premier League and then there’s another level and that’s where Liverpool are. They deserved to win. I have huge respect for Jurgen.” #LFC [bbc]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom