




Lamptey hakuamini kwamba amepigwa pin hata kushambulia sio kivile alivyozoea.
Ki ufupi huyu dogo alivyoamsha naona kama sasa klabu ipo tayari kuwaachia Mane, Firmino na Salah, FSG wapo katika nafasi bora sasa ku negotiate na hawa wachezaji kuliko dogo Diaz hajatua. Tetesi ni kwamba ma scout wa Liverpool Ureno wako bizy sana kupata vipaji kama Diaz.
Huyu dogo anatisha kamshangaza mpaka Klopp maana anasema sio wale wachezaji wanaohitaji maelekezo na season nyingi kuelewa majukumu yake uwanjani.
Kwa sasa atupe burudani.
Kinachokosekana kwake ni magoli.
Mkuu umeona aje hii false 9 ya Mane bwana wee naona kama dogo amecheza vyema sana. Hajamfikia Bobby lakini ukizingatia sio namba aliyozoea aisee amejitahidi sana. Sidhani kama Klopp anabahitisha na haya mambo naamini pale mbele Juni 2022 kuna mchezaji anaodoka, kwa hali ilivyo sasa Bobby naona influence yake kikosini inazidi kushuka kwa sasa ukizingatia namba hio hio ndio anacheza Jota.
YNWA