Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Kajamaa kamevurugwaWewe mbona unaongea kinyonge hivyo, toa huruma humu kwa majogoo , utulie dawa iingie usijilize humu.
Kajamaa kamevurugwaWewe mbona unaongea kinyonge hivyo, toa huruma humu kwa majogoo , utulie dawa iingie usijilize humu.
Wewe jifunze mpira, ile arsenal haikuwa na Experience kama sasa. Tushacheza game nyingi at elite level kwa sasa, so we are doing fine, Sisemi kuwa Arsenal atashinda ila Kama ikitokea Liverpool akashinda kesho sababu itakuwa Liverpool anaquality & profile kuzidi Arsenal wala sio tactical issue coz Mikel Arteta has got tactical masterclass.Last time tulipo wafunga zile 4 bila mlikuwa kwenye form hatari, ilikuwa baada yakufungwa Na city na chelsea,hamkufungwa tena kwenye mechi 8 mfululizo kwenye ligi mkashinda mechi 6 Mechi mbili mkatoka sare mlivyokutana na Liverpool mkala goli 4 hizo.
Bwana we nimeshafanya maamuzi aondoke asiondoke mi nitasimama na Liverpool maana hatuwezi badili uhalisiaHahahaha pale Liverpool kwa sasa ma Scouser ni Jones, TAA na Elliott hawa bwana wanasemaga for the love of the badge wanakua inclined kutulia Liverpool mazingira yakiruhusu design kama Gerrard, Carragher nk sasa hao wachezaji wengine wao badge kwao sio hoja mbali wapo ki ajira ama kimpunga zaidi na kinachowasukuma ukiachana ni kuelewa vyema project ya Klopp ni pesaa kama pesaaaaa.
Ngumu sana zaidi ni pale umri wa mchezaji husika upo around 30 yaaani hapo ishu za mshahara na mikataba Liverpool hua kuna sintofahamu nyingi sana.
Kwa Salah yetu macho. Kashasema maamuzi yapo mkononi mwa FSG na Klopp nae kasema maamuzi yapo mkononi mwa Salahmpaka hapo kila mmoja anasema lake. Sie tuagize pop corn kipindi hicho tuone mambo yatakavyokua ikifika aidha June 2023 ama kabla.
YNWA
Point 2 kwa man city zimesha potea hivyo, na bila kubebwa kwenye mechi ya Everton saiz wangekuwa wanatufukuzia kwa tochi.We are watching kwetu imeisha sare kipara akinuna vipi huko TV ya Ethad mechi ni saa ngapi tuangalia hizo 5.
Upepo umekata ndugu.
Pale panaitwa Selhurst Park muulize Surez atakwambia 2014 nini kilimpata akituumiza dogo Gayle.
Yaaani ubora wa EPL ndio huu matokeo ya mfukoni hamna kabisa.
YNWA
Huyu Pain killer ana kelele sana kwenye uzi wetuTunampiga si chini ya 5 sio?
Hivi Everton wakashuka daraja unajua yule refa wa ile mechi hawa ma Scouser wamsaka kumuumiza aisee.Point 2 kwa man city zimesha potea hivyo, na bila kubebwa kwenye mechi ya Everton saiz wangekuwa wanatufukuzia kwa tochi.
😂😂😂😂Of course Liverpool itaendelea kuwepo hivyo kila mmoja aangalie maslahi yake FSG waangalie yao na Salah aangalie yake.Bwana we nimeshafanya maamuzi aondoke asiondoke mi nitasimama na Liverpool maana hatuwezi badili uhalisia
Wewe jifunze mpira, ile arsenal haikuwa na Experience kama sasa. Tushacheza game nyingi at elite level kwa sasa, so we are doing fine, Sisemi kuwa Arsenal atashinda ila Kama ikitokea Liverpool akashinda kesho sababu itakuwa Liverpool anaquality & profile kuzidi Arsenal wala sio tactical issue coz Mikel Arteta has got tactical masterclass.
lakini tukiongea tactically Arsenal kuna profile anakosa Kushinda dhidi ya Liverpool, mfano CF anayexcel physically & technically i.e Vlahovic, na CM anayexcel kwenye phases zote hapo Liverpool angekufa asubuhi kweupee. Kama ikitokea Arsenal kashinda kesho sababu itakuwa Arteta kamu-outclass Klopp tactically ila quality-wise kwa sasa Liverpool are better side.
Hivi Everton wakashuka daraja unajua yule refa wa ile mechi hawa ma Scouser wamsaka kumuumiza aisee.
YNWA
Hongera kwa kumpiga kipigo heavy crystal PalaceHuyu crystal palace Leo atajuta kuingia uwanjan ...tunampiga sio chini ya goli 5 ....
Keep watching

Niliona humu kuna shabiki alidai yule refa ana mdogo wake ni season ticket holder wa Manchester City nikasema ebo kwamba nae anataka Kipara anyayue kwapa ama namna gani.Yule Refa ametusababishia tusitangaze ubingwa
Top 10 yangu Epl msimu wa 2021/2022 ligi itaisha hivi.
1. Liverpool -bingwa.
2. Man city
3. Chelsea
4.Arsenal
5.Spurs
6.Man U
7. Westham
8. Wolves
9.Brighton
10.Leicester
Niliona humu kuna shabiki alidai yule refa ana mdogo wake ni season ticket holder wa Manchester City nikasema ebo kwamba nae anataka Kipara anyayue kwapa ama namna gani.
Mpaka sasa tungekua tumemtangulia Kipara.
Ila fresh tu kila mmoja ashinde mechi zake tutaelewana tu.
YNWA
Kapiga false #9 akapata false resultsMkuu BARDIZBAH jana ulitazama mechi?
Wachezaji wa Manchester City wame panic duh kumbe Liverpool akikufujuza sio small issue kama wengine wanavyodhani kuna muda kipindi cha pili Debruyne aliwafokea wenzie balaa 😂😂...
Sie hayatuhusu.
Jana Kipara kapoaa mpaka akasahau kuna sub ya wachezaji.
Tukumbashane kuna kipindi walituacha pointi 13 😳😳😳😳😳😳 na sasa on paper ni pointi 1.
Hizi gemu Kipara watazidi kumnyoa nywele.
Bado ana gemu ngumu sana na Westham, Brighton, Aston Villa, Newcastle na Wolves hapo nategemea moja atatoa sare ama kipigo. Hii ndio raha ya EPL.
Kipara anamuiga Klopp mambo ya false 9 😂😂😂yamemkuta yaaani Juni 2022 naona straika mapema sana anatua.
Sasa tukamilishe kazi kwa kuwafunga Arsenal ndio kabisaaaa Kipara atakosa na usingizi.
Kwa sasa hakuna timu ya kututisha ndugu just relax maana pazuri ni kwamba hata tunae mkimbiza nae anakamatika. Hivyo we can still afford to lose 1 na bado tukaamsha nae mpaka siku ya mwisho.
YNWA
Hahahaha yaaani ile ela ya Grealish bora wangepeleka kwa Kane mazima wangekua pazuri sana.Kapiga false #9 akapata false results
Relax Kaka. Arsenal hawapaki basi wala kaunta wao wana mpira wa mpango hivyo watafunguka tu na sie hua tuna shine kwa timu inayoshambulia mazima kwa kua tuna wakimbiaji pale mbele.Bro game ya kesho inanipa headache yani migraine sio ya kawaida.