Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Kwamba refarii alimtuma Kepa apaishe Mpira mawinguni?Subiri tukutane kwenye makombe ya Kiume ambayo hayana marefa wa michongo.
Kwamba refarii alimtuma Kepa apaishe Mpira mawinguni?Subiri tukutane kwenye makombe ya Kiume ambayo hayana marefa wa michongo.
Kwamba refarii alimtuma Kepa apaishe Mpira mawinguni?
Wewe ni fundi kuliko waamuzi?
Hii kuuza ni kuwafool.... Kama unadhani tukiuzwa tutakuwa kama Norwich nakushauri usipoteze muda wako.Mmeshauzwa?
Hahahahah.... Waamuzi hawawi criticized?Wewe ni fundi kuliko waamuzi?
Get back to the scums threadHii kuuza ni kuwafool.... Kama unadhani tukiuzwa tutakuwa kama Norwich nakushauri usipoteze muda wako.
Hao FSG ni bora hata Glazzers...Get back to the scums thread
Mnabahati sana na red card ya mchongo kwa ALEXIS....otherwise LAUTARO angewafundisha nini maana ya mpira maana alikuwa na uchu wa magoli haswaa. Hata hivyo hamfiki mbali 😂
Nenda basi ukaamue wewe.Hahahahah.... Waamuzi hawawi criticized?
Apewe tu hakuna namna vinginevyo Malkia halali yake.Mganda anawataka
Kabisa sio ma robot.Hakika
Wachezaji nao ni binadamu,wanachoka.
Ule mpira umeonekana Kigoma.Wakae Kwa kutulia kabisa
Hawaamini walivyopaisha angani ule Mpira.
Hahahaha itabidi MosDef afikishe salamu zako kwao unaweza kuambulia guest ticket pale tunapocheza Paris fainali ya Uefa 2022.Nilianzaga kukapenda haka hata kabla ya Joel
Sasa MaHB halafu wanacheza Mpira mzuriii,wanatupa furaha Wana liver
Mungu atupe nini tena?
Aisee kwa lile shuti lake itakuwa kweli mpira umetua KasuluUle mpira umeonekana Kigoma.
Yule Kepa huku kwenye mpira amepotea njia yule Rugby angemfaa kupiga penati...
YNWA






Wanachoka akina Matip wetuKabisa sio ma robot.
Tuzidi kupata burudani.
YNWA
Tutakutana uefa.Nenda basi ukaamue wewe.
Ila ndio tushashinda.
Tuchel mwenyewe alishakubali.
Na tutawanyoosha vibaya mnoTutakutana uefa.
Nitahakikisha mashabiki wote wa Chelsea tunahamia humu rasmi.
Everton vs Manchester City walionewa wakalalamika na wakajibiwa wapo sahihi hawakutendewa haki wakaombwa msamaha.
Kwa marefa wanaojielewa Liverpunga napiga home and away bila huruma.Na tutawanyoosha vibaya mno
Ntadeal na wewe vizuri aisee ..
Uwalete na wenzio niwachakaze maana tutawatandika mabao ya kutosha.
Hivi MosDef yuko wapi anipe connection jamaniHahahaha itabidi MosDef afikishe salamu zako kwao unaweza kuambulia guest ticket pale tunapocheza Paris fainali ya Uefa 2022.
YNWA











