Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwamba refarii alimtuma Kepa apaishe Mpira mawinguni?
20220307_114906.jpg
 
Mmezoea kubebwa na marefa wa michongo...

View attachment 2145302

Soon tunawaexpose
Everton vs Manchester City walionewa wakalalamika na wakajibiwa wapo sahihi hawakutendewa haki wakaombwa msamaha.

Sasa nyie kama mnaona mlionewa mlishindwa nini kuomba clarification na ni haki yenu kabisa na Uongozi wa ma refa UK ungewajibu.

Whining won't bring back Carabao au kuwapa ubingwa wa EPL. Nyie pambaneni UCL, FA mengine mjipange msimu ujao.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom