Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee ile sijawahi ona hesabu Kali kama zile
Shambulio la presha ,mpira kasi alafu mtu anadondoka uvunguni kama utani kumbe kweli!
Game ngumu leo😤
Duuuh ile tackle ya VVD dakika za mwisho inaweza kua tackle of the season.. Ile ilikua goal scoring opportunity lakini VVD with cool head kaizima very calmly...

YNWA
 
Here come TAA with the goodies.. 🔥🔥

1636306606389.gif



YNWA
 
Aisee ile sijawahi ona hesabu Kali kama zile
Shambulio la presha ,mpira kasi alafu mtu anadondoka uvunguni kama utani kumbe kweli!
Game ngumu leo😤
Bwana wee..

VVD kama VVD kafanya bonge la timing aafu baada ya kazi murwa sana kamwambia dogo amka hahaha yaaani...

Ile tackle inastahili tupate angalau pointi 3 muhimu sana..

YNWA
 
We are poor today...

Klopp anawaambia wachezaji watulize mpira lakini duuh...

Kuna muda MF wanakua by standers kabisa..

YNWA
 
Wachezaji wa Westham wapimwe kama wanatumia dawa ya kuongeza nguvu haiwezekani😤😤
 
Yaaani ukiangalia benchi letu nani aingie alete idea mpya unachoka kabisa...

Pale kati pamekufa kabisaaaa...


YNWA
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Daah Yan mpaka Zuma kafunga 🙄🙄
Ndugu zangu tukawaombe msamah manyua 🙌🙌
 
Mkuu mpira umeanza kuangalia lini?

Mkuu timu yangu naijua vizuri sana,sijaanza kuangalia mpira leo mkuu.

Timu yangu kufungwa au kutokufanya vizuri na kuwa najua tatizo ni nini.

Mechi ya leo wachezaji niliokuwa nataka wawe Po wapo.


Leo ushindi ni uhakika asilimia 100.

Kikosi chetu kiko kamili.

Mkuu unajisikiaje mpaka sasa. Hapa ukishinda ni drow naamini zile tambo zilikuwa kabla ya mechi sasa imebaki tambo baada ya mechi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom