Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Full Time West Ham United 3
Liverpool 4


What a came back. Sisi tunajua kikosi chetu bhana leo ushindi lazima. West ham wanatusumbua tu wanapokuja anfield ila kule kwao tunashinda kirahisi tu.


Mlicheka sana sare ya chelsea. Sasa sikui mtasemaje hata sare ninyi hamjaambulia.
 
Bado tupo juuu ndani ya mikono salama
JamiiForums-1811690254.jpg
 
Mkuu kwani ninyi mlivyopata sare akili iliwakaa sawa.

Kujidai ni kwa kila timu kabla ya mchezo na baada ya mchezo.

Mfano leo mbano wote mnasema mnaenda kushinda. Tayari mna matokeo mkononi au mfukoni. Kwenye mpira lazima tujitape kabla ya mechi. Na baada ya mechi.

Ukifungwa umesidiwa mbinu ukishinda umemzidi mpinzani wako mbinu
Tulivyojitapa wakasema tunaingia na matokeo yetu Cha ajabu na wao leo waliingia na matokeo Yao Kwa jinsi walivyojinasibu mixer kuchoma kuku ...mpk pale zouma alipowaumbua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom