KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 4,058
- 4,952
Watu wanatuwangia sn ttz








Mimi Sina shida na magoli ,ila tunavocheza tu ,kudadekiii nasikia rahaaaaa
Mmeona mpira wa kitabuni ,kuku nyie ....
Leo ni leo heheeeKlopp asipofanya sub sijui kama tutatoboa.
Man City nao sio wabovuBeki yetu ni ya kifala kinoma
Man City nao sio wabovu
Leo huu ukuta umekua wa tope kabisa aisee...Beki yetu ni ya kifala kinoma
Kwakweli aisee beki yetu bado sana, ila Salah sio mchezo kule mbeleSio mechi I hii tu Mkuu rejea mechi ya Bradford city.
Leo huu ukuta umekua wa tope kabisa aisee...
Nwa anyday vs Pep pointi moja sio haba.
YNWA
Mkuu Brentford nao sio wabovu etSio mechi I hii tu Mkuu rejea mechi ya Bradford city.