Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ukiwa unafungwa usiwe unapotea jukwaani pimbi wewe na leo huyo mume wako man shity tunambaka
Tukiweka kikosi Cha Chelsea na liverkuku hapa mezani ..wachezaji wa liverkuku watakaoanza hawazidi watano.
Allison sub ya Mendy.
Vvd sub ya Silva.
Fabihno sub ya Joghihno
Salah ataanza.
Mane sub Werner.

Kwa ufupi liverkuku kwa Sasa hamuna kikosi Cha kusimama mbele ya Chelsea.
Chelsea tuna wachezaji wenye na uwezo wa kuanza moja kwa moja kweye timu yenu ..
Odoi ataingia moja kwa moja.
Barkley ataingia moja kwa moja.
Ziyech ataingia moja kwa moja.
Tammy angeingia moja kwa moja.
Tomori na yeye hivyo hivyo.
Ruben ataingia moja kwa moja.

Ninyi Muna kikosi Cha Kwanza tu ambacho Hadi January kitakuwa kimechoka maana Kila game ndio hicho hicho.
 
Timu yenu tunakataa kuwa ni nzuri kwa sababu mlishindwa kutufunga tukiwa pungufu, Hapo tu...

Kama ingekuwa kinyume chake yaani nyie ndo muwe na red card mngeona tungewafanya nn?
Kwa hivi vigezo imebidi nicheke, ukitoa idadi ya magoli una statistics za ile mechi? Southampton tulimfunga goli tatu akiwa kamili ila wewe ulishindwa kumfunga akiwa kamili sasa tusemeje? Wewe umempiga spurs, spurs kampiga city na city kakupiga wewe je nani mkali?
 
Leo inahitajika nidhamu sana kwenye ulinzi, narudia tena nidhamu kwenye ulinzi, kosa lolote halitatuacha salama , mbele kule ninauhakika kuna goli 2+
 
Screenshot_20211003-180905.png
 
Liverpool team to face Manchester City

1... A Ramses Becker
7... J Milner
32... J Matip
4.. V van Dijk
26.. A Robertson
14.. J Henderson (c)
3.. Fabinho
17... C Jones
11... M Salah
20... D Jota
10... S Mané

Substitutes
5... I Konate
8... N Keita
9... R Firmino
12... J Gomez
15... A Oxlade-Chamberlain
18... T Minamino
21... K Tsimikas
62... C Kelleher
76... N Williams

YNWA
 
We are very poor tosay

Mido is dead

Jones is missing in action

Hendo is looking in action and Milner is ages in action
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom