Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp alitoa kauli kuhusu kuzishambulia klabu zinazotumia pesa nyingi kwenye usajili.

Kocha wa Man city, Pep Guardiola amemjibu kwa kusema;
"Kuna wamiliki wa vilabu wanataka kufaidika wakati wamiliki wetu hawahitaji ata kufaidika."

"Ata kabla hakujawa na klabu nyengine ambazo wamiliki wao hawataki kufaidika utaiona Chelsea na Abramovich wao na utatuona na sisi na Sheikh Mansour."

"Sioni kama kuna haja ya kuwekeana vizuizi kwasababu tayari kuna sheria za matumizi ya pesa (Financial Fair Play) kama wanaona tunakosea wanaweza kwenda mahakamani na kulalamika."

"Tulimsajili Grealish sababu tulishauza kwa paundi milioni 60 kwahiyo unaweza kusema tumetumia paundi milioni 40 tu. Miaka iliyopita wakati Man utd wanashinda mataji, ni kwa kuwa walikuwa wanatumia pesa nyingi kuliko wengine."

"Unakumbuka? Kwa kipindi kile Man city ilishindwa kufanya hivyo sababu haikuwa na wamiliki kama waliopo sasa hivi."
 
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp alitoa kauli kuhusu kuzishambulia klabu zinazotumia pesa nyingi kwenye usajili.

Kocha wa Man city, Pep Guardiola amemjibu kwa kusema;
"Kuna wamiliki wa vilabu wanataka kufaidika wakati wamiliki wetu hawahitaji ata kufaidika."

"Ata kabla hakujawa na klabu nyengine ambazo wamiliki wao hawataki kufaidika utaiona Chelsea na Abramovich wao na utatuona na sisi na Sheikh Mansour."

"Sioni kama kuna haja ya kuwekeana vizuizi kwasababu tayari kuna sheria za matumizi ya pesa (Financial Fair Play) kama wanaona tunakosea wanaweza kwenda mahakamani na kulalamika."

"Tulimsajili Grealish sababu tulishauza kwa paundi milioni 60 kwahiyo unaweza kusema tumetumia paundi milioni 40 tu. Miaka iliyopita wakati Man utd wanashinda mataji, ni kwa kuwa walikuwa wanatumia pesa nyingi kuliko wengine."

"Unakumbuka? Kwa kipindi kile Man city ilishindwa kufanya hivyo sababu haikuwa na wamiliki kama waliopo sasa hivi."
Only money ,..
 
Adjustments.jpg
 
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp alitoa kauli kuhusu kuzishambulia klabu zinazotumia pesa nyingi kwenye usajili.

Kocha wa Man city, Pep Guardiola amemjibu kwa kusema;
"Kuna wamiliki wa vilabu wanataka kufaidika wakati wamiliki wetu hawahitaji ata kufaidika."

"Ata kabla hakujawa na klabu nyengine ambazo wamiliki wao hawataki kufaidika utaiona Chelsea na Abramovich wao na utatuona na sisi na Sheikh Mansour."

"Sioni kama kuna haja ya kuwekeana vizuizi kwasababu tayari kuna sheria za matumizi ya pesa (Financial Fair Play) kama wanaona tunakosea wanaweza kwenda mahakamani na kulalamika."

"Tulimsajili Grealish sababu tulishauza kwa paundi milioni 60 kwahiyo unaweza kusema tumetumia paundi milioni 40 tu. Miaka iliyopita wakati Man utd wanashinda mataji, ni kwa kuwa walikuwa wanatumia pesa nyingi kuliko wengine."

"Unakumbuka? Kwa kipindi kile Man city ilishindwa kufanya hivyo sababu haikuwa na wamiliki kama waliopo sasa hivi."
Safi sanaaa kama hawana mpunga wauze timu waacha bla bla mpira ni pesa.

YNWA
 
Hili pengo la Gini mpaka sasa sioni dalili hawa FSG wakileta mchezaji mpya.

Tujikumbushe mpaka vyema kwa misimu mitatu iliyopita pale kati ilikua aje..

1) Gini alicheza mechi kama ifuatavyo
2018-2019 alicheza mechi 47
2019-2020 alicheza mechi 47.
2020-2021 alicheza mechi 51
Jumla ya mechi 145.

2) James Milner
2018-2019 alicheza mechi 45
2019-2020 alicheza mechi 37.
2020-2021 alicheza mechi 36
Jumla ya mechi 118

3) Henderson le Captain.
2018-2019 alicheza mechi 44
2019-2020 alicheza mechi 40.
2020-2021 alicheza mechi 28
Jumla ya mechi 112.

4) Keita
2018-2019 alicheza mechi 33
2019-2020 alicheza mechi 27
2020-2021 alicheza mechi 16
Jumla ya mechi 76.

5) Ox Chamberlain
2018-2019 alicheza mechi
2019-2020 alicheza mechi 43.
2020-2021 alicheza mechi 17
Jumla ya mechi 62.

6) Curtis Jones
2018-2019 alicheza mechi 1
2019-2020 alicheza mechi 12.
2020-2021 alicheza mechi 33
Jumla ya mechi 47

7) Thiago at Liverpool
2020-2021 alicheza mechi 30.
Jumla ya mechi 30.

Sijaweka Fabinho kwa vile jamaa ni multi purpose player.

Tunahitaji link player wa ku neutralize opponents speed and plans na same time being the engine to make others shine going forward especially Robo/Tsimikas na Trent.

Kwa hawa waliopo shinda sio kipaji mbali ni staying fully fit when games come thick and fast. Gini kila msimu anakupa 45 games plus huku EPL pekee akicheza more than 35 games kwa msimu, hapo sijaweka International games.

Tunahitaji Mr Available all time sio wale wa kushinda kitandani kwa dokta.

Bissuoma is the type of player for this kind of intensity.

Klopp planning kumtumia Harvey Elliott na Taikumi kwenye MF endapo mpaka dirisha hali ya mauzo hayatampa pesa kuingia sokoni.

Minamino will adapt in the long term he works hard ila sasa huyu dogo Elliott shine better akicheza Right Winger.

Haya nyie tutaelewana tu.

YNWA
 
AFCON 2022.

Mane

Salah

Keita (not sure)

Hawa upo uwezekano mkubwa sana watakwenda mashindano ya AFCON 2022 hivyo kutuacha na ma strika wawili tu Firmino na Jota.

Kwenda kucheza AFCON ni ufahali kwa wachezaji wengi kuwakilisha nchi hivyo nawasapoti Salah na Mane kwenye hili.

Je watarudi wakiwa wazima? Ndio hapo sasa dirisha hili la usajili Edwards aache zuga.

Klopp haya mambo asiyachukulie powa aisee bila kuwekeza mapema hivi angalau Sarr na Bowen waje sasa itakua pona yetu.

Sina imani na Origi na Taikumi kutuletea magoli zaidi ya 5 kila mmoja kipindi hicho cha January 2022. Kwa historia ya Liverpool January zote hua tunakua na wenge fulani matokeo hua chini sanaaa kiasi tumeshajizoelea ni Black days kwetu.

YNWA
 
Kwahyo hata kama kukiwa na weaknesses baadhi ya maeneo kuelekea msimu unaokuja wasisajili sio? Mkuu utakuwa unaishi dunia yako mwenyewe

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kusajili kwenu nisawa msajili...lakin msitutambieee.....sisi forward zetu zinatutoshaaa.., salah mane jota firmino na orig wanatoshaaaaa.....unanitishiaje lukaku mtu Nina Mohamed salah ambaye asipo chukua kiatu Basi anakua wapiliii.....huo ujasili mtu wa Chelsea unaupata wap
 
Kusajili kwenu nisawa msajili...lakin msitutambieee.....sisi forward zetu zinatutoshaaa.., salah mane jota firmino na orig wanatoshaaaaa.....unanitishiaje lukaku mtu Nina Mohamed salah ambaye asipo chukua kiatu Basi anakua wapiliii.....huo ujasili mtu wa Chelsea unaupata wap
Sasa na hayo magori y Salah still bado hajamzidi Lukaku Kwa magoli ya EPL sijui Una habari na hyo??? Inabidi pia uelewe kuwa Lukaku balaa na amechange sahv sio Yule wa unyumbuni...
 
Ila Duh yule Mrusi haonagi shinda kulipa gharama za kutema kocha maana ukipiga hesabu wengi wao wametemwa na klabu hivyo mkwaja ni mrefu mno umetumika kuwalipa compensation bahati nzuri the guy is loaded with loads of cash yaani Chelsea ana itreat kama toy aisee.

Definitely Tuchel anawafaa sana hopefully atakuwepo klabuni kwa siku nyingi.

YNWA
In England

Man Utd managers since 1986:
1. Sir Alex Ferguson
2. David Moyes
3. Louis Van Gaal
4. José Mourinho
5.Ole

Arsenal managers since 1986:
1. George Graham
2. Bruce Rioch
3. Arsene Wenger
4. Unai
5. Arteta

Chelsea managers since 1986:
1. Bobby Campbell
2. Ian Porterfield
3. David Webb
4. Glenn Hoddle
5. Ruud Gullit
6. Gianluca Vialla
7. Ray Wilkins
8. Claudio Ranieri
9. Jose Mourinho
10. Avram Grant
11. Felipe Scholari
12. Ray Wilkins
13. Guus Hidink
14. Carlo Ancelotti
15. Andre Villas Boas
16. Roberto Di Matteo
17. Rafael Benitez
18. Jose Mourinho
19. Guus Hiddink
20. Sarri
21. Antonio Conte
22. Lampard

More Managers than EPL trophy, clubs of noise makers.
Poor Chelsea
Wivu, leta mahesabu ya hasara tuliopata kwa kiwatimua, Faida ni kubwa kuliko hasara. kila tukitimua tuna yanyua ndoo, hiyo mbona hutaji.
 
Kusema kweli mashabiki wa livapuli tanzania wanatambo sana kama walivyo waingereza wenyewe.
Haitakuja kutokea mkarudia ile performance ya msimu wa 2019/2020.
Bila watford kuingilia kati,mngekuwa na kelele sana kwa kweli.
Niwatakieni afya njema kwa msimu huu pia.
Siyo kweli wewe ni muongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom