BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,915
- 11,731
@Captain Marvelous umeona forward za BRE zilivyo clinical na vile zina maamuzi? au Ni beki tu wa arsenal ndio wabovu sana?Hawa Wajeremani last season hawa ku click ki vile na kuna tetesi kwamba Timo alitolewa kama bargaining chip kwa Lukaku ikakataliwa sasa kwa Chelsea inawezekana huu ukawa msimu wake wa mwisho kama kile alichokua anafanya RB hakitaonekana msimu huu.
Klopp is banking highly kwa huyu dogo Konate am positive with Klopp guidance afanya vyema. Umri wake bado sana hivyo hii mikiki ya EPL ataizoea ana bahati jamaa zetu Stoke City na Westbrom hawapo EPL ila tunao Burnley na Brighton bila shaka hawa watamkaribisha vyema sana EPL.
YNWA
Hivi inamaana hatuna mascouts wazuri wakutuletea forward kutoka hata championship kwa bei nzuri? maana tunaogopa tunaogopa kutoa mpunga mkubwa wakati timu kama BRE zina watu wenye maamuzi wazuri tu.
?

