Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20210813-095038_Facebook.jpg
 
Ahsante mkuu. Mpira ni Burudani. Bado Club World Cup ili nivunje ile recodi yako. God is good naamini tutabeba na CWC
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png



Vip lakini. VVD amepona kabisa au bado majeraha ya hapa na pale?
Thomas is perfectly made for Chelsea and Chelsea is perfectly made for Thomas...

Baada ya kumpata Lukaku endapo ule moto wa msimu uliopita akiwa Inter anakuja nao hapo basi you guys are in another level kabisaaa...

VVD tunategemea by October atakua kasharudisha makali. Tuna Konate kwa sasa atasaidia sana kipindi hiki.

YNWA
 
Thomas is perfectly made for Chelsea and Chelsea is perfectly made for Thomas...

Baada ya kumpata Lukaku endapo ule moto wa msimu uliopita akiwa Inter anakuja nao hapo basi you guys are in another level kabisaaa...

VVD tunategemea by October atakua kasharudisha makali. Tuna Konate kwa sasa atasaidia sana kipindi hiki.

YNWA
Na mimi hamu yangu iwe ivo. Na itapendeza lukaku akacheza 9 then kai 10 then timo pembeni na Zych. Yaani hapa acha tu.

Ina bidi Konate akaze sana manake Ligi ya uingereza siyo kabisa
 
Thomas is perfectly made for Chelsea and Chelsea is perfectly made for Thomas...

Baada ya kumpata Lukaku endapo ule moto wa msimu uliopita akiwa Inter anakuja nao hapo basi you guys are in another level kabisaaa...

VVD tunategemea by October atakua kasharudisha makali. Tuna Konate kwa sasa atasaidia sana kipindi hiki.

YNWA
Wachache wanaojua soka watakubaliana na wewe lakini wale wenye matokeo mfukoni watakuja na kauli lukaku tumepigwa
 
Wachache wanaojua soka watakubaliana na wewe lakini wale wenye matokeo mfukoni watakuja na kauli lukaku tumepigwa
Amecheza mechi 72 Inter Milan na kufunga goli 47..huku pia akiwa play maker hilo akiwa Manchester United hakua nalo to this standards za sasa.

Conte ni kocha wa counter attack huku akitumia wing backs almost same na Thomas ndio maana nasema kwa huu usajili mpo pazuri sana kuleta changamoto kwa Manchester City.

YNWA
 
Na mimi hamu yangu iwe ivo. Na itapendeza lukaku akacheza 9 then kai 10 then timo pembeni na Zych. Yaani hapa acha tu.

Ina bidi Konate akaze sana manake Ligi ya uingereza siyo kabisa
Hawa Wajeremani last season hawa ku click ki vile na kuna tetesi kwamba Timo alitolewa kama bargaining chip kwa Lukaku ikakataliwa sasa kwa Chelsea inawezekana huu ukawa msimu wake wa mwisho kama kile alichokua anafanya RB hakitaonekana msimu huu.

Klopp is banking highly kwa huyu dogo Konate am positive with Klopp guidance afanya vyema. Umri wake bado sana hivyo hii mikiki ya EPL ataizoea ana bahati jamaa zetu Stoke City na Westbrom hawapo EPL ila tunao Burnley na Brighton bila shaka hawa watamkaribisha vyema sana EPL.

YNWA
 
Huyu jamaa hajiamini na anaogopa wachezaji hawezi kuwashindanisha tumeona Mane alivo mkazia kwa kuwekwa bechi.

Hawezi sajili mchezaji atakaetishia namba za waliopo.
Kajibu kasema Liverpool kuna limits kwenye usajili tofauti na PSG, Manchester City nk.

Mpaka hapo ameeleweka vyema.

Bila ela ya Countinho nadhani tungekua tupo chini ya Arsenal huo ndio ukweli.

FSG na ubeberu wao wa New World mbona tunao tutaelewana kabisa.

Lengo kununua lipo lakini mpaka wauze kwanza Shaqir, Woodburn, Origi, Karius na Taikumi.

Wakishindwa kuwauza hao basi Ox, Keita, Phillips, Neco Williams watakua sokoni kama plan B.

Mpaka hapa washauza Wilson, Taiwo, Grujic na ma kinda wa kadhaa wa academy na wamepata mgao wa mauzo ya Ings hivyo ela ya Konate ipo almost kurudi kama haijarui...

YNWA
 
Wazee wa fantasy Premier league link ya ligue ya Head to Head hiyo Twende kazi
 
Mohamed Salah is bidding to become the first ever player to score on the opening day of a Premier League season for a fifth year in succession.

The Liverpool forward has found the back of the net in the last four seasons during the first fixture of the campaign - a feat also achieved by Teddy Sheringham at Tottenham Hotspur (1992/93 - 1995/96).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom