I agree chief - Chelsea na Manure wame recruit vizuri sana. Shida ni waalimu wao ambao siyo marathoners wazuri.
Ndiyo maana nasema mtu kama Conte akipewa kikosi cha sasa cha Manure, OT inaweza kuwa serial destination ya trophy haul.
Also bado nina mashaka na durability ya tactics za Tuchel to last the pace of EPL.
Msimu tulipochukua EPL hatukuwa tunacheza full throttle - it was down to basics only and winning anyhow. Hiyo ilisaidia sana tusiwe na injuries kwa key players wetu.
Tatizo la timu kwa ujumla kwenye msimu uliopita was a culmination of fatigue over the previous 3 seasons during which we played at the highest level. Plus that horrible VVD injury of course.
I can see msimu huu it'll be down to basics again - the win vs Norwich set that tone.
Hio ya fatigue wanasema msimu huu Mane na Salah wamepata full mapumziko baada ya ligi kumalizika hivyo hakuna cha kusingizia..
VVD alikataa ofa za kua pundits kipindi Euro inachezwa precisely ajiweke sawa kusubiri awe fully fit kwa mikiki ya EPL.
Kwa mbali sana kuna Firmino, Allison, Fabinho, Henderson, Robertson hawa hawakua na mapumziko walishiriki in their respective countries.
Matip, Milner, VVD, Gomez, Keita, Trent wame recover hivyo day by day watakua full fit.
Shinda kuu kwangu bado sijaona from within ni mchezaji yupi anachukua nafasi ya Gini maana dogo hau hanaga injury record za mara kwa mara.
Ole usimchukulie powa ki vile day by day he becoming better and don't be surprised mwaka huu akawa na jambo lake.
Thomas pale has loads of talent sasa kaze kwake namna ya kuwatumia full throttle. Kila nafasi pale darajani ipo covered by 2 or 3 players maana wengine wanacheza more than one position.
All in all the team to beat ni Ethad boys wale ndio we all have to tame down.. And all the best aiming for that.
Uzuri wa EPL anything is possible yaani ni the land of making impossibles to be possibles.
YNWA