Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kule mbele matatizo ni makubwa zaidi, Firmino ameisha, Salah anatafuta mkataba mpya kwa hiyo anafanya kutengeneza statistics nzuri kitu kinacholeta uchoyo, Mane ukijumlisha kwamba ana hasira na Salah pia concentration imepungua.

Ukijumlisha na Mids tulizo nazo ndo mchanganyo unazidi.
Pain is beautiful thing,Hahahah
 
Kabla Allison hajaanza kutoa maboko kuna game kadhaa yeye ndiye alikuwa Man of The Match.

Tukatoa tahadhari kwamba inapofikia Man Of The Match anakuwa golikipa, tena mara nyingi basi ujue yajayo hayafurahishi.
Mkuu Don Clericuzio haya ya leo tumeyasema mno kikosi hakina depth ya maana yaani game changers hawapo kabisa...

Hua muda mwingi nawatazama Manchester City maana ndio timu bora kwa hii misimu ya hivi karibuni na sasa.. Anachojivunia Pep sio tu kuwa kocha bora mbali ana kikosi kipana kila idara na angalau hawa wachezaji wake wanaridhika na dakika wanazopata.. Tulisema sana humu kuhusu sub za Liverpool unamtoa Firmino anaingia Origi ambaye hata goli lake la mwisho haijulikani ni lini alifunga.. Sasa tazama kwa Pep unamtoa Sterling anaingia Mahrez, unamtoa Dias anaingia Laporte, unamtoa Gudo anaingia Jesus na kadhalika... Yaani ni unatoa moto unaingiza moto sasa kwanini wasiwe bora zaidi ya wengine..

Hii dhana ya Klopp kua muumini eti wa kikosi kidogo kwa kweli ni janga na kama anafanya hivyo kwa kua FSG hawampi sapoti sokoni basi tusubirii kutembelea nyota ya Klopp na ramli kwa timu pinzani kumstopisha Manchester City.

Huwezi kua ni kikosi ambacho benchi ipo hoi na utegemee ushindi hapana...

Zipo taarifa Klopp na FSG ni ugomvi mpaka sasa kwa vile alihitaji sapoti ya kuletewa wachezaji wapya mapema January 2021 lakini FSG kama kawaida yao wakaingia mitini kwamba hakuna ela na mpaka sasa Edwards ndio anatumika kama mtu wa kati kujaribu kuwarudisha pamoja ili kuwe na harmony kama zamani... Klopp hakufurahia kwanza kuletewa hawa mabeki maana wapo aliochagua yeye lakini kwa vile wale ilitakiwa ela cash basi FSG hao mitini wakimuacha Klopp kwenye mataa huku wakihitaji ushindi uwanjani lol like serious..

Allison ki ukweli ni binadamu hivyo makosa kufanya hakwepi.. Hata hii nafasi tulipo aliyechangia zaidi ni huyu huyu Allison...

Klopp pamoja na kukosa bench la uhaika lazima tulipofikia akumbali anajiangusha mwenyewe na sub zake nadhani hii ni gemu ya 3 anamtoa Jones na hapo hapo tunasambaratika kwa vipigo sijui kama ni sadfa ama niaje, sasa cha kujiuliza kwa nini huyu dogo asimuache akipige dakika 90+...

Leo tena anasingizia goli lao la kwanza ni offside bla bla... Sababu zimekua nyingi na ukweli ni kwamba wenzetu wanacheza bora zaidi yetu wakati sahihi, tazama Manchester City tulipoteana kipindi cha pili na leo ndio vile vile ina maana half time kocha anachosema kinatekelezwa lakini sisi lol ni janga tupu..

Kwa hali hii sasa ni rasmi tunaelekea nafasi ya 6 au 7 tukibahatisha...

Ni muda pia awaamini mabeki waliopo kikosini wafanye kazi yao na kuwarudisha MFs kwenye nafasi zao, kwa hio gemu zijazo tuwaone Kabak, Davis ama Kabak Nats angalua wao wana instinct za kibeki sio kubahatisha na hawa MFS...

Yajayo yanatisha.

YNWA
 
Hamkuzoea kwan mnamuda gani kwenye mkiwa kwenye form??

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Kuanzia msimu wa 2018-2019 ambao Manchester City alichukua ubingwa kwa pointi 98 na Liverpool akawa wa pili kwa pointi 97 na msimu 2019-2020 ambao hakika tuliweza kulileta kombe pendwa EPL Anfield baada ya kutupiga chenga miaka 30..

YNWA
 
Kuanzia msimu wa 2018-2019 ambao Manchester City alichukua ubingwa kwa pointi 98 na Liverpool akawa wa pili kwa pointi 97 na msimu 2019-2020 ambao hakika tuliweza kulileta kombe pendwa EPL Anfield baada ya kutupiga chenga miaka 30..

YNWA
Harafu msimu 20/21 mmerudi default mode

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
inatosha by mario
IMG-20210213-WA0011.jpg
 
Klopp on todays loss

"We have to win football games and big parts of the football were really good," said Klopp, whose side lost a third consecutive league game for the first time since November 2014.

"We scored a great goal but conceded a strange one and I think it's offside, and the [goal for] 2-1 is a misunderstanding. That had too big an impact on the game. We had to show a different reaction, and the third we gave away too easily."

"We have to avoid mistakes and misunderstandings. Today we didn't do that. The rest of the game was really good. First we have to perform again - results are massively related to the performance."

Klopp said: "I don't think we can close the gap. We are not worrying about the title, we are not silly."

YNWA
 
Former Arsenal defender Martin Keown on BBC's Final Score:

"That central defensive position is where the problems lie. Alisson is obviously massively at fault, but he is having to help out with a defence he doesn't trust any more.

"Klopp has lost defenders and taken two midfielders out into the defence. That is four changes from the team who did so well and he doesn't need to do that. It is too many.

"Without Gomez and Van Dijk they have one hand tied behind their backs. The wheels have come off. Klopp needs to get that position sorted."

YNWA
 
Kwa matokeo ya man city dhidi ya liverpool ungesema city ni bonge moja la timu lakini baada ya leicester kushinda leo unajiaminisha kuwa kumbe tatizo ni form ya liverpool hivyo man utd bado ni title contender.
Wewe huna Akili kabisa na spurs kafanywaje? Tittle contender una zuiwa na Everton?
 
Mkuu Don Clericuzio haya ya leo tumeyasema mno kikosi hakina depth ya maana yaani game changers hawapo kabisa...

Hua muda mwingi nawatazama Manchester City maana ndio timu bora kwa hii misimu ya hivi karibuni na sasa.. Anachojivunia Pep sio tu kuwa kocha bora mbali ana kikosi kipana kila idara na angalau hawa wachezaji wake wanaridhika na dakika wanazopata.. Tulisema sana humu kuhusu sub za Liverpool unamtoa Firmino anaingia Origi ambaye hata goli lake la mwisho haijulikani ni lini alifunga.. Sasa tazama kwa Pep unamtoa Sterling anaingia Mahrez, unamtoa Dias anaingia Laporte, unamtoa Gudo anaingia Jesus na kadhalika... Yaani ni unatoa moto unaingiza moto sasa kwanini wasiwe bora zaidi ya wengine..

Hii dhana ya Klopp kua muumini eti wa kikosi kidogo kwa kweli ni janga na kama anafanya hivyo kwa kua FSG hawampi sapoti sokoni basi tusubirii kutembelea nyota ya Klopp na ramli kwa timu pinzani kumstopisha Manchester City.

Huwezi kua ni kikosi ambacho benchi ipo hoi na utegemee ushindi hapana...

Zipo taarifa Klopp na FSG ni ugomvi mpaka sasa kwa vile alihitaji sapoti ya kuletewa wachezaji wapya mapema January 2021 lakini FSG kama kawaida yao wakaingia mitini kwamba hakuna ela na mpaka sasa Edwards ndio anatumika kama mtu wa kati kujaribu kuwarudisha pamoja ili kuwe na harmony kama zamani... Klopp hakufurahia kwanza kuletewa hawa mabeki maana wapo aliochagua yeye lakini kwa vile wale ilitakiwa ela cash basi FSG hao mitini wakimuacha Klopp kwenye mataa huku wakihitaji ushindi uwanjani lol like serious..

Allison ki ukweli ni binadamu hivyo makosa kufanya hakwepi.. Hata hii nafasi tulipo aliyechangia zaidi ni huyu huyu Allison...

Klopp pamoja na kukosa bench la uhaika lazima tulipofikia akumbali anajiangusha mwenyewe na sub zake nadhani hii ni gemu ya 3 anamtoa Jones na hapo hapo tunasambaratika kwa vipigo sijui kama ni sadfa ama niaje, sasa cha kujiuliza kwa nini huyu dogo asimuache akipige dakika 90+...

Leo tena anasingizia goli lao la kwanza ni offside bla bla... Sababu zimekua nyingi na ukweli ni kwamba wenzetu wanacheza bora zaidi yetu wakati sahihi, tazama Manchester City tulipoteana kipindi cha pili na leo ndio vile vile ina maana half time kocha anachosema kinatekelezwa lakini sisi lol ni janga tupu..

Kwa hali hii sasa ni rasmi tunaelekea nafasi ya 6 au 7 tukibahatisha...

Ni muda pia awaamini mabeki waliopo kikosini wafanye kazi yao na kuwarudisha MFs kwenye nafasi zao, kwa hio gemu zijazo tuwaone Kabak, Davis ama Kabak Nats angalua wao wana instinct za kibeki sio kubahatisha na hawa MFS...

Yajayo yanatisha.

YNWA
Excellent
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom