Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
.
Tatizo la Liverpool kubwa sio KIpa, pale nyuma imekosa leadership na uzoefu. Mmewaweka academy mnategemea pawe salama
Mpaka kipa kapata asisist haijawahi kutokea
Niliyemquote alikuwa na maana hiyo au inayofanana na hiyo!Kwa hiyo una maana liverpool na yeye ni kibonde??
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Tukumbushane kidogo ndugu zetu. Hii ni kipindi hicho, kabla maji hamjaanza kuyaita mnavyoyaita sasa, yaani mma!!!Siku Ile na Spurs na jana..jinsi tunavyolala vizuri...hii timu ni dawa ya usingizi watu people...
Mimi bila hii timu nilikuwa silipii kifurushi DStv......
Siku hizi nalipa kifurushi bila kujali kabisa..
Tukumbushane kidogo ndugu zetu. Hii ni kipindi hicho, kabla maji hamjaanza kuyaita mnavyoyaita sasa, yaani mma!!!Siku Ile na Spurs na jana..jinsi tunavyolala vizuri...hii timu ni dawa ya usingizi watu people...
Mimi bila hii timu nilikuwa silipii kifurushi DStv......
Siku hizi nalipa kifurushi bila kujali kabisa..
Inaonekana ulifanya uamuzi sahihi Bwashee!Sijui nihamie liverpool..
aargh nimegairi bora nibaki na chama langu tu.
#CFC![]()
Liverpool main June target kashatua Bayern Munich..
Woow naona Edwards akirudi upya drawing board..
Bayern Munich have beaten several Premier League clubs to the signing of defender Dayot Upamecano from RB Leipzig, with the move to go through on July 1.
Both Liverpool and Chelsea had been linked with Upamecano - one of the most sought-after young defenders in the game - but Bayern have once again moved fast to get their man.
YNWA
Yani bwashee ningefanya makosa makubwa sana.Tukumbushane kidogo ndugu zetu. Hii ni kipindi hicho, kabla maji hamjaanza kuyaita mnavyoyaita sasa, yaani mma!!!
Inaonekana ulifanya uamuzi sahihi Bwashee!
Nakusamehe bure kwa sababu hujanielewa bado una stressLeadership gani? Si Henderson yupo pale nyuma tunayeambia ni Best leader EPL nzima?



liverpool mulishawahi kushinda vita ya kumsajili mchezaji anayewaniwa na timu kubwa zaidi ya moja?Liverpool main June target kashatua Bayern Munich..
Woow naona Edwards akirudi upya drawing board..
Bayern Munich have beaten several Premier League clubs to the signing of defender Dayot Upamecano from RB Leipzig, with the move to go through on July 1.
Both Liverpool and Chelsea had been linked with Upamecano - one of the most sought-after young defenders in the game - but Bayern have once again moved fast to get their man.
YNWA
Bayern hawakutaka kusbiri Juni maana Liverpool na Chelsea walikua nao wameonyesha nia...
Unaposema timu kubwa unaamisha timu zipi..liverpool mulishawahi kushinda vita ya kumsajili mchezaji anayewaniwa na timu kubwa zaidi ya moja?
kama yupo basi nitajie jina lake na timu zilizoweka ofa mezani dhidi yake.
Hapana chezea Big Sam....man u hivi mlikuwa mnataka kwel ubingwa au zilikuwa n akili za pombe tu???![]()
VVD - the best CB to have graced planet Earth!liverpool mulishawahi kushinda vita ya kumsajili mchezaji anayewaniwa na timu kubwa zaidi ya moja?
kama yupo basi nitajie jina lake na timu zilizoweka ofa mezani dhidi yake.
Mkuu Trent na Robbo wapo hoi hawa niwakupumzishwa lakini je nani acheze hizo nafasi zao na ukumbuke Klopp anamshambulia kutumia flanks na msimu huu asilimia kubwa ni kupitia upande wa Robbo..Mtu Kama trent, kachoka na anatucost Sana
Hatumsemi