Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp na jopo lake la makocha wahaitaji kupata jawabu ya haya mambo kwa kasi kweli..

Screenshot_20210214_080848.jpg


Screenshot_20210214_080823.jpg

Sio habari powa kabisa..

YNWA
 
Premier League assists since the start of 2018:

🔵 Ederson
2 assists
110 games played

🔴 Gini Wijnaldum
1 assist
111 games played

Huyu ndiyo Mido anayetaka Mkataba mnono

Yani hakuna haja ya kusubiri summer ilikuwa hii Jan aruhusiwe kuondoka tu.
 
Huyu Kariuson asipojiangalia ataishia kukaa Bench hata hiyo Timu ya Taifa kwani Media zimeshaanza kumuattack na kumpa Promo Ederson.

IMG_20210213_193727.jpg
 
Tatizo la Liverpool kubwa sio KIpa, pale nyuma imekosa leadership na uzoefu. Mmewaweka academy mnategemea pawe salama
 
Chelsea, Everton, Spurs, Aston Villa na Westham wakipata matokeo mazuri Liverpool inahamia kwenye Mid-Table
Spurs kashatibua, wamebaki Chelsea, Everton, Aston Villa na Westham
 
BUNDI HUYU MUMTOE ANFIELD ASIJE AKAMSHUSHA BINGWA MTETEZI DARAJA, EBO AU MNAFANYA UTANI
 
Nyie Liverpool acheni kulaumu tu kuhusu mabeki, timu yenu saizi wote cofindence imeshuka, mnalaumu mabeki wakati hata forward zenu hazifungi magoli, mnatengeneza chance lakini hamzitumii vzr. Timu nzima saizi imepitiwa na upepo mbaya. Mgekua mnafunga magoli afu safu ya ulinzi inaruhusi magoli mgekua mnalaumu mabeki, saizi forward hazifungi na beki zinaruhusu magoli
 
Premier League assists since the start of 2018:

Ederson
2 assists
110 games played

Gini Wijnaldum
1 assist
111 games played

Huyu ndiyo Mido anayetaka Mkataba mnono

Yani hakuna haja ya kusubiri summer ilikuwa hii Jan aruhusiwe kuondoka tu.
Huwa anazunguka uwanjani kama mshare wa saa.
 
Ukweli mchungu.


Liverpool has become ordinary team. Yaani sioni tukiata hata top 4. Timu haina makali kabisa, muda wote ni kucheza back passes.

Alison amekuwa another Karius. Dhidi ya city aliwazawadia goals mbili. Leo tena kawapa leicester bao la kizembe kabisa. Ukiangali utadhani Kabak ndo alifanya blunder, lakini sio. Alison alitokea mbali Sana kufuata moira ambaao Kabak lazima angeucheza.

Next tunaenda kuaibika Kule ujerumani. Leipzig hawawezi kutuacha. Kwa ile Nazi pressing sijui tutaweka wapo sura zetu. Ndio tunazidi kuwakaribisha lina Ollachuga Oc kuja kutupigia kelele hapa jukwaani.

Tumeipenda wenyewe tuvumilie tu hanna namna.

YNWA
Mkuu mimi nimekuja kistaarabu kabisa hapa najua munayopitia kwa sasa ..Klopp juzi kafiwa na mama'ke hivyo bado msiba unamchanganya akitulia timu itakaa sawa tu ..nyie kwa sasa siyo title contender tena na ninasikitika kuwatangaza rasmi kuwa ni takataka tu kama takataka zingine..

Kwa sasa muhakikishe munaweka nguvu zenu zote kuhakikisha Man city au Sisi Chelsea tunakuwa mabingwa.
La siivyo mukiruhusu yale manyumbu yakabeba ubingwa, basi nyie mutakuwa hamuna maana tena ya bingwa mtetezi.

Hivyo kwa sasa ondoeni matumaini ya ubingwa na top four ..hakikisheni hata munafika nafasi ya saba hivi au nane.

Ni hayo tu.
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom